FIFA Watangaza Sheria Mpya za Mkopo
Shirikisho la mpira duniani FIFA limetangaza sheria mpya ambazo zitakuwa zinazibiti wachezaji wanaotelewa kwa mkopo kwa timu ambao hawatatakiwa kuzidi wachezaji sita.
Sheria mpya zilizopendekezwa ba shirikisho lampira duniani FIFA zinztzrajiwa kupigiwa kura ya kupata kibali cha ruhusa ya kuanza...
Nani Anaibuka Mbabe Leo Simba vs Yanga?
Hisia za mashabiki wa soka Tanzania leo zitaelekezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ambako kutachezwa mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga kuanzia saa 11 jioni ikiwa ni ya mzunguko wa kwanza wa ligi kuu...
DR Congo Wametufunga Ila Tunachakujifunza Kutoka Kwao
DR Congo ina vilabu viwili vikubwa ambavyo vitatikisa soka la Afrika! Lakini ukiangalia wachezaji wanaoanza kwenye kikosi cha timu ya taifa hakuna mchezaji wa AS Vita wala Mazembe. Dakika 90 zinamalizika hakuna mchezaji aliyecheza kutoka Vita wala Mazembe!
Hapa...
Yanga Kuja Tofafauti Katika Mchezo Dhidi ya Azam
Klabu ya Yanga imejiandaa kufanya mabadiliko kwenye mchezo wao dhidi ya Azam kwenye ligi kuu ya Tanzania bara 'Nbc Premier League' jumamosi hii.
Klabu ya Yanga imejipanga kufanya tofauti kwenye mechi zake wakianza na mchezo wa jumamoisi dhidi ya matajiri...
Simba Yaachana na Kocha Wake Didier Gomes
Klabu ya Simba imeridhia ombi la kuvunja mkataba na kocha wake Didier Gomes baada ya majadiliano ma maridhiano ya pande zote kuridhia kwa manufaa ya pande zote, pia imemteua kocha msaidizi Thierry Hitimana kuchukua mikoba iliyoacha na Didier.
Klabu hiyo...
Benki ya NBC Yadhamini Ligi Kuu ya Tanzania Bara
Benki ya biashara, National Bank of Commerce (NBC) ndio mdhamini rasmi wa Ligi kuu ya Tanzania bara kwa msimu wa 2021-22.
Sasa rasmi ligi ya Tanzania bara itaitwa NBC Tanzania premier league, NBC benki wameingia mkataba wa miaka mitatu wenye...
Senzo Amsifia Manara wakati Akitolea Ufafanuzi Dhidi ya River United
Mkuregenzi mkuu wa klabu ya Yanga Senzo Mbatha ambaye awali alikuwa mkuregenzi wa simba na Kaizer Chief ya Sauzi Afrika amemsifia, Haji Manara kuwa anauwezo mkubwa wa kuhamasisha mashabiki na wachezaji.
Senzo pia aliendelea kusema kuwa Manara anafanya kazi kubwa...
Yanga Kuanza na Kagera Sugar Katika Ligi Kuu
Timu ya Yanga ambao ni mabingwa wapya wa taji ya Ngao ya Jamii leo wameondoka na kuwafuata wapinzani wao kwenye Ligi Kuu Bara Kagera Sugar.
Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ilishinda taji la Ngao ya Jamii kwa ushindi...
Yanga Mabingwa Ngao ya Jamii, Wainyuka Simba Kimoja Tu
Timu ya Yanga imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya mahasimu wao wa jiji la Dar Es Salaam Simba SC katika dimba la Mkapa Stadium mchezo wa Ngao ya Jamii siku ya Jumamosi.
Yanga imeshinda Ngao ya Jamii kwa mara...
Simba Day Kupambwa na Mechi Dhidi ya TP Mazembe
Klabu ya Simba inatarajia kuhitimisha kilele cha wiki ya Wekundu wa Msimbazi maarufu kama "Simba Day" siku ya Jumapili katika uwanja wa taifa, Benjamin Mkapa Stadium ambapo kutakuwa na mambo mbalimbali siku hiyo.
Kuelekea Simba Day wadhamini wakuu wa klabu...