Kadi za Njano Sita Zamponza Guardiola

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, amefungiwa mechi mbili na Chama cha Soka cha England FA baada ya kupokea kadi yake ya sita ya njano msimu huu wakati wa ushindi wa timu yake wa mabao 3-1 dhidi ya Newcastle United katika mashindano ya FA,uliopigwa Machi 7, 2026.

Kadi za Njano Sita Zamponza Guardiola

Kutokana na adhabu hiyo, Guardiola atakosa mechi mbili za Ligi Kuu ya England dhidi ya Chelsea na West Ham United.

Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa

Hata hivyo, kocha huyo mtaalamu anatarajiwa kurejea kwenye benchi katika Fainali ya kombe la Carabao dhidi ya Arsenal mnamo Machi 22, 2026, mchezo utakaochezwa kwenye dimba la  Wembley.

Kadi za Njano Sita Zamponza Guardiola

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.