Makala nyingine

Mwanadada, Iga Swiatek amefanikiwa kufuzu mzunguko wa 4 kunako mashindano ya Wimbledon 2021.  Swiatek amefanikiwa kutinga kwenye hatua hiyo baada ya kumshinda Irina-Camelia Begu kwa matokeo ya seti 6-1 6-0. …

Mashindano ya Wimbledon 2021 yanaendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali nchini Uingereza. Rodger Federer kuchuana na Cameron Norrie kwenye mzunguko wa 3. Federer ameendelea kuonesha uwezo wake mkubwa kwenye mashindano …

Mashindano ya Wimbledon 2021 yanaendelea kutimua vumbi nchini Uingereza. Baadhi ya wachezaji wamejitoa kwa sababu mbalimbali, wengine wanaendelea kuonesha ubora wao. Andy Murray ameonesha uwezo wake katika mchezo uliokuwa na …

Imekuwa kama ngekewa kwa Johanna Konta kuelekea mashindano ya Wimbledon 2021. Maambukizi ya COVID19, yanaendelea kuharibu mipango ya wachezaji. Kwenye soka, baadhi ya wachezaji wamejikuta wakitengwa na wachezaji wenzao baada …

Bingwa wa US Open – Dominic Thiem, amechukua uamuzi wa kujitoa kwenye mashindano ya Wimbledon baada ya kupata majeruhi. Mashindano ya Wimbledon yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi jumatatu ijayo na yatadumu …

Kuelekea mashindano ya Olympics yatakayofanyika Tokyo 2020, Japan – Andy Murray ajumuishwa kwenye kikosi cha Uingereza. Bingwa mara mbili wa Olympics [Andy Murray] atachuana na Dan Evans kwenye mpambano wa …

Kuelekea kuanza kwa mashindano ya Wimbledon, Naomi Osaka ameungana na Rafael Nadal kujiondoa kwenye mashindano hayo. Osaka ambaye tayari alijiondoa kwenye French Open, amechukua uamuzi wa kujiondoa kwenye Wimbledon ili …

Mchezaji tenesi namba 3 kwa ubora duniani, Rafael Nadal ameamua kujiondoa kwenye mashindano ya Wimbledon na Olympics mwaka huu. Nadal anafikia uamuzi huu akiwa tayari anamakombe kadhaa ya Wimbledon (2008 …

Baada ya kuwa nje ya uwanja kwa miezi 3, Roger Federer aanza maandalizi ya Wimbledon kwa ushindi dhidi ya Ilya Ivashka. Federer amerejea uwanjani kwa mara ya kwanza baada ya …

Bingwa mara 6 wa Mashindano ya US Open – Serena Williams, ameyaaga mashindano hayo baada ya kutolewa katika hatua ya nusu fainali. Katika mchezo uliowakutanisha wakongwe wawili wa mchezo wa …

Mashindano ya Western and Southern Open yanaendelea kutimua vumbi mjini Cincinnati – Marekani. Novak Djokovic na Johanna Konta wanaendelea kuwaburuza wapinzani wao na sasa wamefuzu hatua ya nusu fainali. Katika …

1 2