Alcantara Atundika Daluga rasmi

Makala iliyopita
Manchester United ya WaholanziMakala ijayo
Greenwood Kurejea United Kesho
Kiungo huyo ambaye alianza soka ndani ya klabu ya Fc Barcelona akicheza kwa muda mfupi ambapo alitimkia klabu ya Fc Bayern Munich ya nchini Ujerumani ambapo alicheza kwa mafanikio makubwa, akitwaa mataji karibuni yote ambapo alibeba mataji (7) ya Bundesliga DFB Pokal mara (4) Taji la ligi mabingwa ulaya (1) klabu bingwa ya dunia (1).
Kiungo Thiago Alcantara anaachana na mpira akiwa na umri wa miaka (33) umri ambao wengi walitamani waendelee kumuona akisakata kabumbu kutokana na ubora na ufundi ambao alikua nao, Lakini majeraha ni moja ya sababu kubwa ambayo imechangia kiungo huyo kuachana na mpira wa miguu wakati huu kwani majeraha ya mara kwa mara yamekua yakimuandama sana.