Winga wa Juventus Samuel Mbangula ameitwa kwa mara ya kwanza kabisa kwenye timu ya taifa ya Ubelgiji kwa ajili ya mechi za Ligi ya Mataifa ya Novemba dhidi ya Italia …
Makala nyingine
Nyota wa Inter, Hakan Calhanoglu alitolewa nje baada ya dakika 12 tu kwenye mchezo wa Roma-Inter akishukiwa kuwa na jeraha la misuli. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uturuki alianza katikati …
Leo Messi anasisitiza kuwa mchezaji mwenzake Lautaro Martinez anastahili Ballon d’Or zaidi ya mtu mwingine yeyote kwani nahodha huyo wa Inter amekuwa na ‘mwaka wa kuvutia.’ Lautaro ni miongoni mwa …
Kiungo wa klabu ya Barcelona Gavi inaelezwa yupo mbioni kurejea uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani mwaka mzima kutokana na majeraha ya goti ambayo yalipelekea kufanyiwa upasuaji. …
Kocha wa Ufaransa Didier Deschamps anafuraha kwamba Paul Pogba anaweza kurejea uwanjani Machi 2025 lakini anakiri kutakuwa na majadiliano na Juventus. Kufungiwa kwa miaka minne ya Pogba ya kutumia dawa …
Teun Koopmeiners amejiondoa kwenye kikosi cha Uholanzi na atarejea Turin kwa matibabu zaidi baada ya shirikisho la Uholanzi kufichua kuwa kiungo huyo mshambuliaji wa Bianconeri ana majeruhi madogo. Mchezaji huyo …
Sky Sports News nchini Uingereza inaripoti kwamba mmiliki wa Roma Dan Friedkin anakaribia kukamilisha ununuzi wa Everton inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza. Friedkin alikuwa tayari anakaribia kuinunua Everton mwezi Juni, …
Victor Osimhen ameunganishwa tena na rafiki yake na mchezaji mwenzake wa zamani wa Napoli Dries Mertens baada ya Mnigeria huyo kuhamia kwa mkopo Galatasaray dakika ya mwisho baada ya kufungwa …
Kocha wa zamani wa Serie A Sven-Goran Eriksson amefariki akiwa na umri wa miaka 76. Alishawahi kuwa kocha wa Fiorentina, Roma, Sampdoria na Lazio Eriksson ambapo amefariki leo, Jumatatu, Agosti …
Golikipa na aliyekua nahodha wa timu ya taifa ya Ujerumani Manuel Neuer pamoja na mshambuliaji Thomas Muller wametangaza kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Ujerumani. Manuel Neuer na Muller wote …
Golikipa wa Inter Milan Yann Sommer ametangaza kustaafu soka la kimataifa baada ya kuisaidia Uswizi kufika robo fainali ya EURO 2024. Sommer hataiwakilisha tena nchi yake katika ngazi ya kimataifa, …
Kwanini wachezaji huingia na watoto uwanjani (Player Escort au Match Mascort) Maana yake ni nini? Player escort au match mascort ni watoto wakike na wakiume kuanzia miaka 6 hadi 16 …
Matteo Ruggeri anajutia nafasi ambayo Atalanta ilipata kuongoza dhidi ya Real Madrid, lakini anashikilia kuwa UEFA Super Cup itawapa nguvu kusonga mbele. Ilikuwa mchezo mkali kutoka kwa La Dea huko …
Gian Piero Gasperini alisikitishwa zaidi kuliko kujivunia timu yake ya Atalanta kwa kushindwa kwao UEFA Super Cup dhidi ya Real Madrid. Akisema kuwa walikosa nafasi kubwa na wanapaswa kuwa wazuri …
Macho yote yalikuwa kwake na Kylian Mbappé alifunga bao lake la kwanza la Real Madrid katika mechi yake ya kwanza ya kimashindano kwa klabu hiyo, dhidi ya Atalanta kwenye UEFA …
Carlo Ancelotti anakiri Atalanta iliwafanya wateseke, ni kama kwenda kwa daktari wa meno, lakini Real Madrid walifanya kila waliloweza kuchukua UEFA Super Cup. Galacticos ndio waliopewa nafasi kubwa katika pambano …
Wayne Rooney alistahimili kurejea vibaya kwenye uongozi wakati timu yake ya Plymouth ilipolala kwa mabao 4-0 ugenini Sheffield Wednesday. Rooney, ambaye amerejea katika nafasi ya ukocha baada ya maisha mabaya …