Simbu Aweka Rekodi Mbio Za Marathoni 2025

Mtanzania Alphonce Simbu ameweka historia mpya katika riadha ya kimataifa baada ya kushinda medali ya dhahabu kwenye mashindano ya mbio za Dunia yaliyofanyika jijini Tokyo, Japan. Katika mbio za kilomita 42.195, Simbu alionesha kasi ya ajabu akiwashinda wakimbiaji waliotazamiwa kuwa na nafasi kubwa ya kutwaa ushindi.

Simbu Aweka Rekodi Mbio Za Marathoni 2025

Katika kile kilichokuwa moja ya mbio za kusisimua zaidi, Mtanzania huyu alimpiku Amanal Petros wa Ujerumani kwa tofauti ya sekunde 0.03 tu kwenye mstari wa mwisho. Picha ya mwisho ilithibitisha ushindi huo mwembamba, huku mashabiki wakimshuhudia akimaliza kwa muda wa saa 2:09.48, rekodi ya kuvutia kwa mashindano ya kiwango hiki.

Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa

Simbu Aweka Rekodi Mbio Za Marathoni 2025

Ushindi huu si tu wa Simbu binafsi, bali ni fahari kwa Tanzania nzima. Akiwa ameyashinda majina makubwa kama vile Illiass Aouani wa Italia.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.