HABARI ZAIDI
Formula 1 Yafuta Russian Grand Prix
Formula 1 imefuta mbio zilizopangwa kufanyika nchini Urusi za Russian Grand Prix leo siku ya ijumaa kutokana na nchi ya Urusi kuivamia Ukraine.
Chama kinachosimamia...
Formula 1: Ferrari Yakumbuka Kushinda Mataji
Ferrari wamerejea kupigania ushindi wa mbio na mataji msimu huu kwani "wameyakumbuka" kwani hawajashinda mbio kwa misimu miwili sasa, huku ushindi wao wa mwisho...
FIA Yamvua Ukurugenzi Masi wa F1
FIA yathibitisha kumuondoa Michael Masi kwenye nafasi ya ukurugenzi wa mashindano ya Formula 1 kufuatia uchunguzi uliofanyika wakati akisimamia mashindano ya Abu Dhabi Grand...
F1: Vettel Amtetea Michael Masi
Bingwa mara nne kwenye mashindano ya F1 Sebastian Vettel anaamini Michael Masi anapaswa kubakishwa kwenye nafasi yake ya ukurugenzi wa mashindano japokuwa alifanya maamuzi...
F1: Aston Martin Watambulisha Gari Mpya
Timu ya Aston Martin Aramco Cognizant inayoshiriki mashindano ya F1 leo wametambulisha gari yao mpya itakayotumia injini ya AMR22 ambayo watakayoitumia kwenye mashindano ya...
F1: Hamilton Avunja Ukimya
Dereva wa magari ya mbio za langalanga kutoka kwenye timu Mercedes inayoshiriki mashindano ya F1 Lewis Hamilton ametoa neno baada ya kuwa kimya kwa...
FIA: Masi Kutorudi kama Mkurugenzi wa Mbio za F1
FIA, kwa mara ya kwanza wamekubali kuwa teuzi ya hixi karibuni ya mkurugenzi Peter Bayer kunaweza kufanya Michael Masi kutorejea tena mwaka huu kama...
Mike Krack Kuingoza Aston Martin F1
Timu ya Aston Martin leo wamemtambulisha na kumchagua Mike Krack kuwa kiongozi mpya wa timu hiyo ambapo anakwenda kuchukua nafasi ya Otmar Szafnauer ambaye...
Marcedes Wanamtarajia Lewis Kurejea Kwenye Kiti 2022
Licha ya kukerwa na jinsi msimu wa 2021 wa Formula 1 ulivyomalizika, Lewis Hamilton anatarajiwa kurejea kuchukua kiti chake cha Mercedes kwa kampeni ya...
Lewis Hamilton Kweli Kustaafu F1?
Nyota wa timu ya Mercedes Lewis Hamilton amekuwa kimya kwa muda mrefu tokea kumalizika kwa mashindano ya mwisho mwaka jana disemba jijini Abu Dhabi...
MAONI YA HIVI KARIBUNI
Kesheni milahula on Ligi 10 Bora Barani Africa 2022.
Akanji: Haaland Atafunga Magoli 50 Msimu Huu on Haaland wa 4 Kuvuta Mkwaja Mrefu Ulaya, Lakini Hamfikii Mbappe
Ubashiri wa Meridian | Simba Kuwashukuru Mashabiki Wake on Simba SC Yamuaga Rasmi Pascal Wawa.
Jabir on Hatua za Kujisajili Meridianbet | Unapewa Zawadi ya Ukaribisho
Sadick on Tyson: Tukio Bora Maishani Mwangu ni Kifo cha Mama Yangu