NyumbaniYanga SC

Yanga SC

HABARI ZAIDI

Kwa Ratiba Hii Yanga Wana Haki ya Kulalamika

0
Kocha wa Yanga SC Nasraddine Nabi, amekuwa akilalamikia kwa muda sasa ratiba ya timu yake kubana na hivyo, kuleta ugumu kwenye upangaji wa kikosi...

Mayele Afunguka Kuwa na Ugomvi na Azizi Ki

0
Straika wa Yanga Fiston Mayele amesema kuwa yeye hana tofauti yoyote na kiungo wa timu hiyo Stephen Azizi Ki kama ambavyo alikuwa anasikia baadhi...

Job: Tutafanya Makubwa Kimataifa Msimu Huu

0
Beki wa kati wa Yanga Dickson Job amefunguka kuwa kwa kuwa wamefanikiwa kutinga kutinga kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, watafanya...

Mayele: Kutukanwa Kulitupa Hasira

0
Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele ameweka wazi kuwa kulikuwa na sababu nyingi sana ambazo zilipelekea wao kupambana na kupata bao la ugenini na la...

Rais Samia Aipongeza Yanga

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amewapongeza Yanga kwa kutinga hatua ya makundi ya michuano ya Shirikisho barani Afrika. Yanga walitinga...

Kaze: Tuisapoti Timu Kwenye Kipindi Kigumu

0
Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwapa sapoti wachezaji na benchi la ufundi hata katika kipindi kigumu. Kaze amezungumza hayo...

Lukula Awapongeza Nyota Simba Queens

0
Kocha Mkuu wa Simba Queens, Charles Lukula amesema kuwa licha ya kufungwa na Mamelodi Sundowns lakini anawapongeza wachezaji wake kutokana na viwango walivyoonyesha.Simba Queens...

Aziz Ki Aomba Mashabiki Wawaamini

0
Nyota wa kikosi cha Yanga, Stephane Aziz Ki amewaomba mashabiki waendelee kuwapa sapoti na kuwaamini kwenye mchezo wa leo dhidi ya Club Africain. Mchezo huo...

Beki wa Yanga Kuwakosa Waarabu Usiku wa Leo

0
Kwenye mchezo wa leo usiku wa Kombe la Shirikisho kati ya Club Africain dhidi ya Yanga beki wa kulia wa timu wa timu ya...

Aziz KI Awatoa Hofu Mashabiki Yanga.

0
MCHEZAJI wa Yanga aliyerejesha furaha kwa wananchi siku ya derby ya Kariakoo kwa Shuti kali la mpira wa kutenga Stephen Aziz KI, amewataka mashabiki...