Mike Krack Kuingoza Aston Martin F1

Timu ya Aston Martin leo wamemtambulisha na kumchagua Mike Krack kuwa kiongozi mpya wa timu hiyo ambapo anakwenda kuchukua nafasi ya Otmar Szafnauer ambaye ameondoka hivi karibuni.

Kabla ya kujiunga na Silverstone, Mike Krack alikuwa anaiongoza BMW’s global motorsport, ambapo alifanya kazi ya katika kampuni hiyo yenye makazi jijini Munich tangu maka 2014, ambapo alikuwa msimamizi wa Formula E, GT na IMSA programmes, huku pia kihusika kwenye mipango ya upanuzi wa LMDh formula ya IMSA & WEC.

Mike Krack

Wakati akitambulishwa Mike Krack alisema, “nimeshitushwa  na niheshima kubwa  kushaguliwa  kwa nafasi ya ‘Team Principal” kwenye kampuni na timu ya Aston Martini na  namshukuru sana Lawrence na Martini kwa kunipa nafasi hii adhimu.”

Mike Krack pia amefanya kazi kwenye kampuni ya Porsche kama mtendaji mkuu wa Porsche motorsport, pia amefanya kazi kwa miaka 10 ndani ya Formula One, akiwa na Sauber baadae BMW-Sauber.


JIACHIE NA ALMIGHTY AZTEC

Ni muda wako kujiachia na mchezo maridhawa wa Almighty Aztec katika kasino bomba za meridianbettz. Nafasi ya kutengeneza mkwanja iko mikononi mwako kazi ni kwako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.