Makala nyingine

Simba chini ya kocha mkuu wa muda, Juma Mgunda, ilikuwa imejipa mwiko kuwa haitapoteza mechi yoyote msimu huu kirahisi, lakini jana Azam FC wamevunja mwiko huo. Katika mchezo huo wa …

Azam Yamtimua Mfaransa

UONGOZI wa klabu ya Azam umeachana na Kocha Mkuu, Denis Lavagne raia wa Ufaransa kutokana na matokeo mabaya yaliyoiandama klabu hiyo hivi karibuni. Lavagne alianza kukinoa kikosi hicho Septemba 6 …

Mchezo wa ligi kuu Bara kati ya Azam dhidi ya Simba unaotarajiwa kupigwa Oktoba 27 mwaka huu sasa utapigwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Azam ambao ni wenyeji wa mchezo …

Klabu ya Azam Fc ipo mbioni kumtimua kocha wake mkuu Dennis Lavagne raia wa Ufaransa baada ya kupata matokeo ya kutoridhisha hivi karibuni na kushindwa kufikia malengo ya klabu hiyo. …

Mshambuliaji wa klabu ya Azam Abdul Khamis Suleiman Sopu atafanyiwa vipimo kutaoka na majeraha yanayomkabili msjambuliaji huyo siku za hivi karibuni.Sopu ambaye taarifa kutoka kwa daktari wa matajiri hao wa …

BAADA ya kupoteza ugenini kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Akhadar ya Libya, Azam FC hesabu zao ni kupata matokeo nyumbani. Wakiwa ugenini walikubali kipigo cha mabao 3-0 jambo …

KAMATI ya Sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) limezifungia klabu za Tanzania Prisons na Singida Big Stars kufanya usajili kwa dirisha moja kutokana na kuwasajili …

KIKOSI cha Azam FC kinatarajia kuondoka Jijini Dar kesho alhamis kuelekea nchini Libya kwa usafiri maalum kwa ajili ya mchezo wao wa kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Al …

Azam Fc matajiri wa Dar-es-salaam wamekumbana adhabu kutoka kwa maaskari magereza jijini Mbeya baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa klabu ya Tanzania Prisons bao moja kwa bila. Azam wanashindwa kupata …

KIKOSI cha Azam tayari kimewasili Jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho ijumaa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Azam baada ya …

1 2 3