Arsenal Yampoteza kinda Wake Matata
Makala iliyopita
Ayoub Lakred Apata Majeraha
Makala ijayo
Tamko la Simba kwa Kibu Denis.
Mchezaji Chido Obi Martin ambaye amekua kwenye kiwango bora sana kwenye timu ya vijana ya klabu ya Arsenal msimu uliomalizika jambo ambalo limefanya klabu hiyo kutaka kumpa mkataba mpya, Lakini mchezaji huyo kinda ameamua kutosalia ndani ya klabu hiyo licha ya ofa nzuri aliyopatiwa.