Klabu ya Arsenal msimu huu imeanza vyema sana msimu katika miavhuano yote, ambapo kwenye EPL ndio wanaongoza ligi lakini pia kwenye michuano ya Uropa wanaongoza kundi A wakiwa na pointi …
Makala nyingine
Kocha mkuu wa Aston Villa Steven Gerrard ametimuliwa hapo jana na timu yake hiyo baada ya kuwa na mwendelezo mbaya wa matokeo, na kupoteza mchezo dhidi ya Fulham kwa 3-0. …
La Gazzetta Dello Sport inaripoti kwamba mshambuliaji wa Inter Romelu Lukaku hataki kurejea Chelsea, hivyo Inter wako tayari kuongeza mkopo wake hadi 2024 na kisha kufanya uhamisho wake kuwa wa …
Klabu ya AC Milan wameanza mazungumzo ya awali na mshambuliaji wa Chelsea Armando Broja na kulingana na ripoti nchini Italia, mshambuliaji huyo anaweza kuondoka kwa takriban €35m. Mchezaji huyo …
Mchezaji wa Manchester City Ilkay Gundogan amesema kuwa mchezaji mwenzake mwenye kiwango bora Erling Haaland anaweza kuwa mshindani wa baadaye kushinda Ballon d’Or. Tangu ajiunge na City akitokea Borussia …
Kocha mkuu wa Juventus Massimiliano Allegri alimtoa Paul Pogba kwenye mipango yake ya Juventus kwa mechi ya Ijumaa dhidi ya Empoli huku akisema itakuwa wazimu mtupu kuharakisha kumpanga kikosini hapo …
Klabu ya Chelsea wanamtaka mshambuliaji wa Napoli Osimhen msimu ujao wa joto na ripoti zinasema kuwa mchezaji huyo ndiye kipaumbele chao namba 1 kwasasa. The Blues walimnunua Pierre-Emerick Aubameyang …
Kocha mkuu wa Bayern Munich Julian Nagelsmann amesema kuwa timu yake ilipaswa kufunga zaidi hapo jana kwenye ushindi wao wa 5-2 ugenini dhidi ya Augsburg katika raundi ya pili ya …
Rais wa Barcelona Joan Laporta amepigwa faini ya Euro 602 kwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo cha mwamuzi baada ya timu yake kupoteza kwa mbao 3-1 dhidi ya Real …
Kocha mkuu wa Tottenham Antonio Conte amekiri kuwa timu yake lazima ifanye vyema katika kukabiliana na mechi kubwa baada ya kupoteza hapo jana kwa mabao 2-0 walipokuwa ugenini kucheza mchezo …
Staa wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amezua gumzo baada ya kuondoka kabla ya mchezo kumalizika dhidi ya Tottenham katika dimba Old Trafford. Staa huyo alionesha kukasirishwa na kitendo …
Klabu za Barcelona, Liverpool na Chelsea wanaripotiwa kumtaka kiungo wa kati wa Benfica Enzo Fernandez mwenye umri wa miaka 21. Fernandez aliwasili Benfica akitokea River Plate miezi minne iliyopita …
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya KMC inayovaa nembo ya Meridian Bet kwenye kifua chake dhidi ya Azam FC umebadilishwa tarehe kutoka ile ya awali ambayo ilipangwa kutokana na …
Serengeti Girls Timu ya Taifa wa wanawake umri chini ya miaka 17 (U-17) katika Fainali za kombe la Dunia la FIFA 2022 zinazoendelea kufanyika nchini India. Leo 18 Oct 2022 …
Kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp amethibitisha kuwa mchezaji wake Diogo Jota atakosa Kombe la Dunia linalotarajiwa kufanyika huko Qatar 2022 kutokana na jeraha ambalo amelipata. Klopp amesema kuwa …
Baada ya Ligi mbalimbali kuendelea wikendi na ukakosa mkwanja, Leo sasa kuna mechi mbalimbali za kukupatia mkwanja mrefu ikiwemo Brighton kwenye Ligi kuu ya Uingereza ukiwa na Meridianbet USSD. …
Klabu ya Yanga ambayo ndiyo wawakilishi pekee kutoka Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho wamepangawa na Club Africain ya Tunisia kwenye mchezo wa mtoano. Ikumbukwe kuwa Yanga alitolewa …
Klabu ya Polisi Tanzania imemtimua Kocha wake Joslin Sharif Bifubusa na kulivunja bench lote la ufundi , kutokana na kutoridhidhshwa na mwenendo wa timu hiyo. Joslin ambaye aliajiriwa kuwa …
Klabu ya Chelsea itakabiliana na ushindani kutoka kwa Newcastle kwa ajili ya kumnunua Leandro Trossard iwapo watamnunua winga huyo wa Brighton. Leandro Trossard mwenye umri wa miaka 27, amekuwa …
Robert Lewandowski ameshinda Kombe la Gerd Muller kwa kufunga mabao 57 kwa klabu na nchi msimu uliopita na hayuko tayari kukwepa changamoto ya kuandamwa na Erling Haaland katika kampeni ya …

