Zinedine Zidane ameeleza kwamba hali ya mchezaji wa kimataifa kutoka Ubeligiji Eden Hazard inaleta shida na kumchanganya hiyo ni baada ya kumuacha kama mchezaji wa akiba kwenye mchezo dhidi ya …
Makala nyingine
Tennis (tenisi) ni aina ya mchezo unaochezwa na watu wawili au wanne wakishindana kwa kupiga mpira mdogo kwa raketi kwenye uwanja wa tennis. Shabaha ni kupiga mpira kwa upande wa …
Manchester United wakiwa nyumbani Old Trafford wameshinda mechi mbili tu kati ya mechi zao sita za mwisho za Ligi dhidi ya Southampton Southampton wamepoteza mechi nyingi zaidi (26) na wameruhusu …
Kaka wa beki wa timu ya Tottenham Serge Aurier amefariki, klabu hiyo ya Premier League yathibitisha. Spurs wametoa maelezo kwenye mitando ya kijamii kwa kuthibitisha kwamba Christopher Aurier ameuwawa mapema …
Paul Pogba anahisi kama Manchester United ni “timu bora” na hafikiri kama itaweza kusuasua tena kutokana na kiwango inacho kionesha kwa sasa. United ambao hawajafungwa michezo 17 kwenye mashindano yote, …
Manchester City wameshinda michezo yao miwili iliyopita ya EPL kwa kufungwa mabao 5+, mara ya kwanza hii imetokea kwenye ligi tangu City wao wenyewe walipofanya hivyo katika mechi tatu mfululizo …
Zinedine Zidane kocha mkuu wa timu ya Real Madrid ametuma salama za heri ya siku ya kuzaliwa kwa mchezaji wa kimataifa kutoka Colombia James Rodriguez kwa kusisitiza kuwa atakuwa na …
Klabu ya Wolverhampton Wanderers ilishuka dimbani kuumana na Everton siku ya Jumapili katika dimba lao la nyumbani na kuicharaza goli 3-0. Wanderers wamerudi katika moto wao wa kushinda baada ya …
Barry Geraghty ameamua kufungua ukurasa mpya wa maisha yake baada ya kuamua kustaafu mbio za farasi akiwa na miaka 40. Barry ametumia kurasa yake ya twitter jumamosi jioni kudhibitisha kustaafu …
Nyota wa Los Angeles Lakers LeBron James amesema kwamba hatojihusisha na uvaaji wa jezi zenye ujumbe wa haki za kijamii wakati msimu wa NBA utakapoanza tena Orlando,Frolida. Wachezaji wengi wa …
Mshambuliaji wa Barcelona Antoine Griezmann amepata majeraha kwenye misuli ya paja, Klabu hiyo ya LaLiga imethibitisha. Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa alitolewa na nafasi yake ilichukuliwa na Luis Suarez …
Huku Ratiba ya EPL ikionyesha zimebaki mechi 4 tu msimu kumalizika, Chelsea hadi sasa wamekaa nafasi ya 3 alama mbili tu mbele ya Manchester United iliyopo nafasi ya tano, pambano …
Jack Charlton,aliye ichezea timu ya taifa ya Uingereza na kufanikiwa kushinda Kombe la Dunia mwaka 1966, amefariki akiwa na umri wa miaka 85. Charlton kaka wa mchezaji wa mkubwa wa …
Ligi ya mabingwa ulaya ni mashindano ya mpira wa miguu yaliyo anzishwa na UEFA na timu washiriki ni za kutoka ligi kuu za Ulaya ili kupata timu bora ulaya nzima. …
Mahakama ya usuluhishi wa masuala ya michezo (CAS) imethibitisha kwamba itatangaza maamuzi siku ya Jumatatu tarehe 13 Julai kwenye rufaa ya Manchester City kufungiwa kutoshirirki ligi ya Mabingwa Ulaya. Rufaa …
Klabu ya kandanda ya Hertha Berlin inalenga kurejea katika ligi kuu ya soka ya Bundesliga msimu ujao tofauti na harakati zake katika msimu uliopita, amenukuliuwa akisema Rais wa klabu hiyo, …
Timu ya mpira wa kikapu nchini marekani Blooklyn Nets imefanya usajili wa mchezaji wa zamani wa timu hiyo Michaell Beasley ili kuisaidia timu hiyo kunako ligi ya NBA. Timu imethibitisha …
Mchezaji wa kimataifa kutoka Ureno Bruno Fernandes ametajwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Juni katika ligi ya Premier League ya nchini Uingereza. Bruno anaonekana kuleta changamoto mpya …
Wakati Manchester United wakiendelea kugawa dozi kwa wapinzani wao kwenye Ligi kuu ya Uingereza mkongwe wao mmoja anasema…. Hakuna timu bora na inayocheza soka safi katika Ligi kuu ya Uingereza …
Zlatan Ibrahimovic amekuwa na shaka ya kuendelea kukaa Milan kama hali haitabadilika. Zlatan mwenye umri wa miaka 38 anaye kipiga katika klabu ya AC Milan ambaye kipindi cha nyuma alisha …