HABARI ZAIDI
Kocha Mzungu Aahidi Jambo Dodoma Jiji
Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, raia wa Marekani, Melis Medo ameahidi kuwa mpaka kufikia mwisho wa msimu huu timu hiyo itakuwa nafasi ya sita...
Mbombo wa Azam Anatisha
Straika wa Azam FC, Idriss Mbombo ameonekana kuwa mtambo wa mabao ndani ya klabu hiyo baada ya kufunga bao la sita.
Bao hilo pekee lilifungwa...
Mkwasa Alalamikia Pelnati ya Azam
Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting, Boniface Mkwasa amelalamikia pelnati ya mchezo wao dhidi ya Azam FC uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Mchezo huo ulipigwa...
Kiungo Simba Nje Wiki Mbili
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Peter Banda atakuwa nje ya kikosi hicho kwa wiki mbili kwa ajili ya kuuguza jeraha lake la mguu.
Ofisa Habari wa...
Pan African Kuifuata Copco Kesho
Kikosi cha Pan African kesho jumatano kinatarajia kuondoka kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Copco.
Pan inayonolewa na Kocha Mkuu, Iddy Cheche...
Azam Hawafikirii Ubingwa Ligi Kuu
Uongozi wa Azam FC umefunguka kuwa haufikirii ubingwa wa ligi kuu licha ya kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.
Azam leo watashuka katika...
KMC Wanyeshwa Wine Uwanja wa Uhuru
Dakika ya 8, 18 Seif Abdallah Kalihe anaiandikia Dodoma Jiji bao la kwanza na la pili. Kwa kichwa akipokea pasi kutoka kwa Paul peter,...
Uchaguzi Mkuu Simba Mpaka 2023
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa klabu ya Simba, Boniface Lihamwike ameweka wazi kuwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utafanyika Januari mwaka 2023 na...
Simba Wafunguka Mustakabali wa Matola
Uongozi wa Klabu ya Simba umesema kuwa hawatakuwa na kocha Suleiman Matola kwa muda wa mwaka mmoja kwa kuwa anakwenda kusoma na baada ya...
KOCHA SIMBA AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA
Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Sultan amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka...
MAONI YA HIVI KARIBUNI
Akanji: Haaland Atafunga Magoli 50 Msimu Huu on Haaland wa 4 Kuvuta Mkwaja Mrefu Ulaya, Lakini Hamfikii Mbappe
Ubashiri wa Meridian | Simba Kuwashukuru Mashabiki Wake on Simba SC Yamuaga Rasmi Pascal Wawa.
Jabir on Hatua za Kujisajili Meridianbet | Unapewa Zawadi ya Ukaribisho
Sadick on Tyson: Tukio Bora Maishani Mwangu ni Kifo cha Mama Yangu
SANGIZYO on Paul Pogba: Afungua Milango kwa Vilabu vya Uingereza