Xabi Alonso ambaye ameteuliwa siku si nyingi kuwa kocha mkuu wa Bayer Leverkusen amekataa kuwa chini baada ya kupoteza mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa kwa kipigo cha …
Makala nyingine
Rais wa Atletico Madrid Enrique Cerezo amesema klabu hiyo “haina nia” ya kutaka kumnunua mshambuliaji wa PSG Kylian Mbappe huku kukiwa na ripoti kwamba mchezaji huyo aliyeshinda Kombe la Dunia …
Kocha mkuu wa Arsenal Mikel Arteta amethibitisha kuwa mchezaji wake Gabriel Jesus atakosa mechi ya Arsenal ya Ligi ya Uropa huko Bodo/Glimt huku akitoa wito kwa waamuzi kufanya kazi yao …
Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amesisitiza kwamba Atletico Madrid walicheza kwa kiwango kikubwa sana hapo jana licha ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Club Brugge kwenye mchezo …
Beki wa kati wa FC Barcelona Eric Garcia amekubali kuwa timu yake ilifanya makosa mengi ambayo hayakutakiwa kufanywa na kupelekea timu hiyo kutoa sare ya 1-1 dhidi ya Inter Milan …
Gabriel Jesus alikosekana kwenye mazoezi ya Arsenal yaliyofanyika siku ya Jumatano asubuhi. Mshambuliaji huyo aliumia kichwa wakati wa ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool wikendi, baada ya kupigwa na kiwiko …
Mpiganaji masumbwi uzito wa juu Deontay Wilder amesema anataka kupigana na Anthony Joshua bondia raia wa Uingereza mwenye asili ya Nigeria barani Afrika akiamini bado ni pambano namba moja. Deontay …
Mashabiki wanahisi kwamba matokeo ya mechi ya jana kwa Manchester City yalichangiwa na Erling Haaland baada ya mshambuliaji huyo kutotumika kama mchezaji wa akiba katika sare ya 0-0 na Copenhagen …
Klabu ya Hellas Verona imemtimua rasmi kocha wake Gabriele Cioffi baada ya kufungwa 2-1 Jumapili na Salernitana katika mchezo wao wa raundi ya 9 huku timu hiyo ikiwa na mwendelezo …
Kocha mkuu wa AC Milan Stefano Pioli amesisitiza kuwa AC Milan wana ubora wa kushindana na Chelsea katika mchuano muhimu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa siku ya leo huko …
Pep Guardiola amsifu Erling Haaland kwa kukabiliana haraka na mtindo wa uchezaji wa Manchester City, akidai kuwa raia huyo wa Norway amejihusisha zaidi na maandalizi yao katika wiki za hivi …
Sebastien Haller anasema hawezi kulalamika kuhusu vita vyake dhidi ya saratani ya tezi dume, huku mshambuliaji huyo wa Borussia Dortmund akisema hilo ni jaribio la kwanza kubwa ambalo alilazimika kukumbana …
Beki wa kati wa AC Milan Fikayo Tomori amewapa changamoto wachezaji wenzake kuwa waonyeshe Milan halisi hii leo watakapomenyana na Chelsea katika mechi ya marudiano ambapo mechi ya kwanza walipoteza …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti anatarajia kuwa mlinda mlango wake Thibaut Courtois atarejea kutoka kwenye jeraha ambapo wanatarajia kucheza mechi yao ya Derby ya El Clasico dhidi ya Barcelona. …
Lionel Messi atakosa mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa ya Paris Saint-Germain dhidi ya Benfica, lakini kocha mkuu wa timu hiyo Christophe Galtier anatarajia mchezaji huyo kurejea kwa ajili …
Klabu ya PSG wanaripotiwa kuwa wapo tayari kutoa kiasi cha Euro milioni 150 katika kandarasi ya kumpata mshambuliaji Rafael Leao anaekipiga katika klabu ya AC Milan. Leao mwenye umri …
Beki wa kati wa klabu ya Chelsea Thiago Silva amesema kuwa hadithi yake na Milan tayari imekamilika na amependekeza kuwa anaweza kurejea katika klabu yake ya zamani kama kocha. …
Aviator: Ile kiu yako ya kucheza kasino mtandaoni, imepata maji ya kutosha, mwagilia kolomeo lako kwa kucheza mchezo bomba kabisa wa Aviator kutoka hapa Meridianbet Hauhitaji kuwa ‘makini sana’ sana …
Meridianbet: Usiku wa deni hakawii kukucha, yes ukisema hivyo utakuwa hujakosea kabisa ni usiku wa deni kwenye Ligi ya Mabingwa wiki hii, ni mechi za marudiano kutafuta kufuzu hatua ya …
Klabu ya Dodoma Jiji ambayo makao yake makuu yapo Dodoma imeachana na aliyekuwa kocha wao Masoud Djuma kwa kukubaliana pande zote mbili, Lakini pia wamevunja benchi lao la ufundi lote …

