Nyota wa Inter, Hakan Calhanoglu alitolewa nje baada ya dakika 12 tu kwenye mchezo wa Roma-Inter akishukiwa kuwa na jeraha la misuli. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uturuki alianza katikati …
Makala nyingine
Leo Messi anasisitiza kuwa mchezaji mwenzake Lautaro Martinez anastahili Ballon d’Or zaidi ya mtu mwingine yeyote kwani nahodha huyo wa Inter amekuwa na ‘mwaka wa kuvutia.’ Lautaro ni miongoni mwa …
Kiungo wa klabu ya Barcelona Gavi inaelezwa yupo mbioni kurejea uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani mwaka mzima kutokana na majeraha ya goti ambayo yalipelekea kufanyiwa upasuaji. …
Kocha wa Ufaransa Didier Deschamps anafuraha kwamba Paul Pogba anaweza kurejea uwanjani Machi 2025 lakini anakiri kutakuwa na majadiliano na Juventus. Kufungiwa kwa miaka minne ya Pogba ya kutumia dawa …
Teun Koopmeiners amejiondoa kwenye kikosi cha Uholanzi na atarejea Turin kwa matibabu zaidi baada ya shirikisho la Uholanzi kufichua kuwa kiungo huyo mshambuliaji wa Bianconeri ana majeruhi madogo. Mchezaji huyo …
Sky Sports News nchini Uingereza inaripoti kwamba mmiliki wa Roma Dan Friedkin anakaribia kukamilisha ununuzi wa Everton inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza. Friedkin alikuwa tayari anakaribia kuinunua Everton mwezi Juni, …
Victor Osimhen ameunganishwa tena na rafiki yake na mchezaji mwenzake wa zamani wa Napoli Dries Mertens baada ya Mnigeria huyo kuhamia kwa mkopo Galatasaray dakika ya mwisho baada ya kufungwa …
Kocha wa zamani wa Serie A Sven-Goran Eriksson amefariki akiwa na umri wa miaka 76. Alishawahi kuwa kocha wa Fiorentina, Roma, Sampdoria na Lazio Eriksson ambapo amefariki leo, Jumatatu, Agosti …
Golikipa na aliyekua nahodha wa timu ya taifa ya Ujerumani Manuel Neuer pamoja na mshambuliaji Thomas Muller wametangaza kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Ujerumani. Manuel Neuer na Muller wote …
Golikipa wa Inter Milan Yann Sommer ametangaza kustaafu soka la kimataifa baada ya kuisaidia Uswizi kufika robo fainali ya EURO 2024. Sommer hataiwakilisha tena nchi yake katika ngazi ya kimataifa, …
Kwanini wachezaji huingia na watoto uwanjani (Player Escort au Match Mascort) Maana yake ni nini? Player escort au match mascort ni watoto wakike na wakiume kuanzia miaka 6 hadi 16 …
Matteo Ruggeri anajutia nafasi ambayo Atalanta ilipata kuongoza dhidi ya Real Madrid, lakini anashikilia kuwa UEFA Super Cup itawapa nguvu kusonga mbele. Ilikuwa mchezo mkali kutoka kwa La Dea huko …
Gian Piero Gasperini alisikitishwa zaidi kuliko kujivunia timu yake ya Atalanta kwa kushindwa kwao UEFA Super Cup dhidi ya Real Madrid. Akisema kuwa walikosa nafasi kubwa na wanapaswa kuwa wazuri …
Macho yote yalikuwa kwake na Kylian Mbappé alifunga bao lake la kwanza la Real Madrid katika mechi yake ya kwanza ya kimashindano kwa klabu hiyo, dhidi ya Atalanta kwenye UEFA …
Carlo Ancelotti anakiri Atalanta iliwafanya wateseke, ni kama kwenda kwa daktari wa meno, lakini Real Madrid walifanya kila waliloweza kuchukua UEFA Super Cup. Galacticos ndio waliopewa nafasi kubwa katika pambano …
Wayne Rooney alistahimili kurejea vibaya kwenye uongozi wakati timu yake ya Plymouth ilipolala kwa mabao 4-0 ugenini Sheffield Wednesday. Rooney, ambaye amerejea katika nafasi ya ukocha baada ya maisha mabaya …
Atalanta wako katika hali mbaya siku chache kabla ya mchuano wa UEFA Europa Super League dhidi ya Real Madrid, wakifungwa 3-0 na St. Pauli huku Nicolò Zaniolo akiwa majeruhi na …