Habari kutoka vyombo mbalimbali vya michezo nchini Argentina vimethibitisha Legendi wa Soka Diego Armado Maradona amefariki dunia akiwa na miaka 60. Mshindi huyo wa kombe la dunia mwaka 1986 alipata …
Makala nyingine
Jina lake halisi ni Marcos Evangelista de Morais. Cafu ni kifupisho cha Cafuringa, jina la nyota wa zamani wa Brazil ambaye alifananishwa naye. Utotoni alikataliwa na vilabu vya Corinthians, Palmeiras, …
Kocha mkuu wa Barcelona, Ronaldo Koeman huenda anaweza kuikosa huduma ya nyota wake Lionel Messi raia wa Argentina kwenye mechi tatu za La Liga ikiwa nyota atakwenda kwenye majukumu ya …
UNAKUBALI KUWA ASILI YA SOKA NI CHINA? Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi Kufika sasa ni dhahiri kuwa China ilikuwa na vilabu vya soka, sheria, na …
FIFA inawasaidia wachezaji wa soka wenye uraia wa nchi zaidi ya moja kubadili kuwakilisha timu ya taifa hata kama walishaichezea nchi nyingine lakini Kuna sheria za kufuatwa – Haya ni …
Kalamu yangu hii inapewa nguvu na Emiliy Dickinson. Mshairi mahiri sana nchini Marekani. Emily alisema, “ukitaka dunia isikusahau, fanya makubwa, halafu ufe mapema.” Sijui alifikiria nini kusema vile, lakini maneno …
Roger Federer ametangazwa kua mcheza tennis ananelipwa zaidi Duniani, na kumzidi mwanasoka nguli mwenye asili ya Argentina na mchezaji wa klabu ya Barcelona Lionel Messi Federer mwenye miaka 38, ametajwa …
Arsenal inatarajiwa kuanza mazungumzo na wakala wa kiungo wa kati wa Barcelona Phillipe Coutinho. Mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 27 amehudumia msimu wote akiwa kwa mkopo katika …
Mashindano ya Copa America yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi huku kila timu ambayo inatarajia kushiriki ikiita nyota wake ambao walikuwa na msimu mzuri kwenye vilabu vyao. Brazil ni miongoni mwa timu …