Mwambusi Ajiengua Yanga SC.


Kocha msaidizi, Juma Mwambusi, ameomba kukaa kando kwa sasa ndani ya kikosi cha Yanga kwenye majukumu ya kuwa kocha msaidizi.

Hatua hiyo imefikia baada ya yeye mwenyewe kuandika barua baada ya kikosi hicho kutwaa taji la Mapinduzi ambapo iliifunga Simba kwa penalti 4-3 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya bila kufungana, Uwanja wa Amaan, Visiwani Zanzibar.

 

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Mshindo Msolla amesema kuwa kwenye barua yake ya kuomba kujiweka kando ametaja sababu kuwa ni kuwa na matatizo ya kiafya.

Ameongeza kuwa Mwambusi ameshauriwa na wataalamu kukaa sehemu ambayo itamfanya asiwe na msongo wa mawazo pamoja na kupiga kelele.

Kwa sasa timu itakuwa chini ya Kocha Mkuu, Cedric Kaze raia wa Burundi ambaye ameachiwa jukumu la kusaka msaidizi wake.


USHINDI UPI NI MKUBWA KWAKO, £2,000,000? 🤑

Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.

INGIA MCHEZONI

19 Komentara

    Yanga wameshalimwaga huku

    Jibu

    Unakaribishwa utopolo mzee

    Jibu

    Duh uyu nae anataka kukwamisha watu

    Jibu

    Duuh hatari

    Jibu

    Mwambusi ni Kocha mzuri na anatakiwa kuwa Kocha mkuu sio msaidizi wa yeyote

    Jibu

    Kwanza nampongeza kwa kutoa ubingwa wa mapinduzi pili mapumziki mema ya kiafya

    Jibu

    Mh

    Jibu

    Kwa sasa timu itakuwa chini ya Kocha Mkuu, Cedric Kaze raia wa Burundi ambaye ameachiwa jukumu la kusaka msaidizi wake.

    Jibu

    Mhh kuna shida hapo

    Jibu

    Vizuri niakilizake zimemtuma na mamuzi yake

    Jibu

    Kuna jambo hapo

    Jibu

    Kama ni matatizo ya kiafya sio mbaya muache apumzike amefanya kazi nzuri kwenye klabu

    Jibu

    sio mbaya

    Jibu

    Mh sio bure kutakuwa nashida

    Jibu

    Hapo kuna tatizo

    Jibu

    Duuh atali apo akupo saw kuna namna

    Jibu

    Sio mbaya

    Jibu

    Asepe tu

    Jibu

    Wesha anza kutibuana

    Jibu

Acha ujumbe