Messi Kuikosa El Classico?

Kocha mkuu wa Barcelona, Ronaldo Koeman huenda anaweza kuikosa huduma ya nyota wake Lionel Messi raia wa Argentina kwenye mechi tatu za La Liga ikiwa nyota atakwenda kwenye majukumu ya Taifa mwezi ujao.

Miongoni mwa mchezo ambao unampasua kichwa Kocha Mkuu wa Barcelona, Koeman ni pamoja na ule utakaowakutanisha dhidi ya Real Madrid maarufu kama El Clasico kwa mwezi Oktoba.

Ratiba inaonyesha kuwa mechi za timu ya Taifa ya Argentina kutafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia 2022 itakuwa ni Oktoba 8 ambapo itacheza na Ecoador na Oktoba 13 dhidi ya Bolivia.

Kwa mujibu wa kanuni nchini Hispania kwa sasa ni lazima kwa kila mmoja anayetoka Kusini mwa America lazima akae karantini kwa muda wa siku 14 hivyo kwa wakati huo Messi atakuwa hana namna ya kucheza mechi za La Liga.

Anaweza kukosa mechi dhidi ya Getafe na Alaves pia na kwa namna ratiba ilivyo anaweza kuikosa mechi kali dhidi ya Real Madrid maarufu kama El Clasico.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

31 Komentara

    Litakuwah pigo kubwa sana kukosa nahodha wao

    Jibu

    duh apo kazi ipo lakini ni muhimu messi kushiriki mashindano ya ligi ya taifa watabidi watafute mbadala

    Jibu

    Messi namkubali#meridianbettz

    Jibu

    Messi mtu muhimu

    Jibu

    Messi ni fundi wa mpira

    Jibu

    Ni kiungo muhimu sasa ni uhamuzi tu kwn lazima awe sehemu mmoja wapo tu

    Jibu

    Litakuwa pigo kubwa sana

    Jibu

    Nahodha amekosekana haina jinsi inabidi kutafuta mtu ambaye ataweza kukava nafasi ya Messi inavyotakiwa

    Jibu

    Pengo lisilozibika

    Jibu

    Bonge la pendo kwa barca maana bila Messi hamna timu dah

    Jibu

    Barca inabidi watengeneze timu kwa kutogemea wachezaji wa kila siku ambao wakipata dharura timu inayumba

    Jibu

    Duu pale anapo cheza Messi nafasi hile ataikava nani simtiani huo Barcelona inatakiwa awe nakikosi chaumakini kisicho mtegemea Messi

    Jibu

    Sio mbaya hata huko aendako kuna majukumu vile vile ya taifa lake

    Jibu

    Barcelona kwa sasa watengeneze wa chezaji wenye uwenzo ili waache kumfikilia mchezaji mmoja tu si ivyo wanaweza kulamba galasa ligi msimu huu

    Jibu

    Dah mbona kazi wanayo.wacheze mpira bila Messi

    Jibu

    Koemani itabidi aunge kikosi kingine bila ya kumtegemea mess

    Jibu

    Messi ni fundi bhana wa mpira#Meridianbettz

    Jibu

    Pigo kubwa lakini Griezman na vijana wengine watafunika Pengo kabisa

    Jibu

    Pigo kubwa kwa timu hili

    Jibu

    Messi fundi

    Jibu

    Messi ni nomaa

    Jibu

    Mess ameanza na Moto 🔥🔥 🔥🔥

    Jibu

    Bar wamepata pengo

    Jibu

    Yupo vzr mess

    Jibu

    Mmh sasa radha itakuwa wap barca inawez isiingiz timu

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Duh timu itafanya vizuri kweli maana timu bado haijatengemaa vizuri

    Jibu

    Messi akiondoka barcelona ni pengo kubwa

    Jibu

    El crassico aitavutia

    Jibu

    litakuwa pigo kubwa sana kwa timu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.