Arsenal Yampoteza kinda Wake Matata

Makala iliyopita
Ayoub Lakred Apata MajerahaMakala ijayo
Tamko la Simba kwa Kibu Denis.
Mchezaji Chido Obi Martin ambaye amekua kwenye kiwango bora sana kwenye timu ya vijana ya klabu ya Arsenal msimu uliomalizika jambo ambalo limefanya klabu hiyo kutaka kumpa mkataba mpya, Lakini mchezaji huyo kinda ameamua kutosalia ndani ya klabu hiyo licha ya ofa nzuri aliyopatiwa.