Kila mmoja ni Bingwa kwenye uwanja wake! Meridianbet walitoa nafasi ya kutamba ukibashiri kwa USSD bila kutumia Intaneti, ukibeti na kitochi au Simu janja, na ndivyo walivyofanya ndugu Godson Alex …
Makala nyingine
FAST BET: Hivi ulishawahi kwenda kwa mangi kununua bidhaa yeyote ukakutana na foleni ya kufa mtu, au ushaenda benki na sehemu zingine zenye huduma kama hizi, asikwambie mtu bana foleni …
Meneja mpya wa Aston Villa, Unai Emery alisisitiza kwamba lazima achukue kazi hiyo. Kocha huyo wa zamani wa Arsenal ataanza kazi rasmi Villa Park Novemba 1, mara baada ya kukamilisha …
Paul Scholes amedai kuwa Jurgen Klopp na Jordan Henderson wametofautiana kutokana na kutokuwepo kwa nahodha wa Liverpool kwenye kikosi chao cha kuanzia. Haya yanajiri baada ya Henderson kuwekwa benchi wakati …
MICHO: Jana wakati mchezo wa watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba ulipokuwa ukiendelea, ulishuhudia watu wengi kutoka nchi tofauti wakihudhuria uwanjani kushuhudia mchezo huo wa historia. Miongoni mwa watu …
MCHEZAJI wa Simba Agustine Okrah ambaye ni raia wa Ghana, ametumia mtandao wake wa kijamii kufafanua suala la yeye kushindwa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ya watani wa …
KLABU ya Simba ilikuwa kwenye hati hati ya kukabiliwa na adhabu kutokana na utovu wa nidhamu kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga uliopigwa jana kwenye dimba la Benjamin Mkapa na …
SHINDA: Ebuana eeeh ule mzigo umeshafika kwao, na huu sio wa mwingine ni kwaajili yako kabisa unakusubiri wewe tu. Meridianbet mabingwa wa hizi kazi hapa Tanzania wamekuja na kitu kipya …
Mchezo wa Yanga Vs Simba unakaribia kuazna huku vikosi vya timu zote vikiwa vimeshatoka. Kwa upande wa wenyeji wa mchezo Yanga golini ataanza 39 Diarra, 21 Djuma Shabani, 15 Kibwana …
India imeishinda Pakistan kwa wiketi nne katika moja ya mechi kali na ya kusisimua ya mchezo wa Kriketi mjini Melbourne na kuibua cheche katika Kombe la Dunia la T20 mwaka …
Erik ten Hag alisisitiza kuwa hana majuto kwa kumtimua Cristiano Ronaldo kutoka kwenye kikosi huku kauli za meneja wa United zikiendelea, huku nguli wa United, Gary Neville na Roy Keane …
Mkuu wa mbio za Red Bull na kandanda Dietich Mateschitz amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Raia huyo wa Austria alijulikana kwa …
Manchester City wanaripotiwa kutaka kumsajili winga wa Napoli Khvicha Kvaratskhelia. Kvaratskhelia, ambaye hajulikani aliko kabla ya msimu huu, amevutia vilabu kadhaa maarufu barani Ulaya baada ya kung’ara katika miezi mitatu …
Roy Keane alimtetea Cristiano Ronaldo Jumamosi usiku, akidai kuwa kuondoka kwake dhidi ya Tottenham kulitokana na kuchanganyikiwa kabisa – ingawa hawezi kuona njia ya kurejea Manchester United kwa nyota huyo …
Mabosi wa soka wa Uingereza (FA) wameshutumu kelele za chuki za ushoga kutoka kwa mashabiki wa Manchester United huko Chelsea huku klabu hiyo ya Stamford Bridge pia ikisisitiza kuwa nyimbo …
Paul Scholes ametilia shaka uamuzi wa meneja wa Manchester United Erik ten Hag kumtoa Jadon Sancho na kuchukua nafasi ya Fred wakati wa sare ya 1-1 jana na Chelsea, akielezea …
Kila mmoja ni bingwa kwenye uwanja wake, na Meridianbet wanakupa nafasi ya kutamba kibingwa kwa kuibuka mshindi wa zawadi zao kibao. Meridianbet wamekusogezea ofa kubwa kwa mchezaji mpya kabisa wa …