Mtanzania Alphonce Simbu ameweka historia mpya katika riadha ya kimataifa baada ya kushinda medali ya dhahabu kwenye mashindano ya mbio za Dunia yaliyofanyika jijini Tokyo, Japan. Katika mbio za kilomita …
Makala nyingine
Lois Boisson ameendelea kuandika historia ya kipekee kwenye Mashindano ya French Open baada ya kumchapa mchezaji namba 6 kwa ubora duniani, Mirra Andreeva, na kufuzu hatua ya nusu fainali. Lois …
Wiki hii Ligi zitaendelea kwa baadhi ya nchi kama Bundesliga, Serie A, na Laliga huku EPL ikisimama kupisha mashindano ya Carabao Man City Vs Chelsea, Liverpool, Asrenal na Man Utd …
Bingwa mara saba wa michuano ya langalanga Lewis Hamilton raia wa Uingereza ametunukiwa uraia wa heshima wa taifa la Brazil, Dereva huyo alitunukiwa uraia huo jana jumatatu kwenye baraza la …
Arsenal wamempa mkataba mpya beki wa Ufaransa William Saliba baada ya kuanza vyema msimu huu, kwa mujibu wa ripoti. Arsenal walimsajili Saliba kwa paundi milioni 27 mwaka 2019 baada ya …
Marcus Rashford alidai kuwa alikuwa kwenye ‘nafasi bora ya kupiga kichwa’ baada ya kufunga bao la kihistoria kwa Manchester United na kuipatia timu yake ushindi dhidi ya West Ham. Rashford …
Mlinda mlango wa zamani wa Arsenal Jens Lehmann anakabiliwa na madai mapya ya kuharibu nyumba ya jirani yake miezi michache tu baada ya kutuhumiwa kuharibu karakana yake mpya kwa msumeno. …
Meneja mpya wa Aston Villa, Unai Emery alisisitiza kwamba lazima achukue kazi hiyo. Kocha huyo wa zamani wa Arsenal ataanza kazi rasmi Villa Park Novemba 1, mara baada ya kukamilisha …
Klabu ya Wrexham inayomilikiwa na Mastaa wa Hollywood Rob McElhenney na Ryan Reynolds imempiga marufuku mshambuliaji wao nyota Paul Mullin kuvaa jozi ya viatu vya mpira vilivyotengenezewa na kampuni moja …
Tangu aondoke Borussia Dortmund na kujiunga na Manchester City msimu wa joto, kusema Erling Haaland ameingia kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu itakuwa ni jambo la kawaida. Hatimaye …
Ebuana eeh kivumbi cha UCL wiki hii kitaendelea tena, ule usiku wa mabingwa mpira utatembea wakati huo huo Meridianbet wakiwa wamejipanga kwa Odds kubwa zaidi na machaguo zaidi 1000, mchanganuo …
MKUU wa Idara ya Maudhui ya Kidigitali wa Klabu ya Yanga SC Priva Abiud Shayo Maarufu kama Privadinho, amewataka mashabiki, wapenzi na wanachama wa klabu hiyo kupuuza taarifa zinazosambaa mitandaoni …
AGUERO: Sheria kali za Pep Guardiola kuhusu utimamu wa mwili mara moja zilimfanya Sergio Aguero kuchukuliwa kuwa ‘mnene’ sana kuichezea Manchester City. Mshambuliaji huyo wa zamani wa City alijadili wakati …
Conor McGregor ameapa kuwa atarejea kwenye ulingo wa octagon kwa mfululizo wa mapambano baada ya kuonekana kwenye filamu kali ya Hollywood. Bondia huyo mwenye umri wa miaka 34 kwa sasa …
Fernando Alonso alikuwa na bahati ya kuepuka majeraha makubwa baada ya kuhusika katika ajali kubwa iliyoshuhudia gari lake likirushwa hewani kwenye mashindano ya United States Grand Prix siku ya Jumapili. …
MCHEZAJI wa Simba Agustine Okrah ambaye ni raia wa Ghana, ametumia mtandao wake wa kijamii kufafanua suala la yeye kushindwa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ya watani wa …
Klabu ya Azam FC imetangaza kuwa mchezo wao dhidi ya Simba ambao ulitarajiwa kupigwa katika uwanja wa Chamazi Complex, tarehe 27 Oktoba, sasa utapigwa katika Dimba la Benjamin Mkapa siku …

