Klabu ya Polisi Tanzania wameendelea na maandalizi ya msimu ujao, Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Joslin Sharif ameanza na kuwajenga wachezaji kisaikolojia ili kuweza kuwa sawa kiakili kwa ajiri ya …
Makala nyingine
Golikipa mpya wa klabu ya Tanzania Prisons Mussa Mbisa baada ya kusajiliwa amefunguka kuwa anahitaji tuzo ya kipa bora wa msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania bara NBC Premier …
UONGOZI wa Singida Big Stars, umetamba kuwa licha ya kuwatambulisha baadhi ya wachezaji lakini bado wapo mastaa ambao hawajatambulishwa. Agosti 4, mwaka huu Singida inatarajia kufanya tamasha lao kwenye Uwanja …
Uongozi wa klabu ya Azam FC umetangaza rasmi kuachana na kiungo wa kikosi hicho na timu ya Taifa Stars (Tanzania), Mudathir Yahya baada ya mkataba wake kumalizika. Kikosi cha Azam …
Mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Congo Yannick Bangala leo ameongeza kandarasi yake ya kuitumikia klabu ya Yanga SC hadi mwaka 2024 na kukata mzizi wa fitina kuhusu hatma yake kwenye …
Mkurugenzi mwendeshaji wa klabu ya Yanga Senzo Mbatha Mazingiza leo ndio siku yake ya mwisho kuhusu kwa nafasi hiyo kwenye klabu ya Yanga na ameomba kutoongezewa muda wa kuendelea kkufanya …
Mchezaji nyota wa klabu ya Mtibwa Sugar Baraka Majogoro amejiunga na klabu ya KMC kwa uhamisho huru baada ya kumaliza mkataba wake na klabu hiyo kwa msimu wa 2022/23 ataitumikia …
Klabu ya Polisi Tanzania imemtangaza kocha mkuu mpya wa ambaye ataingoza klabu hiyo kwa msimu mpya unaotarajiwa kuanza hivi karibu kutoka nchini Burundi Joslin Sharif kwa mkataba wa mwaka mmoja. …
Wachezaji nyota wa klabu ya yanga Mayele na Aucho ambao walikuwa mapumzikoni wamerejea rasmi kwenye kikosi cha timu hiyo ambacho kimeweka kambi kigamboni Avic Town kwa ajiri ya maandalizi ya …
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ambayo watakwenda nayo msimu ujao ni kukusanya mataji yote matatu iliyotwaa kwa msimu wa 2021/22. Mataji hayo ni Ngao ya Jamii,Ligi Kuu …
Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara 28, Yanga wachezaji wao rasmi wameanza mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya katika Mji wa Avic Town, Kigamboni ilipo kambi yao. Jana jioni …
BAADA ya kuachana na Kocha Mkuu, Malale Hamsin Uongozi wa klabu ya Polisi Tanzania umefunguka kuwa kikosi chao kwa sasa kitakuwa chini ya kocha Msaidizi, George Mketo. Tayari Polisi Tanzania …
Msemaji na muhamasishaji wa klabu ya Yanga Haji Sunday Manara amerusha vijimbe kwa lugha ya picha baada ya kuzuiwa kujishughulisha na mchezo wa soka ndani na nje ya nchi kwa …
kiungo Mshambuliaji wa Azam FC, Awesu Awesu amejiunga na klabu ya KMC kwa mkataba wa mwaka mmoja. Baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Azam Awesu sasa amesajiriwa rasmi …
BAADA ya kusajiliwa Azam, straika, Abdul Sopu ameahidi kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo kwa msimu ujao. Nyota huyo ni miongoni mwa wachezaji waliosajiliwa kwenye dirisha kubwa kutokana na kiwango …
Ofisa habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru ameteuliwa kuwa balozi wa mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Cambiasso. Mashindano hayo yatajumuisha timu kutoka nchi mbalimbali ikiwemo …
Uongozi wa Klabu ya Polisi Tanzania umeweka wazi kuwa wataweka Kambi maalumu kwa ajili ya maandalizi ya michezo inatayotarajia kuanza hivi karibuni kwenye msimu wa 2022/23 katika jiji la Dar …
Benchi la ufundi la Coastal Union limefunguka kuwa kuwapoteza nyota wao Akpan na Sopu jambo hilo linawapa changamoto kubwa katika kutengeneza kikosi chao cha msimu ujao. Akpan amejiunga na klabu …
UONGOZI wa timu ya Geita Gold FC unatarajia kuweka kambi nchini Burundi kwenye mji wa Bujumbura kwa ajili ya kujiandaa na mashindano yote yanayowakabili kwa msimu unaotarajia kuanza August. Ofisa …
LIGI Kuu ya Vijana chini ya miaka 20 ilitamatika jana Jumapili kwenye uwanja wa Azam Complex na Mtibwa Sugar kufanikiwa kuwa mabingwa baada ya kuwachapa Mbeya Kwanza mabao 4-0. Ushindi …

