NyumbaniFootballCoppa Italia

Coppa Italia

HABARI ZAIDI

Infantino Alaani Nyimbo za Kibaguzi Kumwelekea Lukaku

0
Rais wa FIFA Gianni Infantino amelaani kelele za ubaguzi wa rangi kutoka kwa mashabiki wa Juventus dhidi ya mshambuliaji wa Inter Romelu Lukaku wakati...

Del Piero Arejea kwenye Uwanja wa Allianz kwaajili ya Juventus vs...

0
Alessandro Del Piero anarejea Uwanja wa Allianz leo usiku kwa ajili ya mechi ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Coppa Italia kati...

Chiesa Adhamiria Kuifanya Juventus kuwa Bora na Mwaka Mbaya

0
Federico Chiesa ameapa kufanya makubwa kwa Juventus baada ya mwaka mbaya ambao ulimfanya kuwa nje ya uwanja kutokana na jeraha la muda mrefu.  Mchezaji huyo...

Mourinho: “Kombe la Coppa Italia ni Baya Zaidi Ulaya”

0
Kocha mkuu wa Roma Jose Mourinho ametaja Coppa Italia kama "kombe baya zaidi Ulaya" licha ya ushindi wa Giallorossi wa 1-0 dhidi ya Genoa...

Pioli Akasirishwa Vibaya na Kipigo Dhidi ya Torino Wakiwa Pungufu

0
Stefano Pioli anaamini AC Milan ilitatizika kustahimili matakwa ya kisaikolojia ya kuwakabili wachezaji 10 kwenye kichapo cha kushtukiza cha Coppa Italia dhidi ya Torino...

Milan Wanakabiliwa na Majeruhi Wengi Kuelekea Coppa Italia na Torino

0
Milan wana orodha ndefu ya majeruhi kuelekea pambano lao la Coppa Italia dhidi ya Torino lakini wanatumai kurejesha mchezaji mmoja au wawili kwa wakati...

Zlatan Ibrahimovic Kusalia Milan Mpaka 2023

0
Nyota wa klabu ya AC Milan Zlatan Ibrahimovic ameongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kubakia kwenye viunga vya San Sirro hadi mwaka 2023. Zlatan Ibrahimovic...

Juventus Yatangaza Hasara ya Nusu Mwaka Msimu wa 2021/22

0
Klabu ya Juventus imetoa taarifa ya kifedha nusu mwaka kwenye msimu wa 2021-2022 na kutangaza hasara baada ya mapato ya TV na Radio kushuka...

Mourinho: Sanchez Hakuwa Vizuri

0
Kocha wa klabu ya Roma Jose Mourinho ameamua kufunguka kwa nini Sanchez alikuwa hana muendelezo mzuri wa kiwango chake alipokuwa anakipiga kwenye klabu ya...

Inter Milan Kumuweka Sokoni Christian Eriksen

0
Inter Milan wametangza kumuweka kiungo wao mshambuliaji Christian Eriksen sokoni kutokana na sheria za Serie A zinazomzuia kutokucheza mashindano yeyote kwenye ardhi ya Italia. Christian...