Hatimaye baada ya kusubiri kwa hamu ratiba ya ligi kuu ya NBC, leo hii imetoka ambapo mechi zitaanza kuchezwa kuanzia 16 Agosti. Mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligi kuu …
Makala nyingine
Ulikuwa msimu bora sana wenye ushindani mkubwa ndani na nje ya uwanja, kila timu imechukua kadi yake stahiki kutoka Ligi kuu ya NBC 23/24 kwa walivyojipanga mwanzo mwa msimu mpaka …
Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili wa funga kazi unatarajiwa kupigwa leo Mei 28, 2024 kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ipo wazi bingwa wa …
OFISA Habari wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe amefurahishwa na Kasi ya Mashabiki wa Klabu hiyo kwa nguvu wanayoionesha kwenye kujiandikisha Ili kupata kadi za uanachama. Ali Kamwe amewapongeza mashabiki …
STEPHEN Aziz Ki kiungo mshambuliaji wa Yanga amepindua Meza ya vita ya ufungaji bora mbele ya Feisal Salum baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Dodoma Jiji na kufikisha mabao …
HALI siyo nzuri Kwa timu pekee ya Ligi Kuu kutoka Makao Makuu ya Nchi Dodoma, Dodoma Jiji, Baada ya matumaini Yao ya kubaki Ligi Kuu kuendelea kuzama. Hiyo ni baada …
MABINGWA mara 30 wa Ligi Kuu Bara Yanga wamebainisha kuwa kutakuwa Parade la Ubingwa la maana Mei 26 2024 ambalo litaanzia Uwanja wa Mkapa asubuhi mpaka Jangwani. Ipo wazi kwamba …
WAKATI Azam FC inakomba pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania Jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Meja Isamuhyo, Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC aliendelea …
MSHAMBULIAJI wa Simba Saidoo Ntibazokiza, ambaye alitwaa Tuzo ya Mfungaji Bora Msimu uliopita, amefikisha mabao 9 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 baada ya kufunga mabao mawili kwenye …
Mechi nyingine ya Ligi kuu ya NBC ni hii hapa ya mwenyeji Mashujaa ambao watakuwa nyumbani kule Lake Tanganyika kuziwasha dhidi ya Coastal Union kutoka mkoani Tanga majira ya saa …
Machi 16 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kutakuwa na dakika 90 za jasho kwa wanaume kusaka pointi tatu ndani ya uwanja Singida dhidi ya Namungo. Saa 10:00 jioni, Singida …
Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kuendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu ambao unawakutanisha kati ya Geita Gold dhidi ya Ihefu majira ya …
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambao utawakutanisha JKT Tanzania dhidi ya Namungo kutoka mkoani Lindi, majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Meja …
Baada ya kuambulia sare kwenye mchezo wao uliopita, uliochezwa dhidi ya Kagera Sugar Februari 2, 2024 mkoani Kagera, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga leo watakuwa na kibarua Cha …
Uongozi wa klabu ya Simba umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Tabora United. Februari 6 Simba ina kibarua cha …
Ligi kuu ya NBC inatarajiwa kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambao utakuwa ni kati ya mwenyeji Mashujaa dhidi ya Tabora United majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la …
Ligi kuu ya NBC inatarajia kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja majira ya saa 10:00 jioni ambapo Ihefu watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Tanzania Prisons huku timu zote zikitokea Mbeya. …