Ole Gunnar Solskjaer anatarajia kuona magoli mengi yakifungwa na Marcus Rashford katika klabu ya Manchester United. Mchezaji huyo wa Uingereza amefunga magoli 22 katika timu ya Taifa na klabu kwa …
Makala nyingine
Valencia wanavutiwa na kumsajili kipa wa Chelsea, Kepa Arrizabalaga ambaye hatma yake huko Stamford Bridge Iko matatani huku Chelsea ikiendeleza juhudi zao kujaribu kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa …
Kocha waa Liverpool, Jurgen Klopp amekiri Jadon Sancho “angeonekana mzuri sana” katika jezi ya Liverpool. Jadon Sancho Winga huyo wa Borussia Dortmund amehusishwa na kuhamia kwa vilabu kadhaa vya …
Xavi Hernandez amesema kwamba sasa anajiandaa kurudi Barcelona akiwa kama kocha. Xavi ambaye ni kocha wa klabu ya Al-Sadd kwa sasa alihusishwa na kupewa kazi hapo Camp Nou mapema mwaka …
Mario Lemina amekiri kushawishika kurudi katika timu ya Marseille, klabu imebaki katika moyo wake – haijalishi kama maslahi yatakuwepo. Mario Lemina Haijalishi nini kitatokea lakini Lemina alivutiwa kurudi katika …
Saul Niguez amewataka Atletico Madrid kuendelea na moto walioanza nao tangu kurejea kwa La Liga baada ya kupata ushindi wa nne mfululizo siku ya Juma mosi dhidi ya Deportivo Alaves …
Jurgen Klopp amefanya mapinduzi katika klabu ya Liverpool na Kocha wa Everton Carlo Ancelotti amekiri kushabikia mafaniko ya Mjerumani huyo. Baada ya kusubiri kwa takribani miaka 30 bila kushinda taji …
Jumamosi ya leo United wana mchezo wa Kikombe cha FA huku pia wakizingatia Jumanne wana game ugenini dhidi ya Brighton kwenye Ligi. Kombe la FA linawapa nafasi kubwa Manchester …
Nyota wa Juventus Christiano Ronaldo atazidi kuimarika kadri atavyo pata fursa ya kucheza zaidi baada ya ligi kurejea. Hii ni kwa mujibu wa kocha mkuu Maurizio Sarri. Ronaldo alifunga penati …
Erling Haaland ameahidi kwamba hayupo tayari kuondoka katika klabu anayo ichezea kwa sasa ikiwa ndio kwanza ameanza maisha katika ligi ya Bundesliga. Baada ya kufanya maajabu akiwa na Salzburg, Haaland …
Ujerumani watampa Lionel Messi pasipoti ya kusafiria kama atajihisi kutokukubalika na taifa lake, aliongea katika hali ya utani Lothar Matthaus, ambaye angependa kuona Messi akicheza katika ligi ya Bundesliga. Messi …
Trent Alexander -Arnold miaka 21 & siku 261 ndiye mchezaji mdogo kabisa wa Liverpool kufunga bao kwa free-kick huko Anfield kwenye mchezo wa wa ligi kuu Uingereza tangu Robbie Fowler akifanya …
Lucien Favre ataendelea kubaki katika klabu ya Borussia Dortmund msimu ujao na kiongozi wa michezo Michael Zorc anatumaini kumuongeza mkataba mpya Giovanni Reyna. Kocha huyo kutoka nchi ya Uswis amebakiwa …
Mohamed Salah ana amini kwa sasa ni muda sahihi kwa Liverpool kumaliza miaka 30 ya kusubiri kubeba taji la EPL. Salah aliweza kuwafunga Clystal Palace katika ushindi wa 4-0 siku …
Kikosi cha Barcelona kipo katika hali nzuri katika kuumaliza msimu wa La Liga 2019-20 na kushinda taji la La Liga hii ni kwa mujibu wa Arturo Vidal. Wababe hao wa …
Sergio Aguero atapitia upasuaji mdogo wa goti siku ya Alhamisi kocha wa Man City athibitisha. City walisema siku ya Jumanne kwamba Aguero atasafiri mpaka Barcelona kwaajili ya upasuaji wa goti …
Kwa mujibu wa Sky Sports Juventus wamekubaliana na Barcelona kulipa ada ya € 80m kwa ajili ya usajili wa kiungo Arthur Melo, katika mpango ambao unaweza kufuatwa na uhamisho wa …
Ederson ame mmwagia sifa kede kede Kocha Wa timu ya Mancherster City kwa kumfanya awe golikipa mzuri “anautizama mpira katika njia nyingine” alisema Ederson. Mbrazili huyo tayari ametumia misimu mitatu …
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amesema kuwa alishangaa kuona mchezo wa JKT Tanzania, David Molinga hayupo ndani ya kikosi cha kwanza kilichoanza. Mchezo huo uliochezwa Uwanja …
Christian Eriksen amesema kwamba hajaonesha kiwango chake tangu ajiunge na Inter lakini ameona maendeleo makubwa siku za usoni baada ya kuchangia goli kwenye ushindi wa 2-1 Inter walipocheza dhidi ya …

