Kwa mujibu wa wakala wake, Emerson Palmieri anafurahia sana maisha pale Chelsea na hakuna mawasiliano yoyote yaliyofanyika na na vilabu vingine. Wakala huyu ameyasema haya kufuatia uvumi wa uhamisho wake kwenda Juventus.
Beki huyu tayari amefanya kazi na Maurizio Sarri pale Stamford Bridge na amekuwa akihusishwa na uhamisho wa kumfuata ‘Bianconeri’ kwa muda, awali uhamisho ukitajwa ulikwamishwa na majeraha.

“Emerson anafurahia sana pale Chelsea, anaishi vizuri na wachezaji wenzake na kocha,” wakala Fernando Garcia alikiambia chanzo cha habari cha TuttoJuve.com.
“Hadi leo, sijafanya mawasiliano yoyote na vilabu vingine. Ni kweli kwamba Juventus ilipendezwa wakati akiwa bado akiichezea Roma, lakini huo ulikuwa ni msimu kabla ya kuhamia Chelsea.
Garcia anasisitiza kuwa mteja wake anafurahia sana mahali alipo, anafurahia kuwepo katika moja ya ligi kubwa zaidi ulimwenguni. Pia anasema kuwa hakuna anayejua kesho, huenda nyota huyu akarejea Italia siku za mbeleni au la!



Gabriel
Wakala wake yuko sahihi lakin itabid pia afuate maamuz ya mchezaji
Magdalena
Chelsea anapata mkwanja mzuri ndo maana ataki kuangaika na mawasiliano ya kwingine
Aziza mushi
Asante kwa habari
Emmy cleopa
Ahsante meridian kwa taarifa
Swai
Juventus ilipendezwa wakati akiwa bado akiichezea Roma
mwakalosi
Emerson inabidi atulie pale chelsea chini ya boss lampard watafanya kazi nzuri
Povel
Thnks meridian kwa update za michezo
Zeiyana
Haoni haja ya kuama ama ikiwa mpira ndio huo huo na hanayecheza ni yeye hata akienda wapi?..!
Hamidu
Afanye maamuzi sahihi.#meridianbettz
Mwajuma
Angehitaji kumuuza angelitafuta mawasiliano na Juventus
Kenani
Timu nying asahv zinasajil Sana kwahy angalie sehem ambayo anaweza kupata wakumchezesha ambao wanaendana
Hidaya Mohammed
Wakala amsikilize kwanza mchezaji anataka nini
Caroline
Kwenda Itália tena.sidhani
Theonestina
Kiukweli kama anaishi vizur na wenzie haina umuhimu wa kuama.muacheni aendelee kuitumikia chelsea
David pere
Atafute mawaailiano afanye biashara kabla hajachuja
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Hafanye mahamuzi sahii
mathayo sonje
mara nyingi mtu hua anapenda kukifanya anachokipenda, inaonyesha kabisa kwamba Emerson bado anamapenzi na chelsea
Lombo
dah mpira n kaz kwa sas so asibweteke
Neema hassan
Asante kwa makala#meridianbettz
Evaluziga
Afanye maamuzi sahihi
Devotha
Abaki chelsea tu panamtosha
Hope mwaikuka
Kaz kwake c mashabik tu
Antony Luseno
Wakala wake hataki aondoke au? maana uenda Emerson anatamani kuondoka
aisha
Basi asikilizwe anachohitaji
Ester jackson
Hayo ni makubaliano yake kubaki Chelsea au kuondoka mana bado usajili unaendelewa ila hata akibaki Chelsea bado tutabaki kuwa mashabiki wake tu
Frank Patrick
Juve nao kila mchezaji wanahusishwa nae msimu huu na wachezaji wazuri wanao
Neema juma
Afanye uamuzi wake mwenyewe. Atakachoona ni sahihi kwake
Ernest
Emerson ni mchezaji mzuri nadhani bado anahitaji muda na nafasi ya kucheza Ndani ya club ya Chelsea
felister
huo ni uamuzi wake kukubali kuondoka au kubaki
Ester mmakasa
Wakala afate vile mchezaji mwenyewe anataka sio wakala kuwaamulia wachezaji na kupelekwa mahali hata kama hataki.
Emmy cleopa
Ahsante kwa habari
Asia Abdy
Yuko sahihi
Elika
Aamue yeye pa kwenda
Salma
Ni vizuri akitulia sehemu 1
Shafii
Habaki darajani apambanie namba
Rehema
Wakala amsikilize kwanza mchezaji anata nn
Warda
Tumewapata#Meridianbettz
Sadick
Aondoke tu. Angekuwa wazi kwamba anafurahia kupata mshahara. Kila anapopata nafasi ya kucheza hafanyi lolote la maana #meridianbettz
Chiku
Atulie tu kwakweli