Mshambuliaji wa Barcelona na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amesema jaribio lake la kutaka kuondoka klabuni hapo ambalo liligonga mwamba katika dirisha la uhamisho lililopita liliathiri sana mchezo …
Makala nyingine
Ni usiku wa May 28 2017, muamuzi ametoka tu kupuliza kipenga chake kuumaliza mchezo wa Roma dhidi ya Genoa. Ushindi wa 3-2 wala haujawapa furaha mashabiki wa Roma. Leo shujaa …
Mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe, 21, amedokeza kuwa nafasi ya yeye kuondoka Paris St-Germain itategemea ridhaa ya wazazi wake. (Copa 90, via Sun on Sunday) Hayo yamejiri baada ya Mfaransa …
Lilikuwa pambano lao la mwisho kuwaaga mashabiki wa ngumi ulimwenguni. Umri wao ulishaenda na hakukuwa na uwezekano wa wao wawili kukutana tena. Hii ilikuwa ni mara ya tatu wanakutana, mara …
Sababu kubwa na nzito iliyowafanya PSV wamsajili Ronaldo De Lima baada ya World Cup ya Marekani 1994, ni kasi yake. Walijua mabeki Uholanzi na Ulaya nzima hawakuwahi kukutana na mshambuliaji …
Mastaa wengi duniani wameendelea kutoa pole kutokana na kifo cha Diego Maradona amefariki akiwa na umri wa miaka 60, siku za mwisho alifanyiwa upasuaji wa ubongo akiwa anaedelea vizuri na …
Eden Hazard ingizo jipya ndani ya Real Madrid amefunga bao lake la kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kujiunga na timu hiyo akitokea Klabu ya Chelsea. Hazard alifunga …
Habari kutoka vyombo mbalimbali vya michezo nchini Argentina vimethibitisha Legendi wa Soka Diego Armado Maradona amefariki dunia akiwa na miaka 60. Mshindi huyo wa kombe la dunia mwaka 1986 alipata …
Shirikisho la soka Ulimenguni FIFA limetoa orodha ya wanasoka 11 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Dunia 2020, Tuzo hiyo itatolewa Disemba 17, 2020 sambamba na tuzo ya kocha bora, …
Frank Ribery amehusika katika kamba 40 msimu mzima, ametwaa tuzo ya mchezaji bora Bundesliga, amebeba treble pale Ujerumani, kabatini amezifungia medali za UEFA, taji la ligi kuu na DFB POKAL …
Stori za vijiweni kuhusu Mpira zinaniumiza sana, unamuona aliepo pichani? Ni Andres Iniesta Professa wa Mpira na Baba Paroko nje ya uwanja, aliecheza Barcelona na kuheshimika zaidi Real Madrid, ila …
Walikuwa juu sana kwenye soka la dunia 1996 wanabeba EURO pale Wembley kwa kumfunga Jamhuri ya Czech, kisha 1997 Borussia Dortmund anaenda kubeba UEFA, 2002 wanacheza fainali kombe la dunia …
Kaskazini Mashariki mwa Hispania kuna mji mdogo uitwao Jaca ndani ya Jimbo la Huesca, ndipo hapo alipokulia Mrembo aitwae Georgina Rodriguez kwa Baba Muargentina na Mama Mhispania Ugumu wa maisha, …
Jina lake halisi ni Marcos Evangelista de Morais. Cafu ni kifupisho cha Cafuringa, jina la nyota wa zamani wa Brazil ambaye alifananishwa naye. Utotoni alikataliwa na vilabu vya Corinthians, Palmeiras, …
Raisi wa Shirikisho la soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino jumatano ya wiki hii alifanya ziara nchini Qatar kujionea maandalizi ya kombe la Dunia mwaka 2022 ambayo yatafanyikia nchini humo. “Kama …
Mataifa ya Uhispania na Ureno yameingia mkataba maalumu wa kuunda muungano wa kujipigia chapuo kuandaa michuano ya kombe la dunia (FIFA WORLD CUP) mwaka 2030. Awali katika muungano huo pia …
Kocha mkuu wa Barcelona, Ronaldo Koeman huenda anaweza kuikosa huduma ya nyota wake Lionel Messi raia wa Argentina kwenye mechi tatu za La Liga ikiwa nyota atakwenda kwenye majukumu ya …