CAS Kutangaza Maamuzi ya Rufaa Man City Dhidi ya UEFA Julai 13

Mahakama ya usuluhishi wa masuala ya michezo (CAS) imethibitisha kwamba itatangaza maamuzi siku ya Jumatatu tarehe 13 Julai kwenye rufaa ya Manchester City kufungiwa kutoshirirki ligi ya Mabingwa Ulaya.

Rufaa ya City ilianza kusikilizwa tangu  Juni 8 na ilifikia hitimisho siku mbili baadaye, na iliendelea kwa kufanyika kupitia simu ya video.

Klabu hiyo ya Premier League ili endelea kutafuta namna ya kubadili maamuzi ya UEFA  kuwafungia kutoshiriki mashindano ya Ulaya misimu miwili ijayo na kuwatoza faini ya  €30m baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja sheria ya matumizi mabaya ya fedha (Financial Fair Play)

Akiongea siku ya Ijumaa Mkurugenzi wa Manchester City Pep Guardiola alisema  anaimani wana nafasi ya kushinda rufaa hiyo.

“Nina jiamini sana kwa sababu nimeona hoja za klabu kwamba msimu ujao tutashiriki katika Champion League.” Alisema Guardiola

Katika mahojiano na NLH, nyota wa  City Kevin De Bruyne alipendekeza kwamba  atafurahi kukaa hapo Etihad katika kipindi ambacho City watapunguziwa adhabu ya kutoshiriki Uefa kwa mwaka mmoja ingawa kama adhabu ya miaka miwili ikiendelea atakuwa na machaguo mengine ya kuendelea kubaki City au kuondoka.

“Nina subiri,” alisema . “Klabu imetuambia kwamba wanakata rufaa na wana uhakika asilimia mia kwamba wapo sahihi. Ndio maana nasubiri nini kitatokea, nina iamini timu yangu.

“Mara baada ya maamuzi kufanyika, nitapitia kila kitu. Miaka miwili ni mingi sana lakini kama ikitokea mwaka mmoja naweza kuangalia.”

52 Komentara

    Asanteni kwa taarifa #Meridianbettz

    Jibu

    dah miaka miwili jamani .mbna ni mda mrefu sana.waangalie jinsi ya kupunguza adhabu

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki ngoja tungoje iyo tarehe tusikie wanasemaje

    Jibu

    Maamuzi yawe mazuri tu maana

    Jibu

    Shirikisho hilo natumai litawaangalia kwa jicho la pili city

    Jibu

    Kweli miaka miwili mingi sana huwongozi waangalie tu hitawapa clabu asala yingi sana alafu ukiangalia kuna wachezaji walio sajiliwa kipindi hiki istoshe wachezaji walipunzika sana kipindi kile cha korona sisi kama mashabiki tunaomba muangalie na hilo jamani

    Jibu

    Makala safi

    Jibu

    Mika miwili ni mingi sana Kama kuna uwezekano wapunguziwe adhabu

    Jibu

    Adhabu kali jaman

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Kwa miaka miwili kufungiwa itakuwa mkubwa sana ukizingatia kutokana na ugonjwa wa corona timu nyingi zimepata hasara sana za kupoteza fedha kuwarudishia mashabiki kisha kuwalipa wanaorusha matangazo na kununua wachezaji kama itawasimamisha ndani ya miaka 2 watapata hasara sana hivyo wangepunguza azabu ili mambo yaende sawa hawa kwa kipindi hichi ambacho mashabiki wanaaza kuruhusiwa kuingia uwanjani tunapenda kuziona timu zetu zikichez .mahakam inatakiwa iangalie kwa jicho la Tatu kuhusu azabu wanaweza kupoteza wachezaji wenye uwezo mzuri.#$meridianbettz

    Jibu

    Habari njema Sana kwa mashabiki wa soka

    Jibu

    Habari njema kwasisi mashabiki

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Good NeWS

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa man city
    Tusubil inavyokuwa#meridianbettz

    Jibu

    Kwa sisi mashabiki wa man city tunaomba sana CAS itusamehe kabisa…

    Jibu

    Meridianbett sio wa mchezo kwa habari za soka ,mashabiki wa Man city ni habari njema kwao

    Jibu

    Shirikisho Hilo linaangaliwa kwa jicho
    La pili city Ila sisi Kama mashabiki tunaomba wapunguziwe adhabu ili mambo yaendelee

    Jibu

    Wafanye tuu maamuzi sisi ni wa sikilizaji tuu.

    Jibu

    Kwa ninavyo ona Mimi apo msamaha unaitajika

    Jibu

    Financial Fair Play hiki kipengele sio pouwa, ila sidhani kama ni Mancity pekee ndio wamekiuka hili swala

    Jibu

    Duh majAnga Sana kwa man City ngoj tuone hatima itakuwaje

    Jibu

    Matokea yatatupa majibu

    Jibu

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Meridianbet mambo moto

    Jibu

    Miaka miwili mingi sana wapunguze makali ya adhabu maana wachezaji watasepa kama sane

    Jibu

    Bola man city washinde tuwaone next season uefa

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa soka#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    nakubali

    Jibu

    Tunasubili ayo maamuzi ya rufaa yatangazwe

    Jibu

    Litakua jambo la kheri kama watashinda rufaa hii

    Jibu

    Ngoja tuone km watafanikiwa man city.

    Jibu

    asante #meridianbet kwa kutuhabarisha

    Jibu

    Imeeleweka

    Jibu

    Timu inapofungiwa kucheza UEFA ni changamoto kubwa kwa klabu na wachezaji. Klabu inakosa mapato#meridianbettz

    Jibu

    Ni jambo la kushukuru na habar njema kwa shabiki wa man city kurejea tena kwenye uefa champions league

    Jibu

    Dah sijui itakuwaje?

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbettz

    Jibu

    Dah hyo sasa changamoto

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Kwa aina ya wanasheria waliwaweka City wanaweza punguziwa adhabu naamini hilo

    Jibu

    Kila shabiki anasikilizia Kama watashinda au wataangukia pua

    Jibu

    Habari nzurii

    Jibu

    Bora tujue muafaka

    Jibu

    Tunasubili kwa hamu Sana.

    Jibu

    dah city abaki aisee ila kama wana makosa wapewe adhabu

    Jibu

    Nawaombea City washidwe hiyo rufaa yao#Meridianbettz

    Jibu

    Hii ni habari njema

    Jibu

    Hongera zao Manchester city kwa kupunguziwa adhabu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.