Hashim Ibwe: KMC Walitumia Nafasi, Hongera kwa Ushindi, 2:1

Hashim Ibwe, katika mazungumzo na mwandishi wa Meridianbet Sport, Amekili kuwaheshimu KMC ,
Hashim Ibwe
Hashim Ibwe
“mimi sikua mchezaji kusema kwamba naweza kuingia uwanjani na kurekebisha kitu flani, KMC tumekua tukiwaheshimu toka mwanzo na timu yetu imepoteza kwenye mchezo ambao KMC wamekua bora zaidi kwenye mchezo, wametumia nafasi vizuri so timu yetu imepoteza mchezo na KMC imefahuru kwenye kushinda mchezo huu, Kubwa zaidi focus yetu ni kuelekea kwenye Mchezo wetu dhidi ya simu kwenye mchezo ujao,”

Hashim Ibwe pia aliulizwa kuhusu uwezo wa timu yake kwa kipindi cha kwanza.

“Technical analysis inabaki kua kwa mwalimu, kilichotokea leo ni mwendelezo wa Historia Kmc na Azam Fc , Kmc imekua na kiwango kizuri na Ladha ile ile na mechi nyingi tulizocheza na KMC, matokeo yamekua ni Sare au ushindi kwa KMC , “

Katika mchezo huo ambao KMC imeifunga Azam Magoli 2 kwa 1, yaliyofungwa na Nzigamabasbo Styve na George Makang’a kwa KMC huku goli la Azam Likifungwa na Idriss Mbombo. 

Hashim Ibwe
Hashim

Baada ya mchezo huu KMC wamekua nafasi ya 3 wakilingana pointi (13) na Simba na Yanga huku Azam wakiwa nafasi ya 6 kwa point 11, Timu zote mbili zinatarajiwa kukutana na timu kubwa za ligi, Wakati Azam wakikutana na Simba , KMC wanakutana na Yanga,


Kwa habari na matukio ya kimichezo na ya uhakika tembelea Youtube channel yetu Meridian Sport

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.