Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting, Boniface Mkwasa amelalamikia pelnati ya mchezo wao dhidi ya Azam FC uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo ulipigwa jana jumanne ambapo Azam waliibuka …
Makala nyingine
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa klabu ya Simba, Boniface Lihamwike ameweka wazi kuwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utafanyika Januari mwaka 2023 na siyo mwaka huu tena kama ambavyo …
Uongozi wa Klabu ya Simba umesema kuwa hawatakuwa na kocha Suleiman Matola kwa muda wa mwaka mmoja kwa kuwa anakwenda kusoma na baada ya kumaliza masomo yake ndipo viongozi watajua …
Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Sultan amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine. Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka Jeshi la Polisi Tanzania. Taarifa …
Kocha msaidizi wa Mtibwa Sugar Awadh Juma amesema kuwa hasira zote za kupoteza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC wanazipeleka kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union. Mtibwa Sugar ilipoteza …
Clement Mziza ndiyo mchezaji aliyepeleka kilio kwa Kagera Sugar wilkiendi iliyopita wakati Yanga Sc walipoilaza Kagera Sugar kwa baoa 1-0 kwenye mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba. Mziza, amefunguka …
Kocha Mkuu wa Ihefu, Juma Mwambusi amesema kuwa kwa sasa ameendelea kufanya maboresho katika kikosi chao ili kupunguza mapungufu kadhaa. Akizungumzia maandalizi yao Mwambusi alisema: “Kikosi kimerejea mazoezini kwa ajili …
Benchi la ufundi la Yanga likiongozwa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi limewaomba msamaha mashabiki wa klabu hiyo kutokana na timu kutoonyesha kiwango bora kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar. Yanga …
Msemaji wa zamani wa Yanga Haji Manara ameibuka na kusema kuwa, kipa wa timu hiyo Djudjui Diarra yupo kwenye daraja la peke yake na siyo sawa kama utamlinganisha na makipa …
Kikosi cha Azam FC kimeondoka jana alhamis Jijini Dar kuelekea Morogoro kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mtibwa Sugar. Mchezo huo utapigwa kesho Novemba 12 mwaka huu …
Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons, Shaban Mtupa amefunguka kuwa sababu ya kupoteza mchezo dhidi ya Coastal Union ni majeruhi pamoja na kadi. Mtupa alisema kuwa sababu kubwa ya matokeo hayo …
Baada ya kupata pointi tatu dhidi ya Tanzania Prisons, Kocha Mkuu wa kikosi cha Coastal Union, Yusuf Chipo amefunguka kuwa anazitaka pointi nyingine tatu mbele ya Mbeya City. Coastal walipata …
Mchezo kati ya Geita Gold na KMC umemalizika kwa kutoshana nguvu ya sare ya magoli 1-1 huku magoli hayo yakifungwa na Ntibazonkiza kwa wachimba dhahabu huku vijana wa Kino boys …
Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, George Mpole, ameibuka na kufunguka mengi makubwa yanayomuhusu mara baada ya kutoonekana kwa muda kikosini hapo. Hiyo ikiwa siku ni siku chache …
Straika wa Yanga Fiston Mayele amesema kuwa yeye hana tofauti yoyote na kiungo wa timu hiyo Stephen Azizi Ki kama ambavyo alikuwa anasikia baadhi ya minong’ono kwa baadhi ya mashabiki. …
Ukweli ni kwamba huu siyo wakati mzuri ambao klabu ya Simba unapitia kwani imekutana na matokeo yasiyoridhisha na sasa wameingia kwenye mlundikano wa kuwakosa wachezaji wao muhimu kwa sababu mbalimbali. …
Mchezo wa ligi kuu kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Novemba 27 mwaka huu utapigwa kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi. Polisi Tanzania kwa msimu huu wametumia viwanja …