Mwambusi Afanya Maboresho

Kocha Mkuu wa Ihefu, Juma Mwambusi amesema kuwa kwa sasa ameendelea kufanya maboresho katika kikosi chao ili kupunguza mapungufu kadhaa.

Akizungumzia maandalizi yao Mwambusi alisema: “Kikosi kimerejea mazoezini kwa ajili ya kujiandaa na michezo mingine ya ligi.

“Katika mchezo uliopita tuliruhusu bao lakini hiyo ni kutokana na makosa aliyofanya kipa kwa kutokuwa sehemu sahihi.

“Nipo kwenye kiwanja cha mazoezi kwa ajili ya kufanya marekebisho ya yale makosa niliyoyaona pia kuongeza yale mazuri zaidi ili timu iwe bora.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.