Huku siku zikisonga kuelekea michuano ya kwanza ya Kombe la Dunia itakayoshirikisha timu 48, maandalizi yanaendelea kushika kasi nchini Marekani, Canada na Mexico. Mashabiki wa soka duniani kote wanasubiri kwa …
Makala nyingine
Cristiano Ronaldo ameandika ukurasa mwingine wa hadithi yake ya soka baada ya kufunga bao la aina yake, overhead kick, katika ushindi wa mabao 4-1 wa Al-Nassr dhidi ya Al-Khaleej, mchezo …
Katika usiku ambao mashabiki wa Italia walitarajia kuona mwanga, waliishia kushuhudia giza zito likitanda San Siro. Gianluigi Donnarumma, kipa na nahodha wa timu hiyo, alisimama mbele ya vyombo vya habari …
Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, anakabiliwa na presha kubwa baada ya kikosi chake kushuka hadi nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Premier League kufuatia kipigo cha 3-1 dhidi ya …
Rais wa Marekani Donald Trump ameibua taharuki kubwa kuhusu maandalizi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026, akitoa kauli kali kwamba yuko tayari kuhamisha mechi kutoka miji iliyopangwa endapo ataona …
Ndoto za Tottenham Hotspur kumsajili winga wa Kibrazil Savinho zimeyeyuka rasmi baada ya Manchester City kuthibitisha kumfungia mkataba mpya hadi mwaka 2031. Kwa mujibu wa The Athletic, City wamechukua hatua …
Mikel Arteta, ameonyesha imani kubwa kwa Eberechi Eze baada ya kiungo huyo kufunga bao lake la kwanza kwa klabu hiyo katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Port Vale kwenye Kombe …
Kocha maarufu duniani, Jose Mourinho, ametangazwa rasmi kuwa meneja mpya klabu ya Benfica ya Ureno, akirejea katika klabu aliyowahi kuinoa miaka 25 iliyopita. Mourinho, mwenye umri wa miaka 62, amesaini …
Mshambuliaji wa zamani wa Leicester City, Jamie Vardy, ameanza rasmi sura mpya ya maisha yake ya soka kwa kujiunga na klabu ya Serie A ya Cremonese, akisisitiza kuwa “umri ni …
Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ameweka jina lake kwenye vitabu vya historia baada ya kushinda tuzo ya PFA Players’ Player of the Year 2024/25, akiwapiku mastaa kadhaa akiwemo Bruno Fernandes …
Guglielmo Vicario anasisitiza kuwa Tottenham walifuata kwa kila kipengele kile kocha Thomas Frank aliwaagiza kufanya katika mechi ya UEFA Super Cup dhidi ya Paris Saint-Germain, lakini anasema haikutosha kupata ushindi …
Kijana mwenye kipaji kikubwa kwenye safu ya ulinzi kutoka Ajax, Jorrel Hato, amekamilisha vipimo vya afya na kusaini mkataba wa miaka saba na Chelsea, huku akiandaliwa kuwa sehemu muhimu ya …
Nahodha wa Tottenham Hotspur na nahodha wa timu ya taifa ya Korea Kusini, Son Heung-Min, ametangaza rasmi kuwa ataondoka kwenye klabu hiyo majira haya ya joto, na tayari klabu ya …
Bayern Munich imeonyesha ubora wake kwa kuibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Flamengo, na kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia la Klabu. Katika mchezo wa kusisimua …
Marcos Rojo, beki wa kimataifa wa Argentina, sasa ni mchezaji huru baada ya klabu ya Boca Juniors kuvunja mkataba wake, hatua iliyofuata mara baada ya timu hiyo kutolewa kwenye Kombe …
Emma Raducanu, bingwa wa zamani wa US Open na mchezaji nambari moja wa Uingereza, ataanza kampeni yake ya Wimbledon kwa mtanange wa kuvutia dhidi ya Mimi Xu, ambaye amepewa tiketi …
Manchester City imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia la Klabu kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wydad Casablanca, ingawa ushindi huo ulitiwa doa na kadi nyekundu ya Rico …

