Mwadui FC vs Yanga ni mechi ngumu kwa timu zote mbili, Yanga wanawania kukaa nafasi nzuri kwenye ligi lakini pia Mwadui hawapo sehemu salama ambayo unaweza kusema hawatoshuka daraja kwa …
Makala nyingine
Liverpool wanayo matumaini ya kukubaliana na nyongeza ya mkataba wa angalau miaka mitatu na Kiungo wao wa Kimataifa wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum baada ya mazungumzo mazuri. Georginio Wijnaldum ni mchezaji …
Wakati Ligi Kuu Bara ikitarajiwa kuendelea Juni 13 ambapo kutakuwa na mechi mbili ya kwanza itakuwa kati ya Mwadui FC na Yanga na ya pili itakuwa kati ya Coastal Union …
KIKOSI cha Yanga leo kimeanza safari kwa basi kuwafuata wapinzani wao Mwadui kwenye mchezo wa ligi utakaochezwa Juni 14, Uwanja wa Kambarage huku mastaa wake watatu wakibaki Bongo. Mastaa waliobaki …
Bayer Leverkusen bado wana matumaini ya kumbakiza Kai Havertz kwenye Klabu hiyo msimu huu wa joto, amesema mkurugenzi wa michezo, Rudi Voller. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 anaripotiwa …
Sasa usiku wa pambano hilo Ali hakujua kama ana shabiki yake anamtazama usiku ule ambae ni Mike Tyson .Wakati Ali amekula kipondo cha kutosha na corner yake kutupa taulo uwanjani, …
Watu billion mbili duniani kote walikaa nyuma ya Luninga zao ule usiku wa saa 2:15 kushuhudia pambano kubwa la Masumbwi lililopewa jina la The Last Hurrah, ilikua ni usiku wa …
Michezo ni miongoni mwa biashara kubwa na nzito sana ambayo wenye uelewa na akili juu ya biashara hiyo na aina ya uwekezaji unaofanywa hapo anaweza kuona kama mambo yanayofanyika ni …
Mbappe ana mtihani kama wa Obama jioni ile ya 2008 pale Chicago, safari ya mtoto huyu ilianzia pale visiwani Monaco kwenye dimba la Stade Louis, aliwastua Wafaransa, alibisha hodi kwenye …
Mshambuliaji wa Kimataifa wa DR Congo, Dieumerci Mbokani ameshinda tuzo Ebony Shoe huko Ubelgiji kwa msimu wake bora akiwa na klabu yake ya Royal Antwerp kwa mara ya Pili, pia …
Wachezaji 16 wa klabu ya Vasco da Gama inayoshiriki Serie A ya Brazil wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kupimwa. Brazil imeripoti zaidi ya wagonjwa laki 5 …
Afrika imejaaliwa na wapenzi wengi wa soka katika kila taifa kuna wapenzi wa soka, linaweza kua kimataifa au kwa timu za ndani, Katika ushabiki wa soka nako kuna namna mbili …
Klabu ya Rangers ya Scotland wamefanikiwa kwenye harakati zao za kumpa Mkataba wa kudumu Winga wa Kimataifa wa Romania Ianis Hagi. Hagi, 21, alihamia Ibrox kwa mkopo mnamo Januari kwa …
Arsenal inatarajiwa kuanza mazungumzo na wakala wa kiungo wa kati wa Barcelona Phillipe Coutinho. Mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 27 amehudumia msimu wote akiwa kwa mkopo katika …
Mshambuliaji kinda wa klabu ya Atletico Madrid, Joao Felix amepata jeraha la goti Akiwa kwenye mazoezi. klabu hiyo imethibitisha kuumia kwake wakati huu Vilabu vya La Liga vinaendelea na maandalizi …
Baada ya kiwango Bora huko Bundesliga, Achraf Hakimi atarudi Real Madrid mara tu mkopo wake huko Borussia Dortmund utakamilika, wakala wake amethibitisha, huku akikataa madai kuwa Inter Milan imeweka ofa …
Ukiwa Liverpool usiogope giza lilio mbele ya macho yako wala dhoruba kali pale unapotembea katika mvua, kichwa chako siku zote kitazame juu, huku moyo wako ukibeba tumaini. Tumaini la ushindi, …
Hebu tujiulize kitu, Vipi kuhusu kejeli alizotupiwa tarehe 20 January 2001? Dunia nzima imesimama siku ile, watu wanautazama urefu wa Diego Corrales wanamuuliza Mayweather unaenda kufanya nini. Wanaufikiria uzito wa …
Liga MX, huko Mexico 🇲🇽 imetangaza kuwa jumla ya wachezaji wanane wa Klabu ya Santos Laguna wamepatikana na ugonjwa wa coronavirus… Ligi hiyo ilithibitisha habari hiyo jana Jumatano jioni kwani …
Ni nini maana ya Simulated Reality League na unaibashiriaje? Simulated Reality League ni ligi halisi za kuchezeshwa ni mchezo usio halisi wa mpira, ambao una tofauti kubwa ambayo imekuja kua …

