Lionel Messi hatimaye ameweza kushinda kombe na timu ya taifa ya Argentina, na kuisaidia nchi yake kumaliza ukame wa miaka 28 wa kutoshinda taji kubwa kwa kutwaa Copa America siku …
Makala nyingine
Lionel Messi alikuwa dimbani Jumamosi usiku kuiongoza timu ya Argentina kwani, baada ya miaka mingi ya mafanikio katika kiwango cha klabu, mwishowe aliweza kunyanyua taji kwa nchi yake. Argentina ilishinda …
Leandro Paredes anajiandaa kumkbili mchezaji wmenzake katika timu ya Paris Saint-Germain Neymar kwenye fainali ya Copa America kati ya Argentina dhidi ya Brazil alfajiri ya Jumapili na ameweka wazi kwamba …
Mlinda mlango wa zamani wa Argentina Nery Pumpido, ambaye alishinda Kombe la Dunia la 1986 na Albiceleste, anasisitiza kuwa Lionel Messi ndiye mchezaji bora zaidi ulimwenguni bila kujali iwapo atashinda …
Neymar amewashambulia Wabrazil ambao watakuwa wakiishangilia Argentina wakati wa fainali ya Copa America. Wakazi kadhaa watatarajia kumuona Lionel Messi akiinua kombe hilo tofauti na watu wao, na kusababisha hisia kali …
Lionel Messi amekuwa na mwaka mzuri 2021 kwa timu zote klabu ya Bracelona na timu ya taifa ya Argentina akiwa amezitisa nyavu mara 33 na kusaidia mabao mengine 13 kwenye …
Kocha mkuu wa Brazil Tite na Selecao wanaitolea macho fainali ya Copa America wakati wanajiandaa kupambana na Peru katika mchezo wa nusu fainali. Mabingwa watetezi Brazil na Peru watashuka dimbani …
Hatua ya makundi kwenye michuano ya Copa America 2021 ilikuwa na jumla ya michezo 20 kwaajili ya kuziondoa timu mbili pekee. Lakini sasa hatua ya makundi imeisha na Bolivia na …
Lionel Messi ameanza kampeni za Copa America na Argentina huku akiwa katika fomu na kufanikiwa kufunga bao free kick nzuri sana dhidi Chile. Na ilikuwa goli 57 la free kick …
Kuelekea kuanza kwa mashindano ya Copa Amerika, Timu ya Taifa ya Venezuela itawakosa watu 12 wakiwemo wachezaji na wakufunzi wa benchi la ufundi. Venezuela itakua uwanjani leo usiku kwenye mchezo …
Nchi ya Colombia inakosa bahati ya kuingia kwenye historia ya mashindano ya Copa America. Maandamano yanayoendelea nchini humo, yamekuwa kikwazo kikubwa. Kwa mara ya kwanza kwenye historia ya miaka 105 …