Mwadui FC vs Yanga ni mechi ngumu kwa timu zote mbili, Yanga wanawania kukaa nafasi nzuri kwenye ligi lakini pia Mwadui hawapo sehemu salama ambayo unaweza kusema hawatoshuka daraja kwa hiyo wanahitaji kupata matokeo ili kujiimarisha kwenye nafasi nzuri za msimamo wa ligi.
“Tunafahamu tunacheza dhidi ya timu nzuri kwenye uwanja ambao si mzuri sana kwa sababu ni mkavu lakini nimeona.” “Wapinzani wetu wana mshambuliaji mzuri (namba 25), beki wa kati nahodha (namba 24) na kiungo mzoefu (namba 17), winga mwenye speed Ludovic pamoja na mabeki wa pembeni wanaoshambulia.” Kocha wa Yanga Luc Eymael
“Kwa hiyo tumejiandaa kukabiliananao na nimewaambia wachezaji nini cha kufanya.” Kocha wa Mwadui Khalid Adam
“Mwalimu yeyote anapofanya kazi anatengeneza kitu kwa ajili ya kutafuta ushindi, yakitokea mengine inakuwa nje ya malengo. Tumejipanga kwa sababu tuna shinda na pointi hatujakaa pazuri kwenye msimamo kama wenzetu kwa hiyo ni jukumu letu kupambana kuhakikisha tunabaki na pointi 3.”
“Lengo si kuifunga Yanga tu, lengo ni pointi tatu. Hata kama tungekuwa hatuchezi na Yanga, timu yoyote ambayo tungekuwa tunakutana nayo tungetafuta pointi tatu vilevile.”
Yanga inashika nafasi ya 3 ina alama 51 imecheza mechi 27 wakati Mwadui FC ipo nafasi ya 12 ikiwa na alama 34 baada ya kucheza mechi 28. Nyuma ya Mwadui kuna Lipuli, Mtibwa, KMC zote zina alama 33.
Caroline
Yanga lazima washinde
Ernest
Acha tuone timu ya wananchi kama watawasha motoooo au ndo kama kawaida muendelezo
Mwajuma
Yanga inashinda bila kipingamizi
Theonestina
Natamani yanga afungwe
felister
naisubiria kwa hamu jamanii
Povel
Don’t miss
Ester jackson
Yanga leo mpambane pont tatu ni muhimu ili Morison asijione kama anaumuhimu hata kama hayupo
Gabriel
Nawaombea dua timu ya wanachi yanga ilirud na ushindi
Genia Sikaluzwe
Yanga wanashinda
Frank Patrick
Na huku yanga wanamigogoro team itatoboa kweli?
Elika
Kwa migogoro na matatizo waliyonayo wana yanga leo lazima wafungweeeeee
Khadija
Yanga lazima achukue ushindi leo#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Patachimbika Leo wakaze tuu kwasababu yanga tiamajitiamaji
Dorophina
Yanga lazima wa win
Sylvester
Ligi ya bongo nayo hiyoooooo…bye bye Corona
Hope mwaikuka
Yanga kama yanga
Christopher
Vizur kuona ligi yetu imerejea
Hidaya
Yanga siwakubali hata kidogo
isha
Mimi naelekea huko huko kuona live sitaki kusimuliwa maana yanga ni shida
David Pere
Yanga watampata ushindi mwembamba sana
Evaluziga
Yanga mi nataka ushindi
Tahiya
Hatimaye ligi ya Vodacom imerud tuendelee kuchukua taadhari ya ugonjwa wa corona
Mwanaidi
Asante kwa taarifa
Hamidu
Tulimiss burudani ya soka
Samiah
Bila kipingamizi leo ushi kwa yanga
Amani
Mechi wameshinda kwa kudondokea Ila yule yipe sijui yope pale anakula ela ya bure Amna mchezaji#meridianbettz
Furahav
Yanga hakuna kitu.
Theckla
Yanga anashinda
Zeiyana
Wamejipanga vyema yanga dhidi ya wapizani wao so kwailo sisi mashiki hatuna neno tunasubir maneno yenu tu kama kweli mtafanya vitendo..! Yanga ya wanachi
Shafii
Asante kwa makala nzuri
Salma
Nimeipenda hii makala
lombo
utopolo
Emmy cleopa
Yanga wanashinda
Magdalena
Mh ngoja tusubiri matokeo
warda
Bahati yao nilikuwa nawaombea Dua baya sana
Agness
Yanga viande