Wakala wa zamani wa Neymar anayejulikana kwa jina la Wagner Ribeiro ameweka wazi kuwa Neymar alitakiwa na Real Madrid 2019 na walikuwa tayari kumsajili kwa Euro Milioni 300 (Tsh Bilioni …
Makala nyingine
Leslie Feinberg alikuWa mwandishi mkubwa sana nchini Marekani, licha ya kuwa na maumbile ya kike lakini alipenda sana kuwa mwanaume, hivyo ikambidi aishi katika desturi za kiume (Tom boy). Binti …
Lilikuwa pambano lao la mwisho kuwaaga mashabiki wa ngumi ulimwenguni. Umri wao ulishaenda na hakukuwa na uwezekano wa wao wawili kukutana tena. Hii ilikuwa ni mara ya tatu wanakutana, mara …
Sababu kubwa na nzito iliyowafanya PSV wamsajili Ronaldo De Lima baada ya World Cup ya Marekani 1994, ni kasi yake. Walijua mabeki Uholanzi na Ulaya nzima hawakuwahi kukutana na mshambuliaji …
Mastaa wengi duniani wameendelea kutoa pole kutokana na kifo cha Diego Maradona amefariki akiwa na umri wa miaka 60, siku za mwisho alifanyiwa upasuaji wa ubongo akiwa anaedelea vizuri na …
Eden Hazard ingizo jipya ndani ya Real Madrid amefunga bao lake la kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kujiunga na timu hiyo akitokea Klabu ya Chelsea. Hazard alifunga …
Kipa wa zamani wa timu ya Taifa ya England Peter Shilton ambaye alikuwa langoni kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia kati ya England dhidi ya …
Habari kutoka vyombo mbalimbali vya michezo nchini Argentina vimethibitisha Legendi wa Soka Diego Armado Maradona amefariki dunia akiwa na miaka 60. Mshindi huyo wa kombe la dunia mwaka 1986 alipata …
Shirikisho la soka Ulimenguni FIFA limetoa orodha ya wanasoka 11 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Dunia 2020, Tuzo hiyo itatolewa Disemba 17, 2020 sambamba na tuzo ya kocha bora, …
Frank Ribery amehusika katika kamba 40 msimu mzima, ametwaa tuzo ya mchezaji bora Bundesliga, amebeba treble pale Ujerumani, kabatini amezifungia medali za UEFA, taji la ligi kuu na DFB POKAL …
Ni dakika ya 15 tu ya mchezo, Lionel Messi wa miaka 17 anakimbia kutoka chini kwenye counter, anapita katikati ya kiwanja hadi ndani ya box la Real Madrid, anauacha mpira …
Stori za vijiweni kuhusu Mpira zinaniumiza sana, unamuona aliepo pichani? Ni Andres Iniesta Professa wa Mpira na Baba Paroko nje ya uwanja, aliecheza Barcelona na kuheshimika zaidi Real Madrid, ila …
Walikuwa juu sana kwenye soka la dunia 1996 wanabeba EURO pale Wembley kwa kumfunga Jamhuri ya Czech, kisha 1997 Borussia Dortmund anaenda kubeba UEFA, 2002 wanacheza fainali kombe la dunia …
Mchezaji wa zamani wa Argertina, Diego Maradona, ametolewa hospitali siku ya Jumatano, na kuelekea kliniki ya kurekebisha tabia ili kuacha kutegemea pombe. Nyota huyo ambaye anakumbukwa kwa kufunga bao la …
Wakati wamemaliza mazoezi walipewa wasaa wa kuzunguka ndani ya klabu ila ndoto ya Mbappe ni kuonana na Cristiano Ronaldo, Zidane kamshika mkono Mbappe kuelekea ilipo timu ya wakubwa ili Kinda …
Jina lake halisi ni Marcos Evangelista de Morais. Cafu ni kifupisho cha Cafuringa, jina la nyota wa zamani wa Brazil ambaye alifananishwa naye. Utotoni alikataliwa na vilabu vya Corinthians, Palmeiras, …
Timu ya Taifa Stars ya Tanzania leo imepoteza kwa kufungwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Kwenye mchezo wa leo ambao mgeni rasmi …