Morocco Yatoswa Kombe la Dunia 2030

Mataifa ya Uhispania na Ureno yameingia mkataba maalumu wa kuunda muungano wa kujipigia chapuo kuandaa michuano ya kombe la dunia (FIFA WORLD CUP) mwaka 2030.

Awali katika muungano huo pia walikuwepo Morocco kutoka Afrika lakini Raisi wa Shirikisho la soka barani Ulaya, Aleksander Ceferin alipinga uwepo wa Morocco kwakuwa ipo bara tofauti na Ulaya.

“Siafiki kombe la Dunia kufanyika katika mabara mawili tofauti. Tuingie katika kampeni hizi kama Ulaya na Afrika nao wataingia kama wao ili kuweka rekodi sahihi za mabara yetu kuandaa michuano hii adhimu duniani”

Serikali ya Morocco imesema hilo haliwakatishi tamaa kuitafuta nafasi hiyo ya kuandaa michuano hiyo wao kama wao.

“Wenzetu Afrika kusini waliweza mwaka 2010 pia nasi tunaweza kuirudisha michuano hiyo Afrika endapo tutapata fursa hiyo” – Alisema Waziri Mkuu wa nchi hiyo

Ukiwaondoa Morocco na umoja wa Uhispania na Ureno katika kampeni hizo , pia taifa la Uingereza lipo katika kinyang’anyiro hicho cha kuandaa michuano ya Kombe la Dunia 2030.

Wagombea wengine ni kutoka Amerika ya kusini mataifa ya Argentina, Paraguay , Uruguay na Chile ambao pia wanataka kuandaa michuano hiyo kwa pamoja.


Weka Pesa kwa Airtel Money!

Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!

Soma Zaidi

34 Komentara

    Uhispania na ureno kama watafanikiwa itakua vizuri zaidi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Kila la kher

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Kama utakamilika huo muhungano Morocco hutawafaa sana

    Jibu

    Morocco ni bado sana miundombinu haijawa poa

    Jibu

    Kila la kheri kwenye michuano hiyo hitayo lejea badae

    Jibu

    Jamani wangewakubalia Morocco tungeona vipaji .

    Jibu

    Wajitaidi next tym

    Jibu

    Sijajua kigezo kipi kinaangaliwa ila kama iliwezekana 2010 , pia itawezekana endapo wakipewa nafasi

    Jibu

    Bora waungane tu wapate wanachokitaka

    Jibu

    Hapo kazi ipo

    Jibu

    Muungano kama hutakamilika morocco hutawafaa sana

    Jibu

    Umoja ni nguvu

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Kila la kheri Kama muunganiko huo hutafikiah tamati

    Jibu

    Moroco ni safi pia wajitahid kuboresha viwanja na miundombinu

    Jibu

    Kila kheri

    Jibu

    safi

    Jibu

    duuh

    Jibu

    Mdogo mdogo tutafika tuu

    Jibu

    Dah Africa nao tunagundu

    Jibu

    Jitihada ni kitu cha msingi zaidi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Duuuu

    Jibu

    Duuh hatari.

    Jibu

    Nice

    Jibu

    duh sasa apo kazi ishakuwa nzito sana kwa morocco

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Kazi nzito

    Jibu

    Kazi ipo

    Jibu

    Morocco ni bado sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    pole yao sana

    Jibu

Acha ujumbe