Ayoub Lakred Apata Majeraha
Makala iliyopita
Kibu Denis na Simba Hakieleweki
Makala ijayo
Arsenal Yampoteza kinda Wake Matata
Golikipa huyo wa kimataifa wa Morocco kukaa kwake nje ya uwanja kunaweza kuwapa changamoto klabu ya Simba kutokana magolikipa waliosalia wamekua hawana uzoefu wa kutosha, Wakati huo huo inaelezwa klabu ya Simba haipo kwenye mawasiliano mazuri na Aishi Manula na ndio sababu hayupo kambini nchini Misri.