Greenwood Kurejea United Kesho
Makala iliyopita
Alcantara Atundika Daluga rasmi
Makala ijayo
Arsenal Kuachana na Kiwior
Msimu uliomalizika winga huyo aliitumikia klabu ya Getafe ya nchini Hispania akionesha ubora mkubwa klabuni hapo lakini mkopo wake umemalizika na amerejea kwenye klabu yake iliyomkuza, Huku kesho itakua ni mara kwanza ya yeye kukanyaga nyasi za uwanja wa mazoezi wa klabu ya Man United unaofahamika kama Carrington.
Mashabiki wengi wa klabu ya Manchester United wanaonesha kua wanatamani sana kumuona Greenwood akipewa nafasi ya pili ndani ya klabu hiyo licha ya kosa alilolifanya miaka mitatu iliyopita mpaka sasa klabu imeshikilia msimamo wa kumuuza mchezaji huyo, Lakini kiu ya mashabiki wengi wa klabu hiyo ni kumuona mchezaji huyo akiwa na jezi za klabu ya Man United kwa mara nyingine.