Dieumerci Mbokani Apata Tuzo Aliyoshinda Samatta Akiwa Genk

Mshambuliaji wa Kimataifa wa DR Congo, Dieumerci Mbokani ameshinda tuzo Ebony Shoe huko Ubelgiji kwa msimu wake bora akiwa na klabu yake ya Royal Antwerp kwa mara ya Pili, pia 2012 akiwa na Anderlecht.

Dieumerci Mbokani


Mbokani amefunga mabao 18 katika michezo 28 na kutoa Assists 7 kwenye msimu uliomalizika kabla ya mechi kumalizika kufuatia janga la Coronavirus….Tuzo hiyo hutolewa kila mwaka kwa Mchezaji Bora wa Afrika katika Ligi ya Ubelgiji “Belgian Pro League”.

Tuzo hii msimu uliopita ilibebwa nae Mshambuliaji wa KRC w, Mbwana Samatta… Kwa Mara ya kwanza Mchezaji kutoka klabu ya Antwerp ananyakua tuzo hii, Mbokani Anakuwa Mchezaji wa Nne kubeba tuzo hii zaidi ya Mara moja baada ya Mbark Boussoufa (3), Daniel Amokachi (2) na Vincent Kompany (2).

52 Komentara

    African Kuna vpaji hatar hongera kwa Dieumerci mbokani

    Jibu

    Hongera kwake mbokani thnks meridian kwa update

    Jibu

    Atakua mrithi mpya wa samatta pale genk

    Jibu

    Hongera sana ni hatua nzuri sana aliyo ifikia ajitahidi sana mana asifurahie hiyo pekee anatakiwa kupata zaidi

    Jibu

    Congo Kuna vipaji sana

    Jibu

    Nilijua congo muziki tu kumbe hata mambo ya mpira pia wapo vizuri

    Jibu

    Ongera kwake

    Jibu

    Hongera kwake.

    Jibu

    Mchezaji wa Africa wanajua Sana sema ndo ivyo ubaguzi wa rangi unawafanya siwe juu sana

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    huu ndio umuhimu wa mtu akiwa hayupo, samata atafanya mambo makubwa EPL kwa kumalizia msimu, japo anawakati mgumu wa timu work ila atatoboa tuu!!

    Jibu

    Tuzo ameipata kweli je ataweza kumrithi samataaa

    Jibu

    Ametisha nae ameonyesha uwezo wake

    Jibu

    Ametisha nae kaonyesha huwezo wake yupo sahii

    Jibu

    Ni vizuri sana kocha kutengeneza mchezaji mbadara ya mwezake ingekua taarifa mbaya kama hadi Leo akuna mtu haliyechukua tunzo hiyo zaidi ya samata safi sana dieumerci mbokani na uwongozi wako kwa jumla

    Jibu

    Nilijua congo muziki tu kumbe hata mambo ya mpira pia wapo vizuri

    Jibu

    Pongezi kwa Mbokani amestahili kwa kweli.

    Jibu

    hii tuzo ni kwa ajili ya African players au ni wachezaji watakao fanya vizur?

    Jibu

    Ligi ya Ubelgiji imajaa wachezaji wengi wenye asili ya DR Congo na wanafanya vizuri. Ni imani yangu kuona siku moja akicheza timu kubwa zaidi#meridianbettz

    Jibu

    Vizuri sana amejitahidi sana hongera kwake

    Jibu

    Mbokani anastahili alichokipata..hongera kwake

    Jibu

    hongera sana dieumerci

    Jibu

    Big up Mbokani

    Jibu

    Hongera sana mbokani

    Jibu

    Pongezi kwake#meridianbetttz

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi sana congo wamejaliwa vipaji vingi sana,, hongeraa sana kwake na kunauwezekano wa kufika mbali zaidi ya apo alipo leo

    Jibu

    Pokengezi kwa mbokani amestaili kwa kweli

    Jibu

    bidii yako ndo kila kitu endelea kukaza mbokani

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Hongera yake mbokani #Meridianbettz

    Jibu

    Congratulations champ Mbokan

    Jibu

    Hongera zake Asante meridian kwa taarifa

    Jibu

    Bendera ya afrika inapeperushwa vyema ulaya

    Jibu

    Pongezi kwa fundiii wa mpra

    Jibu

    safi hongera kwa kuitangaza bara la afrika

    Jibu

    Tuzo ameipata ataweza kumrithi samata#meridianbettz

    Jibu

    Mbokani big up

    Jibu

    Mmh katishaa hongera kwake

    Jibu

    Kashuka mpaka kuchezea kiteam hicho?

    Jibu

    Hongera yake mbokani

    Jibu

    Hongera yake.he deserve

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Hongera Sana mbokani

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Ametisha

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Hongera zake nyingi

    Jibu

    Pongezi kwake..

    Jibu

    Maoni:Hongera mbokani tuone km unaweza kufata nyayo za samagoli

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.