Mchezaji wa Manchester United Lisandro Martinez anaamini kuwa klabu yake wako njiani kuwania heshima chini ya Erik ten Hag, lakini anasema United lazima wabaki na msingi kufuatia mabadiliko yao ya …
Makala nyingine
Kariakoo Derby: Kuelekea mechi kubwa ambayo husimamisha nchi kwa dakika 90, na sio nchi tu bali kwa wapenda soka wote hawatasubiri kusimuliwa, mtoto hatumwi dukani muda huo. Makocha wa timu …
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amemjibu kocha mwenzake wa Liverpool juu ya kauli yake ya ukosoaji ya kuwa City wanatumia pesa nyingi kwenye kufanya usajili wa wachezaji. Klopp …
Meridianbet wamekuja na mzigo mkubwa kwaajili yako wewe mtu wangu wa nguvu, ambaye umekuwa ukiteseka na kuchana mikeka yako kila kukicha. Huenda ulikuwa unafahamau hili au huenda ulikuwa hujui kuhusu …
Kocha mkuu wa Chelsea Graham Potter ameongea kuhusu mkataba wa kiungo wa timu hiyo N’Golo Kanté ambapo mkataba wake unamalizika mwezi Juni huku bado kukiwa hakuna mwafaka wa mchezaji huyo …
Meneja aliyetimuliwa wa Aston Villa Steven Gerrard amevunja ukimya wake kuhusu uamuzi wa klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Uingereza kumuondoa katika nafasi yake kufuatia kipigo cha mabao 3-0 ugenini …
Kocha mkuu wa AC Milan Stephano Pioli amesema kuwa Zlatan Ibrahimovic ataendelea kusalia klabuni hapo kwasababu ya matokeo chanya anayoyatoa klabuni hapo wakati wakisubira apone majeraha yake ya goti aliyoyapata. …
Thibaut Courtois ameibuka kidedea baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa saba pekee mwaka uliopita, licha ya kushinda pia Tuzo ya Yashin. Kipa huyo wa Ubelgiji alisimama kidete katika lango …
Wakala wa Erling Haaland ametabiri kuwa mshambuliaji huyo wa Manchester City atakuwa mchezaji wa kwanza wa soka kuwa na thamani ya paundi bilioni moja. City ilimsajili Haaland kwa dau la …
Jurgen Klopp hatakabiliwa na uchunguzi wa Chama cha Soka kuhusu maoni ambayo baadhi ya Manchester City wameyataja kwa faragha ‘chuki dhidi ya wageni’. Atakabiliwa na adhabu kutoka FA baada ya …
Reece James alikiri kuwa ameambiwa na daktari wa upasuaji anaweza kuwa nje kwa miezi miwili kutokana na jeraha la goti alilopata dhidi ya AC Milan mapema mwezi Oktoba. James alikuwa …
Akanji: Wiki chache baada ya msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza na wakati ambapo jumla ya mabao ya Erling Haaland yalifikia tisa zaidi, Manchester City ilinyakua saini nyingine kutoka Borussia …
Ligi kuu ya NBC kuendelea kutimua vumbi hii leo, baada ya michezo miwili kupigwa hapo jana. Namungo waliotoka kupoteza mchezo wao wa mwisho watakuwa dimbani kutafuta pointi 3 muhimu dhidi …
Kocha mkuu wa Spurs Antonio Conte ana wasiwasi kwamba mchezaji wake Dejan Kulusevski huenda asicheze Tottenham kabla ya Kombe la Dunia baada ya winga huyo kupata shida katika kupona jeraha …
Kocha wa Juventus Massimiliano Allegri ameiunga mkono timu yake hapo jana kwenye ushindi mkubwa wa mabao 4-0 dhidi ya Empoli huku akiamini vyema kuwa timu yake itafanya vizuri kwenye Ligi …
Mchezaji nyota wa Arsenal Kevin Campbell anaamini Mikel Arteta amethibitishwa katika uamuzi wake wa kumwondoa Pierre-Emerick Aubameyang msimu uliopita. Mshambuliaji huyo wa Chelsea alivuliwa unahodha wa Arsenal baada ya kutofautiana …
Raheem Sterling atakuwa na matumaini ya kuanza maisha yake ya soka Chelsea na hatimaye kumaliza rekodi yake ya kutisha dhidi ya Manchester United wikendi hii. Mchezaji huyo mwenye umri wa …
Promota wa Tyson Fury Frank Warren anasisitiza kuwa pambano la tatu na Derek Chisora lilikuwa chaguo bora zaidi mezani kwa Tyson Fury, mnamo Desemba kufuatia kuvunjika kwa mazungumzo na wawakilishi …
Cristiano Ronaldo ameripotiwa kupoteza washirika wake waliosalia kwenye chumba cha kubadilishia nguo huko Manchester United baada ya kukataa kuingia kama mchezaji wa akiba na kutoka nje ya Old Trafford kabla …
Ripoti zinasema kuwa kuwa klabu ya Manchester United wamefikia mwisho wa mkataba wao na Cristiano Ronaldo na wanataka supastaa huyo aondoke kwenye klabu hiyo mara tu dirisha la Januari litakapofunguliwa. …

