STEPHEN Aziz Ki kiungo mshambuliaji wa Yanga amepindua Meza ya vita ya ufungaji bora mbele ya Feisal Salum baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Dodoma Jiji na kufikisha mabao …
Makala nyingine
HALI siyo nzuri Kwa timu pekee ya Ligi Kuu kutoka Makao Makuu ya Nchi Dodoma, Dodoma Jiji, Baada ya matumaini Yao ya kubaki Ligi Kuu kuendelea kuzama. Hiyo ni baada …
MABINGWA mara 30 wa Ligi Kuu Bara Yanga wamebainisha kuwa kutakuwa Parade la Ubingwa la maana Mei 26 2024 ambalo litaanzia Uwanja wa Mkapa asubuhi mpaka Jangwani. Ipo wazi kwamba …
WAKATI Azam FC inakomba pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania Jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Meja Isamuhyo, Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC aliendelea …
MSHAMBULIAJI wa Simba Saidoo Ntibazokiza, ambaye alitwaa Tuzo ya Mfungaji Bora Msimu uliopita, amefikisha mabao 9 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 baada ya kufunga mabao mawili kwenye …
Mechi nyingine ya Ligi kuu ya NBC ni hii hapa ya mwenyeji Mashujaa ambao watakuwa nyumbani kule Lake Tanganyika kuziwasha dhidi ya Coastal Union kutoka mkoani Tanga majira ya saa …
Machi 16 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kutakuwa na dakika 90 za jasho kwa wanaume kusaka pointi tatu ndani ya uwanja Singida dhidi ya Namungo. Saa 10:00 jioni, Singida …
Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kuendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu ambao unawakutanisha kati ya Geita Gold dhidi ya Ihefu majira ya …
Ligi kuu ya NBC Tanzania kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambao utawakutanisha JKT Tanzania dhidi ya Namungo kutoka mkoani Lindi, majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la Meja …
Baada ya kuambulia sare kwenye mchezo wao uliopita, uliochezwa dhidi ya Kagera Sugar Februari 2, 2024 mkoani Kagera, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga leo watakuwa na kibarua Cha …
Uongozi wa klabu ya Simba umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Tabora United. Februari 6 Simba ina kibarua cha …
Ligi kuu ya NBC inatarajiwa kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambao utakuwa ni kati ya mwenyeji Mashujaa dhidi ya Tabora United majira ya saa 10:00 jioni katika dimba la …
Ligi kuu ya NBC inatarajia kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja majira ya saa 10:00 jioni ambapo Ihefu watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Tanzania Prisons huku timu zote zikitokea Mbeya. …
Mechi nyingine ya Ligi kuu Tanzania ni ile inayowakutanisha Geita Gold dhidi ya Tabora United majira hayo hayo ya saa 10:00 jioni katika dimba la Nyankumbu. Geita Gold yupo …
Ligi kuu ya NBC itaendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa kwanza ni kati ya Singida FG dhidi ya Mashujaa ambao ndio wenyeji wa mchezo huo. Mehi hiyo …
Ligi kuu ya NBC inatarajiwa kuendelea kwa mchezo mmoja ambao ni mwenyeji Simba dhidi ya Ihefu FC kutoka Mbeya. Mchezo huo utapigwa majira ya saa 1:00 katika dimba la …
Β Ligi kuu ya NBC hapo jana ilimaliziwa kwa mchezo uliowakutanisha kati ya Azam FC dhidi ya Namungo majira ya saa 2:30 usiku katika dimba la Chamazi. Azam FC wamepoteza …