Kufuatia uamuzi wa klabu ya Mbeya City kumfuta kazi kocha Mecky Maxime pamoja na benchi lake la ufundi, uongozi wa timu hiyo umetangaza rasmi kumteua Salum Mayanga kuwa kocha mkuu …
Makala nyingine
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF limetangaza adhabu mbalimbali kwa klabu na wachezaji wa NBC Premier League kutokana na matukio ya utovu wa nidhamu yaliyotokea katika michezo tofauti msimu …
Klabu ya Simba SC pamoja na TRA United zote mbili zimepigwa faini ya Shilingi milioni 5 kila moja kutokana na tukio la vurugu lililohusisha walinzi wa klabu hizo (stewards) baada …
Ratiba ya robo fainali ya Kombe la shirikisho la CRDB msimu wa 2025/26 imetangazwa rasmi, huku kila pambano likitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa unaofanana na fainali. Mashabiki wa soka nchini …
Klabu ya Mbeya City FC imetangaza rasmi kusitisha mkataba na kocha wake mkuu, Mecky Maxime, pamoja na benchi lake la ufundi, kufuatia makubaliano ya pande zote mbili. Uamuzi huo umetolewa …
Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania yameenda vizuri, huku akisisitiza kuwa wanatarajia upinzani mkali …
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Pedro Goncalves, amesema kikosi chake kinatarajia mchezo mgumu dhidi ya Mbeya City utakaochezwa Aprili 16, 2026, katika muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Goncalves ameeleza …
Klabu ya Simba SC imefanikiwa kunasa saini ya winga mahiri Ramadhan Chobwedo kutoka TRA United, katika dili lililochukua sura mpya baada ya ushindani mkali kutoka kwa vigogo wengine wa Ligi …
Klabu ya Yanga SC imeweka wazi dhamira yake ya kutafuta ushindi katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku benchi la ufundi na wachezaji …
Uongozi wa klabu ya Singida Black Stars umetangaza rasmi kufanya mabadiliko katika benchi la ufundi kwa lengo la kuimarisha utendaji wa timu hiyo katika mashindano mbalimbali. Kupitia taarifa yao, klabu …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana, Jonathan Sowah, ameripotiwa kuandika barua rasmi ya kuomba kuvunja mkataba wake na klabu ya Simba SC kufuatia kutoridhishwa na tuhuma zilizotolewa dhidi yake ambazo zilipelekea …
Kikosi cha Yanga kimewasili salama jijini Dar es Salaam mchana wa leo kikitokea jijini Mwanza, kikiwa na furaha baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji …
KOCHA wa Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Machi wa Ligi kuu ya NBC msimu wa 2025/26, baada ya kuiongoza timu yake kupata matokeo …
Uongozi wa Coastal Union FC umefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kusitisha Mkataba na kocha mkuu Mohammed Muya. Katika taarifa kwa umma, klabu imemshukuru mwalimu Muya kwa mchango wake …
Kesho Aprili 9, 2026, dimba la Sheikh Amri Abeid Stadium litashuhudia pambano la ligi kuu ya NBC kati ya Simba SC na TRA United majira ya saa 10:00 asubuhi. Mchezo …
Kocha wa Simba SC, Steve Barker, amesema mechi ya kesho ni muhimu kwa timu zote mbili kwani kila klabu ina nia ya kupambana kupata alama za ligi. Barker aliongeza: “Azam …
Kocha msaidizi wa Yanga SC, Metthew Silva, amesema timu yao ipo tayari kurejea kwenye ushindani licha ya matokeo yasiyoridhisha katika michezo minne iliyopita. Akizungumza kuelekea mchezo huo, Silva alikiri ugumu …

