Makala nyingine

Mwanadada, Iga Swiatek amefanikiwa kufuzu mzunguko wa 4 kunako mashindano ya Wimbledon 2021.  Swiatek amefanikiwa kutinga kwenye hatua hiyo baada ya kumshinda Irina-Camelia Begu kwa matokeo ya seti 6-1 6-0. …

Mashindano ya Wimbledon 2021 yanaendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali nchini Uingereza. Rodger Federer kuchuana na Cameron Norrie kwenye mzunguko wa 3. Federer ameendelea kuonesha uwezo wake mkubwa kwenye mashindano …

Mashindano ya Wimbledon 2021 yanaendelea kutimua vumbi nchini Uingereza. Baadhi ya wachezaji wamejitoa kwa sababu mbalimbali, wengine wanaendelea kuonesha ubora wao. Andy Murray ameonesha uwezo wake katika mchezo uliokuwa na …

Imekuwa kama ngekewa kwa Johanna Konta kuelekea mashindano ya Wimbledon 2021. Maambukizi ya COVID19, yanaendelea kuharibu mipango ya wachezaji. Kwenye soka, baadhi ya wachezaji wamejikuta wakitengwa na wachezaji wenzao baada …

Bingwa wa US Open – Dominic Thiem, amechukua uamuzi wa kujitoa kwenye mashindano ya Wimbledon baada ya kupata majeruhi. Mashindano ya Wimbledon yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi jumatatu ijayo na yatadumu …

Kuelekea mashindano ya Olympics yatakayofanyika Tokyo 2020, Japan – Andy Murray ajumuishwa kwenye kikosi cha Uingereza. Bingwa mara mbili wa Olympics [Andy Murray] atachuana na Dan Evans kwenye mpambano wa …

Kuelekea kuanza kwa mashindano ya Wimbledon, Naomi Osaka ameungana na Rafael Nadal kujiondoa kwenye mashindano hayo. Osaka ambaye tayari alijiondoa kwenye French Open, amechukua uamuzi wa kujiondoa kwenye Wimbledon ili …

Mchezaji tenesi namba 3 kwa ubora duniani, Rafael Nadal ameamua kujiondoa kwenye mashindano ya Wimbledon na Olympics mwaka huu. Nadal anafikia uamuzi huu akiwa tayari anamakombe kadhaa ya Wimbledon (2008 …

Baada ya kuwa nje ya uwanja kwa miezi 3, Roger Federer aanza maandalizi ya Wimbledon kwa ushindi dhidi ya Ilya Ivashka. Federer amerejea uwanjani kwa mara ya kwanza baada ya …

Bingwa mara 6 wa Mashindano ya US Open – Serena Williams, ameyaaga mashindano hayo baada ya kutolewa katika hatua ya nusu fainali. Katika mchezo uliowakutanisha wakongwe wawili wa mchezo wa …

Mashindano ya Western and Southern Open yanaendelea kutimua vumbi mjini Cincinnati – Marekani. Novak Djokovic na Johanna Konta wanaendelea kuwaburuza wapinzani wao na sasa wamefuzu hatua ya nusu fainali. Katika …

1 2
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.