Manchester United ya Waholanzi

Makala iliyopita
Simba Yashusha Mashine NyingineMakala ijayo
Alcantara Atundika Daluga rasmi
Wakati huohuo klabu hiyo iko mbioni kukamilisha dili la wachezaji wawili ambao ni Joshua Zirkzee anayekipiga klabu ya Bologna, lakini pia Mathijjs De Ligt ambaye anakipiga ndani ya Bayern Munich wachezaji wote hawa wawili ni raia wa kimataifa wa Uholanzi.
Beki Mathijjs De Ligt kwa upande wake yeye pia amekubali kujiunga na Manchester United tu licha ya klabu kama PSG kufukuzia huduma yake, Lakini mchezaji amesema ndio kwa Man United mpaka sasa na kuna kila dalili ya mchezaji huyo kujiunga na mashetani wekundu na ndio maana unaweza kusema Man united ya Waholanzi kwasasa.