Makala nyingine

FAST BET: Hivi ulishawahi kwenda kwa mangi kununua bidhaa yeyote ukakutana na foleni ya kufa mtu, au ushaenda benki na sehemu zingine zenye huduma kama hizi, asikwambie mtu bana foleni …

Meneja mpya wa Aston Villa, Unai Emery alisisitiza kwamba lazima achukue kazi hiyo. Kocha huyo wa zamani wa Arsenal ataanza kazi rasmi Villa Park Novemba 1, mara baada ya kukamilisha …

Paul Scholes amedai kuwa Jurgen Klopp na Jordan Henderson wametofautiana kutokana na kutokuwepo kwa nahodha wa Liverpool kwenye kikosi chao cha kuanzia. Haya yanajiri baada ya Henderson kuwekwa benchi wakati …

MICHO: Jana wakati mchezo wa watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba ulipokuwa ukiendelea, ulishuhudia watu wengi kutoka nchi tofauti wakihudhuria uwanjani kushuhudia mchezo huo wa historia. Miongoni mwa watu …

MCHEZAJI wa Simba Agustine Okrah ambaye ni raia wa Ghana, ametumia mtandao wake wa kijamii kufafanua suala la yeye kushindwa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ya watani wa …

KLABU ya Simba ilikuwa kwenye hati hati ya kukabiliwa na adhabu kutokana na utovu wa nidhamu kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga uliopigwa jana kwenye dimba la Benjamin Mkapa na …

SHINDA: Ebuana eeeh ule mzigo umeshafika kwao, na huu sio wa mwingine ni kwaajili yako kabisa unakusubiri wewe tu. Meridianbet mabingwa wa hizi kazi hapa Tanzania wamekuja na kitu kipya …

Mchezo wa Yanga Vs Simba unakaribia kuazna huku vikosi vya timu zote vikiwa vimeshatoka. Kwa upande wa wenyeji wa mchezo Yanga golini ataanza 39 Diarra, 21 Djuma Shabani, 15 Kibwana …

Manchester City wanaripotiwa kutaka kumsajili winga wa Napoli Khvicha Kvaratskhelia. Kvaratskhelia, ambaye hajulikani aliko kabla ya msimu huu, amevutia vilabu kadhaa maarufu barani Ulaya baada ya kung’ara katika miezi mitatu …

Keane Amtetea Ronaldo

Roy Keane alimtetea Cristiano Ronaldo Jumamosi usiku, akidai kuwa kuondoka kwake dhidi ya Tottenham kulitokana na kuchanganyikiwa kabisa – ingawa hawezi kuona njia ya kurejea Manchester United kwa nyota huyo …

Mabosi wa soka wa Uingereza (FA) wameshutumu kelele za chuki za ushoga kutoka kwa mashabiki wa Manchester United huko Chelsea huku klabu hiyo ya Stamford Bridge pia ikisisitiza kuwa nyimbo …

Paul Scholes ametilia shaka uamuzi wa meneja wa Manchester United Erik ten Hag kumtoa Jadon Sancho na kuchukua nafasi ya Fred wakati wa sare ya 1-1 jana na Chelsea, akielezea …

1 2 3
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.