Simba chini ya kocha mkuu wa muda, Juma Mgunda, ilikuwa imejipa mwiko kuwa haitapoteza mechi yoyote msimu huu kirahisi, lakini jana Azam FC wamevunja mwiko huo. Katika mchezo huo wa …
Makala nyingine
Ligi kuu ya NBC kuendelea hii leo kwa mchezo mwingine mmoja hii leo ambapo ni Dabi ya Mzizima inayowakutanisha Azam Fc dhidi ya Simba katika mchezo wao Ligi kuu huku …
UONGOZI wa klabu ya Azam umeachana na Kocha Mkuu, Denis Lavagne raia wa Ufaransa kutokana na matokeo mabaya yaliyoiandama klabu hiyo hivi karibuni. Lavagne alianza kukinoa kikosi hicho Septemba 6 …
Mchezo wa ligi kuu Bara kati ya Azam dhidi ya Simba unaotarajiwa kupigwa Oktoba 27 mwaka huu sasa utapigwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Azam ambao ni wenyeji wa mchezo …
Klabu ya Azam FC imetangaza kuwa mchezo wao dhidi ya Simba ambao ulitarajiwa kupigwa katika uwanja wa Chamazi Complex, tarehe 27 Oktoba, sasa utapigwa katika Dimba la Benjamin Mkapa siku …
TIMU ya Taifa ya Wasichana wa U17, Serengeti Girls imeyaaga mashindano ya kombe la dunia kishujaa baada ya kuchapwa mabao 3-0 mbele ya Colombia ambao kwa ushindi huo wamekwenda nusu …
Klabu ya Azam Fc ipo mbioni kumtimua kocha wake mkuu Dennis Lavagne raia wa Ufaransa baada ya kupata matokeo ya kutoridhisha hivi karibuni na kushindwa kufikia malengo ya klabu hiyo. …
Hashim Ibwe, katika mazungumzo na mwandishi wa Meridianbet Sport, Amekili kuwaheshimu KMC , “mimi sikua mchezaji kusema kwamba naweza kuingia uwanjani na kurekebisha kitu flani, KMC tumekua tukiwaheshimu toka mwanzo …
Mshambuliaji wa klabu ya Azam Abdul Khamis Suleiman Sopu atafanyiwa vipimo kutaoka na majeraha yanayomkabili msjambuliaji huyo siku za hivi karibuni.Sopu ambaye taarifa kutoka kwa daktari wa matajiri hao wa …
Watanzania Ibrahim Ramadhan na Fadi Ramadhan almaarufu Ramadhan Brothers, waliong’ara katika mashindano ya Australia’s Got Talent yaliyofanyika usiku wa Jumapili, Oktoba 16, 2022, wamefunguka mambo mengi kuhusu maisha yao ikiwemo …
Mchezo dhidi ya klabu ya Kmc na klabu ya Azam Fc uliopangwa kuchezwa tarehe 22 mwezi huu ambao ilikua upigwe siku ya Jumamosi sasa rasmi utapigwa siku ya Ijumaa tarehe …
BAADA ya kupoteza ugenini kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Akhadar ya Libya, Azam FC hesabu zao ni kupata matokeo nyumbani. Wakiwa ugenini walikubali kipigo cha mabao 3-0 jambo …
KAMATI ya Sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) limezifungia klabu za Tanzania Prisons na Singida Big Stars kufanya usajili kwa dirisha moja kutokana na kuwasajili …
Afisa Habari wa klabu ya Azam FC Thabiti Zakaria maarufu ZakaZakazi amefungiwa miezi mitatu na kupigwa faini ya Shilingi laki tano (500,000) kwa kosa la kuwatuhumu marefa kuwanyima penati mbili …
KIKOSI cha Azam FC kinatarajia kuondoka Jijini Dar kesho alhamis kuelekea nchini Libya kwa usafiri maalum kwa ajili ya mchezo wao wa kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Al …
Azam Fc matajiri wa Dar-es-salaam wamekumbana adhabu kutoka kwa maaskari magereza jijini Mbeya baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa klabu ya Tanzania Prisons bao moja kwa bila. Azam wanashindwa kupata …
KIKOSI cha Azam tayari kimewasili Jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho ijumaa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Azam baada ya …