Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB (CRDB Federation Cup) utafanyika Julai 4, 2026 katika Uwanja wa …
Makala nyingine
Kocha wa Yanga SC, Abdi Hamid Moallin, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo muhimu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaochezwa Juni 24, 2026, akieleza kuwa …
Azam FC imeweka wazi mustakabali wa benchi lake la ufundi baada ya kuthibitisha kumuongezea mkataba kocha wake mkuu, Florent Ibenge, ambao sasa utamuweka klabuni hapo hadi mwaka 2028. Uongozi wa …
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, wameripotiwa kuelekeza nguvu zao kwa winga wa Azam FC, Idd Seleman ‘Nado’, katika jitihada za kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao wa mashindano. …
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF limetangaza adhabu mbalimbali kwa klabu na wachezaji wa NBC Premier League kutokana na matukio ya utovu wa nidhamu yaliyotokea katika michezo tofauti msimu …
Kikosi cha Yanga kimeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Muungano (Muungano Cup) inayotarajiwa kuanza rasmi Aprili 21, 2026. Mabingwa hao watetezi wanaingia kwenye mashindano …
Ratiba ya robo fainali ya Kombe la shirikisho la CRDB msimu wa 2025/26 imetangazwa rasmi, huku kila pambano likitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa unaofanana na fainali. Mashabiki wa soka nchini …
Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania yameenda vizuri, huku akisisitiza kuwa wanatarajia upinzani mkali …
Kocha wa Simba SC, Steve Barker, amesema mechi ya kesho ni muhimu kwa timu zote mbili kwani kila klabu ina nia ya kupambana kupata alama za ligi. Barker aliongeza: “Azam …
Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa leo katika dimba la Airtel Stadium, Singida, kati ya Singida Black Stars na Azam FC, pande zote mbili zimeonyesha utayari mkubwa huku …
Klabu ya Azam FC ipo tayari kuivaa Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu utakaopigwa Aprili 2 kwenye Dimba la Airtel, mkoani Singida, huku lengo likiwa kuendeleza ushindani wao …
Dabi ya Dar es Salaam kati ya Azam FC na Yanga sc imekamilika kwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa NBC Premier League uliochezwa jana katika Uwanja wa Benjamin …
Kikosi cha klabu ya Yanga SC kimewasili salama Jijini Dar es Salaam kutoka Mkoani Dodoma baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons FC katika mchezo wa …
Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema timu yake haina sababu ya kuficha mbinu zao kuelekea mchezo ujao dhidi ya Yanga SC, akisisitiza kuwa wapinzani wao tayari wanaifahamu vizuri …
Zanzibar Finest Feisali Salum Abdallah Feitoto, nimekuita majina yako yote matatu, hongera sana kwa kiwango bora tangu ujiunge na klabu yako mpya ya Azam FC ukitokea kwa mabingwa mara 30 …
Klabu ya Azam FC inatarajia kuikaribisha Ihefu hapo kesho kwenye mchezo wao wa Ligi kuu ya NBC baada ya kupata ushindi mechi iliyopita dhidi ya Simba katika uwanja wa Benjamin …
Hatimaye ile jezi ya staa bora wa Kimataifa wa Ureno na Manchester United Cristiano Ronaldo, imekabidhiwa kwa Uongozi wa timu ya Azam FC yenye maskani yake nje kidogo ya jiji …

