Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Liverpool wamemfuatilia Ismaila Sarr na kujadili suala lake na Watford, ambayo inataka pauni milioni 36 kwa ajili ya mshambuliaji huyo.

Sarr pia anawindwa na Manchester United kama mbadala ikiwa mpango wa kumnasa winga wa Borussia Dortmund Jadon Sancho utashindwa.

Mashetani wekundu pia wanafikiria uhamisho wa winga wa Inter Milan Ivan Perisic, 31, Kingsley Coman,24 anayekipiga Bayern Munich na Douglas Costa kutoka Juventus.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Manchester United wanamfuatilia kiungo wa kati wa Ujerumani Sami Khedira,33, mkataba wake na Juventus utakapokwisha.

Wakala wa Edouard Mendy amedai kuwa makubaliano yameafikiwa kwa ajili ya mlinda mlango huyo, 28, anayekipiga katika klabu ya Rennes kujiunga na Chelsea.

Brentford amekataa ofa ya takriban pauni milioni 10 kutoka Arsenal kwa ajili ya mlinda mlango David Raya, 25.

Tetesi zainasema Southampton imeaiambia Tottenham kuwa mshambuliaji Danny Ings,28, hauzwi kwa dau lolote.

Leicester City iko karibu kumsajili kwa mkopo mshambuliaji wa Uturuki Cengiz Under,23, kutoka Roma na mlinzi wa Burnley James Tarkowski,27, bado anatolewa macho na Brendan Rodgers.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

West Ham imebadili muundo wa ofa kwa ajili ya kumnasa Tarkowski lakini ofa hiyo bado imekataliwa na Burnley.

Tetesi zinasema West Brom wanajaribu kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa, Mbwana Samatta, kabla ya mchezaji huyo mwenye miaka 27, hajamaliza mchakato wa kuhamia Fenerbahce.

Mlinzi wa zamani wa Liverpool Nathaniel Clyne anafanya mazoezi na klabu ya Crystal Palace na anaweza kupata mkataba na klabu hiyo ya Selhurst Park .

Edin Dzeko anajiandaa kujiunga na Juventus akitokea Roma kwa mkataba wa miaka miwili. Uhamisho wa mshambuliaji wa Herzegovina,34, utamaanisha kuwa matumaini ya Luis Suarez kutoka Barcelona huenda yakafikia mwisho.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Arsenal wamekubali masharti ya kiungo wa kati wa Lyon Houssem Aouar, 22.

Kiungo wa kati wa Tottenhan Dele Alli,24, ameibuka kuwa mlengwa wa Paris St-Germain na Inter Milan.

Tetesi zinasema Mshambuliaji wa Serbia Luka Jovic,22, anafikiria kuondoka Real Madrid.

Genoa wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili kwa mkopo beki wa kulia wa Chelsea Davide Zappacosta, 28.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

30 Komentara

    Asnte kwa Makala yenye habar moto moto!!

    Jibu

    Mambo ya mkwanja yanahusika hapo!!

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    liverpool wamuachie tu uyo sarri ili atue united

    Jibu

    Ahsant sana meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Mambo mazuri na pesa nje nje

    Jibu

    Sancho akienda man u itakuwa poa kinyama

    Jibu

    Mambo ya mkwanja nje nje

    Jibu

    Man u bhana sijui wanabugi wapi naona wanahitaji wazee sasa ili timu ifanye poa imekuwa club za Italy dah

    Jibu

    Sancho akitua Liverpool atakuwa ameula

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Chelsea ya sasa si ya mchezo mchezo tumeona imesajiri wa chezaji wengi mwenye uwezo na kipa pia hii ni habari njema kwa mashabiki wa Chelsea

    Jibu

    Usajili naona umezidi kupamba moto

    Jibu

    Asante kwa makala#Meridianbettz

    Jibu

    Kweli Juventus ni Kibibi kizee

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Imekaa poa sana 👍

    Jibu

    🙌

    Jibu

    Nice

    Jibu

    United hawafany wanaongea tu

    Jibu

    Usajili umepamba moto

    Jibu

    Imekaa poa

    Jibu

    Imetulia hiyo

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Habar Nzur za usajir

    Jibu

    usajili unazidi pamba moto

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.