Rais wa Yanga Eng. Hersi Said amesema mradi wa ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo utaifanya Yanga kumiliki asilimia 50 ya umiliki huku mwekezaji GSM Group akimiliki asilimia 50 …
Makala nyingine
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa maamuzi mbalimbali kufuatia matukio yaliyojitokeza kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Simba …
Klabu ya Yanga imetangaza rasmi kuachana na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Pedro Gonçalves, baada ya kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba wao. Taarifa hiyo iliyotolewa Mei 06, 2026 na …
Kuelekea dabi ya Kariakoo itakayopigwa Jumapili saa 12:00 jioni kwenye dimba la Meja Jenerali Isamuhyo jijini Dar es Salaam, makocha wa Simba SC na Yanga SC wameweka wazi mikakati na …
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linaendelea na maboresho ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo ikiwa ni maandalizi ya derby kubwa ya Kariakoo kati ya Simba SC na Yanga SC inayotarajiwa …
Mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano kati ya Simba SC na Yanga SC unatarajiwa kupigwa usiku wa leo saa 2:15 uwanja wa new Amani Complex, huku maandalizi yakiendelea kukamilishwa …
Dabi ya Kariakoo inayosubiriwa kwa hamu kati ya Simba SC na Yanga SC inatarajiwa kupigwa Mei 03, 2026 katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo, huku macho na masikio ya mashabiki …
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB imetangaza rasmi mabadiliko ya uwanja wa mchezo namba 169 wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026, utakaozikutanisha klabu kongwe za Simba SC na …
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF limetangaza adhabu mbalimbali kwa klabu na wachezaji wa NBC Premier League kutokana na matukio ya utovu wa nidhamu yaliyotokea katika michezo tofauti msimu …
Klabu ya Mbeya City FC imetangaza rasmi kusitisha mkataba na kocha wake mkuu, Mecky Maxime, pamoja na benchi lake la ufundi, kufuatia makubaliano ya pande zote mbili. Uamuzi huo umetolewa …
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Pedro Goncalves, amesema kikosi chake kinatarajia mchezo mgumu dhidi ya Mbeya City utakaochezwa Aprili 16, 2026, katika muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Goncalves ameeleza …
Klabu ya Yanga SC imeweka wazi dhamira yake ya kutafuta ushindi katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku benchi la ufundi na wachezaji …
Kikosi cha Yanga kimewasili salama jijini Dar es Salaam mchana wa leo kikitokea jijini Mwanza, kikiwa na furaha baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji …
Kocha msaidizi wa Yanga SC, Metthew Silva, amesema timu yao ipo tayari kurejea kwenye ushindani licha ya matokeo yasiyoridhisha katika michezo minne iliyopita. Akizungumza kuelekea mchezo huo, Silva alikiri ugumu …
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF limetoa uamuzi rasmi kuhusu sakata la uhalali wa usajili wa mchezaji Mohamed Damaro Camara, likibainisha kuwa hakuna ukiukwaji wa kanuni uliofanyika kama ilivyodaiwa …
Bodi ya Ligi Kuu ya NBC imetoa adhabu kali kwa mlinda mlango wa Yanga SC, Djigui Diarra, baada ya matukio ya dhidi ya mwamuzi na tabia isiyofaa katika mchezo wa …
Uongozi wa Yanga umeweka wazi sababu mbalimbali zilizoathiri mwenendo wa timu hiyo licha ya kufanya vizuri katika mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2025/26. Kupitia taarifa …

