Thursday, June 8, 2023

TFF

HABARI ZAIDI

Kocha Mzungu Aahidi Jambo Dodoma Jiji

0
Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, raia wa Marekani, Melis Medo ameahidi kuwa mpaka kufikia mwisho wa msimu huu timu hiyo itakuwa nafasi ya sita...

Mbombo wa Azam Anatisha

0
Straika wa Azam FC, Idriss Mbombo ameonekana kuwa mtambo wa mabao ndani ya klabu hiyo baada ya kufunga bao la sita. Bao hilo pekee lilifungwa...

Mkwasa Alalamikia Pelnati ya Azam

0
Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting, Boniface Mkwasa amelalamikia pelnati ya mchezo wao dhidi ya Azam FC uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo ulipigwa...

Kiungo Simba Nje Wiki Mbili

0
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Peter Banda atakuwa nje ya kikosi hicho kwa wiki mbili kwa ajili ya kuuguza jeraha lake la mguu. Ofisa Habari wa...

Pan African Kuifuata Copco Kesho

0
Kikosi cha Pan African kesho jumatano kinatarajia kuondoka kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Copco. Pan inayonolewa na Kocha Mkuu, Iddy Cheche...

Azam Hawafikirii Ubingwa Ligi Kuu

0
Uongozi wa Azam FC umefunguka kuwa haufikirii ubingwa wa ligi kuu licha ya kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi. Azam leo watashuka katika...

KMC Wanyeshwa Wine Uwanja wa Uhuru

0
Dakika ya 8, 18 Seif Abdallah Kalihe anaiandikia Dodoma Jiji bao la kwanza na la pili. Kwa kichwa akipokea pasi kutoka kwa Paul peter,...

Uchaguzi Mkuu Simba Mpaka 2023

0
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa klabu ya Simba, Boniface Lihamwike ameweka wazi kuwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utafanyika Januari mwaka 2023 na...

Simba Wafunguka Mustakabali wa Matola

0
Uongozi wa Klabu ya Simba umesema kuwa hawatakuwa na kocha Suleiman Matola kwa muda wa mwaka mmoja kwa kuwa anakwenda kusoma na baada ya...

KOCHA SIMBA AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

0
Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Sultan amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine. Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka...