Sancho Aingia kwenye rada za PSG
Makala iliyopita
Ali Kiba Aiteka Moro Town, Simba Day ya Mzee Dalali
Makala ijayo
Ederson Kutimka Man City
Klabu ya Manchester United ilielezwa ipo tayari kumuuza winga huyo wa kimataifa wa Uingereza kama klabu inayomuhitaji itaweza kutoa dau ambalo wataridhishwa nalo, Kwani klabu ya Dortmund ilikua inamuhitaji kwa mkopo mchezaji huyo kwa mara nyingine japokua mshahara mkubwa anaochukua mchezaji imekua kikwazo.