Historia ya Soka Duniani

UNAKUBALI KUWA ASILI YA SOKA NI CHINA?

 

Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi

Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi

Kufika sasa ni dhahiri kuwa China ilikuwa na vilabu vya soka, sheria, na hata mashabiki zaidi ya miaka 1,000 zilizopita.

Lakini soka hiyo ya upigaji shuti, ni tofauti kabisa na soka ya kisasa.

Juhudi za Uingereza za kutunga sheria, umewezesha kubuniwa kwa mashirikisho ya soka, na kufanya soka mchezo wa kimataifa, mchezo wa watu.

SASA YA CHINA SIO KANDANDA TUBAKI KUIITA “KICKBALL”?

Licha ya yote, Rais Xi Jinping anayedaiwa kuwa shabiki wa soka wa Manchester United anashikilia kuwa lengo kuu ni taifa lake kufuzu kwa Kombe la Dunia, kuliandaa kombe hilo na hata kulitwaa.

Usishangae kuwaona mastaa wakitwaa mabunda na kuchagua kucheza soka ya kulipwa nchini China- ni lengo lenye mwelekeo.

 

Mfalme Taizu wa enzi ya Song akicheza 'kickball'

Mfalme Taizu wa enzi ya Song akicheza ‘kickball’

NA ENGLAND JE?

Sheffield FC, ndiyo klabu ya soka kongwe zaidi duniani ambayo bado imeendelea kuwepo.

Ilikuwa ndiyo klabu ya kwanza kuweka sheria za kisasa za kucheza mchezo wa kandanda mwaka 1858, ingawa wakati huo bado wachezaji waliruhusiwa kutumia mikono yao.

Miaka ya 1860 mchezo huo ulianza kubadilika na ukaendelea hadi kufikia ule unaochezwa kwa sasa. Mchezaji wa ndani ya uwanja hakuruhusiwa kunawa mpira, kulikuwa na wachezaji 11 kila upande, na kisha muda ukawa dakika 90.

Siku hizi, mchezo wa kandanda huonekana wa kawaida hasa katika jamii zinazotukuza juhudi za pamoja.

Katika enzi za ustaarabu, ilikuwa kawaida kuwepo mchezo wa kugonga teke kitu chochote, kiwe ni kitambaa, au ngozi iliyojazwa vitu ndani mfano manyoya au hata kitu kingine chochote kilichojazwa hewa, mfano siku hizi kucheza na puto.

Lakini kuwepo kwa sheria na kanuni kali mchezoni mara nyingi hutokea katika jamii zenye ustaarabu mkubwa.

Lakini jamii zinazotukuza ufanisi wa mtu binafsi, uchezaji wa timu haukutukuzwa. Mfano enzi za ustaarabu wa Wagiriki ambapo michezo ya mtu mmoja ilienziwa zaidi.

FIFA NAO WALITOKA WAPI?

Chimbuko ni mwaka 1863 mashirikisho ya mchezo wa raga na kandanda yalipojitenganisha na Shirikisho la Soka la England likaundwa, na kuwa shirikisho la kwanza la usimamizi wa soka duniani.

Mashirikisho yalianza kuenea, Scotland (1873), FA ya Wales (1875) na FA ya Ireland (1880).Mchezo huo ulieneza duniani kutokana na utawala wa Uingereza maeneo mengi.

Netherlands na Denmark waliunda vyama vya soka 1889, New Zealand (1891), Argentina (1893), Chile (1895), Switzerland, Belgium (1895), Italia (1898), Ujerumani, Uruguay (wote wawili mwaka1900), Hungary (1901) na Finland (1907).

FIFA ilianzishwa mjini Paris, Ufaransa Mei 1904 na mataifa saba waanzilishi: France, Belgium, Denmark, Netherlands, Spain (ikiwakilishwa na Madrid FC), Sweden na Uswizi. Chama cha Soka cha Ujerumani kilituma barua ya kutaka kujiunga siku hiyo hiyo.

Chanzo: BBC


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

44 Komentara

    Bonge la makala la history ya kandanda thnks meridian bet tz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    historia nzuri

    Jibu

    Bonge la makala ya history ya soka Ni china mashabiki Kama wote@meridianbettz

    Jibu

    Historia nzuri sana hii

    Jibu

    History nzuri

    Jibu

    Duu kumbe China nao wamo

    Jibu

    Nakala nzuri #meridianbettz

    Jibu

    History nzuri

    Jibu

    Mi nilijua Mambo ya hu ha master kumbe adi kandanda wanalisakata hatari Sana!!!

    Jibu

    Kama China kuna Shaolin soccer basi nakubali ata soka lilianza kwao japo waliita KickBall

    Jibu

    historia nzuri

    Jibu

    Historia tamu

    Jibu

    Soka ni mchezo ambao unakutanisha watu pamoja

    Jibu

    Kwer wazung wamebolesh tu

    Jibu

    Axante mmenijuza hili

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Iko vizuri.

    Jibu

    Historia nzuri#Meridianbettz

    Jibu

    Nimeipenda Sana hii.

    Jibu

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Soka ni burudan na inadumisha mahusiano

    Jibu

    Habari moto#meridianbettz

    Jibu

    Historia iko vizur

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Iko vizuri

    Jibu

    Historia nzuri

    Jibu

    Elimu Dunia nzuri ya soka imetulia

    Jibu

    Daah nmefurahishwa sana na hii habari ya soka ulimwengun, so nice story.

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Meridian mnatufurahisha historia iko vizuri unajua mengi na kujifunza mengi#meridianbett

    Jibu

    Kwa kweli mie Sikubaliani na hilo Mana china kwenye Mpira Bado wako nyuma#Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa nakala

    Jibu

    Asante kwa historia nzuri

    Jibu

    Interesting

    Jibu

    China nchi yao itakua imejaaliwa kwa kila kitu

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Imekaa poa sana 👍

    Jibu

    Iko poa Sana

    Jibu

    ahsante kwa historia nzuri sana mengine nilikuwa sina ufahamu nayo

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Kama China kuna Shaolin soccer basi nakubali ata soka lilianza kwao japo waliita KickBall

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.