Mbombo wa Azam Anatisha

Straika wa Azam FC, Idriss Mbombo ameonekana kuwa mtambo wa mabao ndani ya klabu hiyo baada ya kufunga bao la sita.

Bao hilo pekee lilifungwa jana jumanne kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

Mbombo ameifungia Azam bao hilo pekee na kufanikiwa kufikisha mabao sita kwenye ligi kuu akiwa mfungaji wa pili katika msimamo wa wafungaji.

Baada ya ushindi huo Azam wamefikisha pointi 26 wakiwa wamecheza michezo 12 huku kwa sasa wakiwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.