Mchezaji wa kimataifa kutoka Ureno Bruno Fernandes ametajwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Juni katika ligi ya Premier League ya nchini Uingereza.
Bruno anaonekana kuleta changamoto mpya Old Traford inayo pelekea kikosi cha United kuwa imara, kufuataia ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya Aston Villa siku ya Alhamisi imefanya Manchester United kuwa timu ya kwanza katika historia ya Premier League kushinda zaidi ya goli tatu katika michezo minne mfulilizo.

Lakini pia imeongeza idadi ya kutopoteza michezo na kufikia 17 katika mashindano yote na Fernandes akiwa muhimili wa matokeo hayo.
Tangu Februari 1 Fernandes amehusika kwenye magoli 13 ya United zaidi ya mchezaji mwingine yoyote kwa kipindi hicho na mwezi Juni amefunga magoli matatu baada ya michezo kurejea kufuatia kusimama kutokana na janga la Corona.



JULIANA
Sawa anastahiri kuwa mchezaji bora
Ester jackson
Habari njema kwa mashabiki wa Manchester united
Zeiyana
Anastahili Fernandez yuko vizuri sana man hawajutii kumsaini Huyo jamaa.
mwajuma
Wawooo hongera yake Bruno#Meridianbettz
Njiku
Ipo poa sana kwa mashabiki wa man u na bruno fernandes kwa kuchukua tuzo hiyo maana tangia atue pale OT mambo yamebadilika sana kwa man u vipigo vikawa kama dozi kwa kila timu inayokuja kupambana na man u
Dorophina
Ni sahihi kabisa bruno kupata hiyo sifa man u kwa sasa kikosi kipo makini htr
Sabrina
Maoni:Hongera sana Bruno Fernandes
Ernest
Hapa Man U wameramba dume, Bruno ameonyesha uwezo mkubwa sana tangia amesajiriwa pia amekuwa chachu ya ushindi katika kila mechi ambayo Man U wametoboa
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri anastahili kuwa mchezaji Bora sana
Sadick
Bruno anathibitisha ubora wake. Man U ni brand kubwa duniani inahitaji wachezaji world class kama huyu#meridianbettz
Adelta
Iko poa Sana kwa mashabiki wa
Manchester
Edgar
Yes anastahili kabisa kuwahi mchezaji wa mwezi… Sikupingi
Samiah
Anastshili kuwa mchezaji bora
Genia Sikaluzwe
Hogera Sana Bruno kwa kuwa mchezaji bora
Khadija
Hongera sana bruno#meridianbettz
tumaini
Maoni:Hongera kwenu man u mnapambana sana
Issa
Bruno anafaa na bado ataweka historia nyingi tu kwa united
Hamidu
Fundi Bruno.. amestahili kuchukua tuzo mchezaji Bora wa mwenzi bigup kwake#meridianbettz
Magdalena
Bruno amekuwa akionesha uwezo mkubwa Sana
Franky
Mafanikio uja kwa juudi na kujituma so ni habari njema pia
Caroline
Hongera Bruno
neema hassan
Pongezi kwake
Hidaya
Hongera zake bruno
Saupha mohamed
Anastahili kabsaa
Furahav
Yuko vizuri bruno,anapaswa kuwa hivyo.
fatumakasom
Yupo vizuri hongera sana
Edgar
Kweli kabisa nw man u yupo vzr sana so sipingani na maneno yake.
silvatira
anastahil amefanya vizur sana msimu wake wa kwanza
warda
Safi Sana#Meridianbettz
Tahiya
Bruno amethibitisha ubora wake
David Pere
Bruno anazidi kuweka record zake mapema
Gabriel
Habar njema sana 👍
Nasra
Hii habari safii
Revina
Ni vizuri maana mabadiliko yanaonekana ktk timu kwa sasa
devotha
hongera sana Bruno
Janeflora malisa
Vzr sana bruno
Hope mwaikuka
Hongera kwake kwa kufanya poa
Shafii
Fenandez mpambanaji Sana man u walilamba Dume kweli.
Omary lukumbi
Bruno Fernandez ana stahili kabisa kua mchezaj bora wa mwezi june
Latifa juma mohamed
Hongera Sana man mnapambana ipasavyo
Isaya massawe
Anainogesha sana man united
Zuhura omary kindamba
Asante kwa taarifa njema Meridianbet
mwakalosi
uchebe kama uchebe huyy
Flomena
Kijna Yuko vizuri
Amani
Man U inahitaji wachezaji world class kama huyu Safi Sana naimani ata waajiri walio mnunua wanafurahi#meridianbettz
Mariam mtandama
Safi sana
isha
Hongera sana bruno kwa kuwa mchezaji bora
Tatu
Hongera yake hii ni faida ya kujutuma na jitihada
Samira
Hongera sana bruno unastahili
felister
habari njema kwa mashabiki wa man u
Povel tz
Hongera kwake
lombo
vzr
Rehema
Hii habari mzuri
Amiri Kayera
Atasumbua San pale England
Salma
Hongera bruno