Monday, March 13, 2023
NyumbaniSOKA LA BONGOLigi Kuu Tanzania Bara

Ligi Kuu Tanzania Bara

HABARI ZAIDI

Dodoma Jiji Yatwaa Pointi 3 Nyumbani

0
Klabu ya Dodoma Jiji imepata ushindi wake wa 8 kwenye ligi hapo jana baada ya kumtwanga Polisi Tanzania mabao 2-1 kwenye uwanja wa Jamhuri...

Yanga Yazidi Kujikita Kileleni Baada ya Kuichapa Geita Gold

0
Klabu ya Yanga ambayo ipo chini ya kocha mkuu Nasredine Nabi imezidi kujiweka kileleni kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara baada...

Dodoma Jiji Kutimua Vumbi Dhidi ya Polisi Tanzania

0
Mechi ya mwisho ya leo ya NBC ni kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Polisi Tanzania huku timu zote zikihitaji pointi tatu kutokana na...

Coastal Union Anamkaribisha Singida Big Stars

0
Mchezo mwingine wa Ligi kuu ya NBC ni huu hapa ambao utawakutanisha Coastal Union dhidi ya Singida Big Stars ambayo inafanya vizuri kwenye msimamo...

Yanga Kukipiga Dhidi ya Geita Gold

0
Klabu ya Yanga inatarajiwa kushuka dimbani hii leo kusaka pointi tatu dhidi ya Geita Gold ya Geita ambayo ipo nafasi ya tano kwenye msimamo...

Namungo Apasuka Nyumbani Kwake

0
Klabu ya Namungo FC imepoteza mchezo wake hapo jana wlaiokuwa wakicheza dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara katika...

Namungo Kumenyana Dhidi ya Tanzania Prisons

0
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa saa 1:00 usiku utakuwa ni kati ya Namungo dhidi ya...

Mbeya City Kuwaalika Ruvu Shooting Leo

0
Ligi kuu ya NBC inaendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo Mbeya City watawaalika Ruvu Shooting katika dimba lao la Sokoine majira ya saa...

Simba Yaifuata Mtibwa Sugar Manungu

0
Baada ya kuchukua alama tatu dhidi ya Vipers klabu ya Simba imeifuata Mtibwa Sugar mkoani Morogoro kwaajili ya mchezo wao wa ligi kuu ya...

Namungo Yailaza Geita Gold ya Minziro

0
Klabu ya Namungo FC kutoka mkoani Lindi, imeicharaza Geita Gold ya Minziro mabao 2-1 kwenye mchezo ambao ulipigwa hapo jana majira ya saa 1:00...