NyumbaniFormula 1

Formula 1

HABARI ZAIDI

Lewis Hamilton Namuwinda Max Verstappen

0
Dereva wa Mercedes Lewis Hamilton amejipa nafasi ndogo wa yeye kufanya vizuri kwenye mashindano ya  Bahrain Grand Prix lakini amepanga mipango ya kuweza kumshinda...

F1 2021: Ni Makosa Ya Kibinadamu

0
Ni dhahiri, ubingwa wa Formula 1 (F1) mwaka 2021 bado ni gumzo miongoni mwa mashabiki wa mchezo huo. Haki ilitendeka au iliminywa mahali? Mvutano mkali...

Lewis Hamilton Kubadili Jina la Ukoo

0
Bingwa mara saba wa mashindano ya F1 Lewis Hamilton amefichua siri kuwa anampango wa kubadili  jina lake la koo na kuongeza jina la mama...

Formula 1 Yafuta Russian Grand Prix

0
Formula 1 imefuta mbio zilizopangwa kufanyika nchini Urusi za Russian Grand Prix leo siku ya ijumaa kutokana na nchi ya Urusi kuivamia Ukraine. Chama kinachosimamia...

Formula 1: Ferrari Yakumbuka Kushinda Mataji

0
Ferrari wamerejea kupigania ushindi wa mbio na mataji msimu huu kwani "wameyakumbuka" kwani hawajashinda mbio kwa misimu miwili sasa, huku ushindi wao wa mwisho...

FIA Yamvua Ukurugenzi Masi wa F1

0
FIA yathibitisha kumuondoa Michael Masi kwenye nafasi ya ukurugenzi wa mashindano ya Formula 1 kufuatia uchunguzi uliofanyika wakati akisimamia mashindano ya Abu Dhabi Grand...

F1: Vettel Amtetea Michael Masi

0
Bingwa mara nne kwenye mashindano ya F1 Sebastian Vettel anaamini Michael Masi anapaswa kubakishwa kwenye nafasi yake ya ukurugenzi wa mashindano japokuwa alifanya maamuzi...

F1: Aston Martin Watambulisha Gari Mpya

0
Timu ya Aston Martin Aramco Cognizant inayoshiriki mashindano ya F1 leo wametambulisha gari yao mpya itakayotumia injini ya AMR22 ambayo watakayoitumia kwenye mashindano ya...

F1: Hamilton Avunja Ukimya

0
Dereva wa magari ya mbio za langalanga kutoka kwenye timu Mercedes inayoshiriki mashindano ya F1 Lewis Hamilton ametoa neno baada ya kuwa kimya kwa...

F1 2022, Chanjo Ni LAZIMA.

0
Wakati dunia ikiendelea kupambana na kirusi cha Covid-19, mwaka 2022 kwenye mashindano ya Formula 1 (F1), kuchanja ni lazima. Suala la chanjo ya uviko-19 limekuwa...