Paris Saint-Germain wametoa ofa yao ya kwanza ya € 60m kwa Lazio kumnasa kiungo wao wa kati Sergej Milinkovic-Savic, –kwa mujibu wa ripoti nchini Ufaransa.
Kuvutiwa kwao na mchezaji huyu MSerbia haijawa siri na imekuwa hivyo kwa miaka kadhaa sasa, Hata hivyo klabu hii haipo peke yake, wengine ni pamoja na Juventus, Inter na Manchester United.
Lazio hadi sasa wamekataa ofa zote kumuuza nyota wao, lakini kwa mujibu wa le10sport.com –PSG wanajaribu tena na ofa mpya ya € 60m.

Kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa, haswa kutokana na uhalisia kuwa Lazio wako katika hatua ya kufuzu Ligi ya Mabingwa na bado wapo wanapambana kwenye mbio za kuwania taji la Serie A.
Ripoti ya Ufaransa inafikirisha pia, ripoti hii inaamini ada ya € 70m inaweza kuwa na uwezo wa kufanya maujanja kuinasa saini.
Rais wa Lazio Claudio Lotito hapo awali alijigamba kwa kuweza kukataa aofa ya € 100m kwa ajili ya uhamisho wa Milinkovic-Savic, lakini janga la corona na karantini vimeharibu mambo kwa kuathiri pia soko la uhamisho wa kimataifa.



Aziza mushi
Goodnews
David pere
Watampata tumaana Sasa hivi baadhi ya timu uchumi umeshuka sanaa na ukiangalia PSG pesa wanayo
Ester jackson
Kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa, kutokana Lazio wako katika hatua ya kufuzu Ligi ya Mabingwa#meridianbettz
Theckla
Mchezaji huyu ni kivutio kwa klub nyingi kutokana na umahili wake
Gabriel
Kiungo huyo n mzur na ukiangalia kuna tetesi kuwa mbappe anaweza kwenda Madrid hivyo savic atasaidia sana
Hidaya Mohammed
PSG waendelee kukaza wachukue chuma hicho
Warda
Naona Timu nyingi zinamtaka atakuwa mkali #Meridianbettz
Swai
Kiungo huyo ni mzuri sana lakin sijuwi kama lazio watakubali kumuachi coz wako kwenye hatua ya kufuzu
Emmy cleopa
Ahsante kwa habar
Lombo
n jambo zuri kwa kipind hiki ambacho corona inapunguza kasi ndo mda mzur kwa virabu kujipanga na kufanya sajili
Magdalena
Milinkovic changamkia mkwanja huo
Zeiyana
Nyota yake inawaka kijana
Amani
Lazio bado wapo wanapambana kwenye mbio za kuwania taji la Serie A.awawezi kupokea ofa #meridianbettz
Hamidu
Fundi wa mpira ..akija man utd atafiti kwenye mfumo#meridianbettz
Povel
Ni mchezaji mzuri akienda Spurs kwa stail ya uchezaj wake atafit vzr sana
Furahav
Kama psg watamchukua huyu jamaa hii timu itakuwa vizuri sana,mana jamaa yuko vizuri.
Mwajuma
Watakuwa wamepata bonge la mchezaji kama watampata
Kenani
Offer mzur sana hyo angalie na maslay ya Tim yake kwanza
mwakalosi
psg hawajaweka offer nzuri hasa kipindi hiki cha ukata na corana lazio hawana budi kumuza
Hidaya Mohammed
PSG waendelee kukaza wachukue chuma hicho
Caroline
Iyo inaitwa pesa madafu
Lydia Emmanuel Magoti
Kijana yupo vizuri anajua Kama PSG watamtaka wakaze but wamchukue tuu
Theonestina
Mi naona nibora Lazio waendelee kukataa kumuuza uyo mchezaji
Genia Sikaluzwe
Huyu jamaa ni mchezaji mzuri pcg hawawezi kumuachia
mathayo sonje
cha msingi yeye aangalie tu wapi anapapenda na ambako atapata faida nako, kwa sasa ni pesa kwanza alafu ushabiki baadae
Neema hassan
Habari njema#meridianbettz
Mwanaidi
Good news #meridian
Evaluziga
Watakuwa wamepata bonge la mchezaji Kama watampa
Adelta
Good news
Neema juma
Hiyo ofa wasiiache kwa kweli
Rehema
Ni fund mzuri sn wa mpira tena bonge la mchezaji
Salma
Dah! Ofa kubwa iyo
Samiah
Nyota yake inawaka
Hope mwaikuka
Money talk Psg
Rehema Dickson
aangalie tu wapi anapapenda na ambako atapata faida nako, kwa sasa ni pesa kwanza alafu ushabiki baadae
Agness
Watakua wamepata bonge la mchezaji mzuri
Antony Luseno
Nice update #meridianbettz
Frank Patrick
Pesa huongea sana kwenye mpira ila better akabaki tu Napoli ademand ongezeko tu la mpunga akitoka ataenda kupotea tu
Ester mmakasa
Milinkovic savic ni mfano wa kuigwa na wachezaji wengine.
felister
ofa baab kubwa
Tahiya
Ni mchezaji mzur wakifanikiwa kumnasa
Isaya massawe
Dau nono sana wanaweza wakamnasa
Ernest
Jamaaa mwamba sana
Shafii
Gud newz