Michuano iliyosubiriwa kwa hamu kubwa ya Euro 2020 inategemewa kuanza kutimua vumbi rasmi siku ya kesho, ambapo kutakuwa na mechi moja ya ufunguzi kati ya Italy na Uturuki pale katika …
Makala nyingine
Scott McTominay ni miongoni mwa wachezaji wachache kutoka Klabu ya Manchester United walioitwa katika timu za taifa kwa ajili ya kuhudumu katika mataifa yao kuelekea michuano ya Euro 2020. McTominay …
Michuano ya mataifa ya Ulaya EURO 2020 ililazimika kusitishwa kwa muda baada ya lile wimbi la COVID-19 kuibuka na kuua watu wengi, huku ikisababishwa usafiri wa watu kuzuiwa kwa muda …
Sababu kubwa na nzito iliyowafanya PSV wamsajili Ronaldo De Lima baada ya World Cup ya Marekani 1994, ni kasi yake. Walijua mabeki Uholanzi na Ulaya nzima hawakuwahi kukutana na mshambuliaji …
Mastaa wengi duniani wameendelea kutoa pole kutokana na kifo cha Diego Maradona amefariki akiwa na umri wa miaka 60, siku za mwisho alifanyiwa upasuaji wa ubongo akiwa anaedelea vizuri na …
Eden Hazard ingizo jipya ndani ya Real Madrid amefunga bao lake la kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kujiunga na timu hiyo akitokea Klabu ya Chelsea. Hazard alifunga …
Kipa wa zamani wa timu ya Taifa ya England Peter Shilton ambaye alikuwa langoni kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia kati ya England dhidi ya …
Habari kutoka vyombo mbalimbali vya michezo nchini Argentina vimethibitisha Legendi wa Soka Diego Armado Maradona amefariki dunia akiwa na miaka 60. Mshindi huyo wa kombe la dunia mwaka 1986 alipata …
Shirikisho la soka Ulimenguni FIFA limetoa orodha ya wanasoka 11 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Dunia 2020, Tuzo hiyo itatolewa Disemba 17, 2020 sambamba na tuzo ya kocha bora, …
Frank Ribery amehusika katika kamba 40 msimu mzima, ametwaa tuzo ya mchezaji bora Bundesliga, amebeba treble pale Ujerumani, kabatini amezifungia medali za UEFA, taji la ligi kuu na DFB POKAL …
Ni dakika ya 15 tu ya mchezo, Lionel Messi wa miaka 17 anakimbia kutoka chini kwenye counter, anapita katikati ya kiwanja hadi ndani ya box la Real Madrid, anauacha mpira …
Stori za vijiweni kuhusu Mpira zinaniumiza sana, unamuona aliepo pichani? Ni Andres Iniesta Professa wa Mpira na Baba Paroko nje ya uwanja, aliecheza Barcelona na kuheshimika zaidi Real Madrid, ila …
Meneja wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger anaamini kwamba UEFA Nations League inapaswa kufutwa na anapendekeza Kombe la Dunia na Euro zifanyike kila mwaka ili kukabiliana na “ulimwengu wa kisasa” …
“My story is the part of the large American story” yalikuwa ni maneno maarufu sana ya Mtoto wa Bibi mfugaji nchini Kenya, aliesimama Chicago kwa ajili ya kuomba kura ya …
Real Madrid wanaripotiwa kuachana na mpango wa kumsajili kiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba na kuhamia kwa kiungo wa kati wa Rennes mwenye umri wa miaka 17 Eduardo …
Timu ya Taifa Stars ya Tanzania leo imepoteza kwa kufungwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Kwenye mchezo wa leo ambao mgeni rasmi …
Mataifa ya Uhispania na Ureno yameingia mkataba maalumu wa kuunda muungano wa kujipigia chapuo kuandaa michuano ya kombe la dunia (FIFA WORLD CUP) mwaka 2030. Awali katika muungano huo pia …