NyumbaniGrand Prix

Grand Prix

HABARI ZAIDI

Formula 1 Yafuta Russian Grand Prix

0
Formula 1 imefuta mbio zilizopangwa kufanyika nchini Urusi za Russian Grand Prix leo siku ya ijumaa kutokana na nchi ya Urusi kuivamia Ukraine. Chama kinachosimamia...

Formula 1: Ferrari Yakumbuka Kushinda Mataji

0
Ferrari wamerejea kupigania ushindi wa mbio na mataji msimu huu kwani "wameyakumbuka" kwani hawajashinda mbio kwa misimu miwili sasa, huku ushindi wao wa mwisho...

FIA Yamvua Ukurugenzi Masi wa F1

0
FIA yathibitisha kumuondoa Michael Masi kwenye nafasi ya ukurugenzi wa mashindano ya Formula 1 kufuatia uchunguzi uliofanyika wakati akisimamia mashindano ya Abu Dhabi Grand...

F1: Vettel Amtetea Michael Masi

0
Bingwa mara nne kwenye mashindano ya F1 Sebastian Vettel anaamini Michael Masi anapaswa kubakishwa kwenye nafasi yake ya ukurugenzi wa mashindano japokuwa alifanya maamuzi...

F1: Aston Martin Watambulisha Gari Mpya

0
Timu ya Aston Martin Aramco Cognizant inayoshiriki mashindano ya F1 leo wametambulisha gari yao mpya itakayotumia injini ya AMR22 ambayo watakayoitumia kwenye mashindano ya...

F1: Hamilton Avunja Ukimya

0
Dereva wa magari ya mbio za langalanga kutoka kwenye timu Mercedes inayoshiriki mashindano ya F1 Lewis Hamilton ametoa neno baada ya kuwa kimya kwa...

FIA: Masi Kutorudi kama Mkurugenzi wa Mbio za F1

0
FIA, kwa mara ya kwanza wamekubali kuwa teuzi ya hixi karibuni ya mkurugenzi Peter Bayer kunaweza kufanya Michael Masi kutorejea tena mwaka huu kama...

Mike Krack Kuingoza Aston Martin F1

0
Timu ya Aston Martin leo wamemtambulisha na kumchagua Mike Krack kuwa kiongozi mpya wa timu hiyo ambapo anakwenda kuchukua nafasi ya Otmar Szafnauer ambaye...

Marcedes Wanamtarajia Lewis Kurejea Kwenye Kiti 2022

0
Licha ya kukerwa na jinsi msimu wa 2021 wa Formula 1 ulivyomalizika, Lewis Hamilton anatarajiwa kurejea kuchukua kiti chake cha Mercedes kwa kampeni ya...

Lewis Hamilton Kweli Kustaafu F1?

0
Nyota wa timu ya Mercedes Lewis Hamilton amekuwa kimya kwa muda mrefu tokea kumalizika kwa mashindano ya mwisho mwaka jana disemba jijini Abu Dhabi...