Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Petro de Luanda ya Angola ulimalizika kwa Wekundu wa Msimbazi kupokea kichapo cha bao 1-0 …
Makala nyingine
Kikosi cha Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Pedro kinatarajiwa kuanza safari mapema leo Novemba 24, 2025 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wao wa pili wa hatua ya …
Nilichokiona kwenye mchezo wa kwanza wa Yanga hatua ya makundi, ni kwamba Yanga imekaribishwa rasmi kwenye Ligi ya Mabingwa baada ya kupita miaka 25 bila timu hiyo kufuzu hatua ya …
Singida BS imetolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika hapo jana baada ya kupoteza mchezo huo dhidi ya Future FC ya Misri kwa mabao 4-1 baada ya dakika …
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba imetinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa hapo jana baada ya kutoa sare ya 1-1 dhidi ya Power Dynamos ya Zambia. Mchezo huo …
Klabu ya Yanga imetua jijini Dar es salaam kutoka Algeria ambapo walikuwa wakicheza mchezo wao wa pili wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF dhidi ya USM Alger. …
Kocha wa Klabu ya USM Alger Abdul Benchikha alisema wazi kuwa licha ya kuwa timu yake kupata ushindi wa mabao 2-1 ugenini mbele ya Yanga, ila kuna vitu hakuridhishwa …
Klabu ya Simba imeondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika na Wydad Casablanca baada ya wachezaji wao wawili Shomari Kapombe na Cloutus Chama kukosa mikwaju ya penalti 4-3. …
Klabu ya Simba imeifuata Wydad Casablanca kwaajili ya mchezo wao wa marudiano wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika baada ya mnyama kupata ushindi mechi ya kwanza wakiwa kwa Mkapa. …
Klabu ya Yanga ambayo ipo chini ya kocha Nasredine Nabi imetua Dar kibabe kutoka Nigeria baada ya kumtungua Rivers United mabao 2-0 katika hatua ya robo fainali ya kombe la …
Klabu nyingine inayoshirikishi michuano ya CAF ni klabu ya Yanga ambayo inaongozwa na kocha mkuu Nasredine Nabbi kwa upande wao wanashiriki Kombe la Shirikisho na wamepangwa na Rivers United kutoka …
Hatimaye droo ya michuano ya klabu bingwa na kombe la shirikisho imetoka hapo jana ambapo kwa upande wa klabu bingwa mwakilishi pekee Simba kutoka Tanzania amepangiwa Wydad Casablanca. Ikumbukwe …
Klabu ya Simba ambayo inaongozwa na kocha mkuu Robertinho imepokea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Raja Casablanca kwenye mchezo wao wa marudiano hapo jana. Mchezo huo ulipigwa majira …
Michuano ya klabu bingwa kuendelea hii leo kwenye viwanja mbalimbali, ambapo klabu ya Simba itakuwa ugenini kukichapa dhidi ya Raja Casablanca kwenye mchezo wao wa marudiano. Mchezo huo utapigwa …
Klabu ya Yanga imetinga hatua ya robo fainali hapo jana kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kuipasua US Monastir kwa mabao 2-0 na kuongoza kundi D kwa tofauti …
Klabu ya Simba SC imetinga hatua ya robo fainali kibabe sana baada ya kuitwanga Horoya kwa mabao 7-0 na kuweka historia ya kuwa timu mojawapo ambayo imetoa kipondo kikali kwenye …
Klabu ya Simba inatarajia kushuka dimbani leo kwa Mkapa kukiwasha dhidi ya Horoya kwenye mchezo wao wa ligi ya Mabingwa barani Afrika huku kila timu ikihitaji kufuzu hatua ya robo …

