Chelsea Wanamvizia Lunin
Makala iliyopita
Manchester United Kurudi kwa Branthwaite
Makala ijayo
Crystal Palace Kumchukua Smith Rowe
Golikipa huyo wa Ukraine amekua kwenye kiwango bora sana msimu uliomalizika ndani ya klabu ya Real Madrid akirithi vyema mikoba ya Thibaut Courtois, Hivo Matajiri hao wa London wanaona kipa huyo ana uwezo kufanya makubwa klabuni kwao na ndio sababu ya kumuhitaji.