Federer Aongoza List ya Wanamichezo Wanaolipwa Zaidi Duniani

Roger Federer ametangazwa kua mcheza tennis ananelipwa zaidi Duniani, na kumzidi mwanasoka nguli mwenye asili ya Argentina na mchezaji wa klabu ya Barcelona Lionel Messi

Federer mwenye miaka 38, ametajwa kuingiza zaidi ya Pauni milioni 86.2 kwa mwaka huu pekee ukilinganisha na pauni milioni 81 kwa mwaka jana zilizotokana na malipo ya ubalozi wa makampuni mbali mbali.

Ronaldo

Cristiano Ronaldo ameingiza Pauni milioni 85 wakati mshindani na mpinzani wake mkubwa Messi ameingiza kiasi cha pauni milioni 84 akifuatiwa na Neymar ambe ameingfiza pauni milioni 77.5, Kwa upande wa michezo mingine Mchezaji wa mpira wa kikapu Lebron James ameingiza Pauni milioni 71.5 na kukamilisha Idadi ya tano Bora.

Wakati Federer akiongoza List ya wanamichezo wote duniani na yeye akitokea kwenye mchezo wa Tennis, mwana dada mwenye asili ya Japan Naomi Osaka ametangazwa kua nsie mcheza Teniss wa kike ambae ameingiza Pesa nyingi zaidi na kuchukua nafasi ya 29 kwa wanamichezo kiujumla.

“Korona imesababisha kukatwa kwa mishahara kwa baadhi ya wachezaji Hususan Ronaldo na Messi hali iliyopelekea Federer kuwavuka miamba hiyo ya soka duniani na kushika usukani wa list hiyo” Amezungumza muhariri mkuu wa chapisho la Forbes

ameongezea kwa kusema “Roger federer amekua na wakati mzuri zaidi baada ya makampuni makubwa na kumuongezea thamani kwa kulipwa zaidi ya Dola za kimarekani milioni 100 kwa mwaka”

Wiki mbili zilizopita mshindi wa Grand Slam Naomi Osaka mwenye miaka 22 aliimaliza safari ya Serena William kwa kuongoza mara nne mfurulizo kwa kupata zaidi ya Pauni milioni 30.7 na kumzidi Serena Pauni milioni 1.5.

48 Komentara

    Watu na nyota zao

    Jibu

    Kweli kajutahidi sanaa mpaka katika hapo

    Jibu

    Duuh amewazidi mpaka kina Ronaldo hongera kwake

    Jibu

    Hongera kwa federer

    Jibu

    Kajitaidi sana hanaitaji pongezi

    Jibu

    Cr7 najua kutengeneza pesa#meridianbettz

    Jibu

    Anajuwa kutafta pesa Sana

    Jibu

    Roger Federer huyu kwa mara ya kwanza namfahamu ilikuwa kwenye tamgazo la gillette tokea hapo ndipo nilipoanza kumfuatilia

    Jibu

    Makala nzuri .amejitahidi sana

    Jibu

    Federer ni mahili Sana katika m mchezo wa tennis anastahili malipo makubwa sana #meridianbet

    Jibu

    Roger federer amekua na wakati mzuri zaidi baada ya makampuni makubwa na kumuongezea thamani kwa kulipwa zaidi ya Dola za kimarekani milioni 100 kwa mwaka kwaiyo akicheza bure ili kusaidia janga la Corona #meridianbettz

    Jibu

    Hongera kwake thnks kwa update za michezo

    Jibu

    Duuh!kumbe tennis nayo inalipa kiasi hicho wenzetu wanathamin sana michezo

    Jibu

    Vizuri anajua kuitafu pesa anajua kwakweri

    Jibu

    Hongera zake Roger Federer kwa kipaji alichojaaliwa

    Jibu

    aisee sasa inaonesha tenisi ndio inafanya vizuri katika michezo duniani

    Jibu

    Hongera sasa dada,michezo ni kitu muhimu sasa inaleta afya kuwa poa.

    Jibu

    Federer nimechezaji mzuri sana wa teness mwenye nguvu zake za mikono anastahili kwakuwa na hizo pesa na kuwashinda hao wote

    Jibu

    habar njema tenes au michezo imekuwa kaz kama kaz nyingne

    Jibu

    Pongezi kwake#meridianbettz

    Jibu

    Anahitaji pongezi kweli amejitahidi sana

    Jibu

    Roger Federer hongera sana

    Jibu

    Amejitahidi Sana Roger

    Jibu

    baada ya makampuni makubwa na kumuongezea thamani kwa kulipwa zaidi ya Dola za kimarekani milioni 100 kwa mwaka kwaiyo akicheza bure ili kusaidia janga la Corona #meridianbettz

    Jibu

    Habari njema asante Meridani

    Jibu

    Federer the master in tennis ana haki ya kulipwa hela nyingi

    Jibu

    hongera Federer kwa kulipwa ela nyingi

    Jibu

    Habari nzuri sana mana inawapa hamasa sana wanawake kuwa hawapo nyuma hata kipesa asante #meridianbettz

    Jibu

    Huyu mwanadada soon atashushwa na Selena atarudi sehemu yake ….Federa Katisha sana hapo

    Jibu

    Katishaaa federer hongera kwake

    Jibu

    Ni jambo la kumshukuru mungu kwa upande wake kwa kupata mshahara mkubwa na kuwapita wenzake kutikana na jitihada anazozifanya.

    Jibu

    Kwa tenes Federar ni nguri ivyo basi anastahili anachopata sababu anajituma mno

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Duuh watu tunajuwa wakina Messi, Ronaldo na Neymar ndo wanalipwa zaidi??!!!

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    He dissolve it

    Jibu

    Ebwanae Tennis inalipa kuliko michezo mingine? Nilitarajia wachazaji mpira wawe nafasi za juu kuliko michezo mingine #meridianbettz

    Jibu

    Yupo vizuri sana

    Jibu

    Asante kwa taarifa #meridian

    Jibu

    Sijategemea kwahy na Ronald yupo chini take noma sana

    Jibu

    Duh jamaa yuko vizuri

    Jibu

    Duu! Jeshii Yuko vzuri sn

    Jibu

    Kizuri kinajiuza bana

    Jibu

    Duuu katisha #Meridianbettz

    Jibu

    Namkubal kwa Kila ktu

    Jibu

    Habari mjema

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.